Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

EXCL: big day for Arsenal as William Saliba signs his new long term contract valid until June 2027.

It’s finally done and sealed.

Saliba accepted the proposal in June — documents are finally signed, today is the day.

It will also include an option until 2028.

#AFC
 
Hua sinaga imani yoyote na matajiri wembamba.
Dr. Shika aende akapambane kwanza na lile timu lake la Ufaransa linalokaribia kushuka daraja kila msimu.
Kama timu hawataki kumpa mwarabu ni bora iendelee kubaki tu kwenye mikono ya hao Vilazers lakini sio kumuingiza Dr. Shika.
matajiri wembamba Wana gubu Sana halafu wabahili
 
"Bila Rolls Royce Saliba kupata injury leo tungekua hatuongelei habari za Man city kushinda Treble ingekua ni Arsenal kuchukua ubingwa mbele ya Manjesta utd"

Gabriel Jesus
 
William Saliba has signed his new long-term contract at Arsenal this morning, keeping him at the Emirates Stadium until 2028.

He’s signed a four year plus one deal. #afc
IMG_20230706_125215.jpg
 
Daaahhh inauma sana kumuona jirani yako anajipakulia tu minyama nyama halafu sisi tunahangaika na viporo vya maharage.
Ila yote maisha tukutane August ligi ikianza ndio tutajua mbivu na mbichi.
Mimi sio mtoto au mjukuu wa nabii , mwaka jana niliwaambia Chelsea wajiandae hali itakuwa tete ,ushindi wao utakuwa 1-0,1-1 au vipigo walikuwa wananitusi Sana, Liverpool nao kule niliwaambia hivo hivo , kipindi hicho top 4 watu wanajipangia wakimuweka Chelsea na Liverpool ,huku manjesta akionekana title contender , Arsenal tukaambiwa hata top 6 hatuingii

Nilisema waziwazi Arsenal tunaenda kupigania ubingwa sikueleweka ,niliweka analysis kuwa tumemamliza ligi na points 69 ,but Kuna mech 6 tulipoteza sababu ya injury , so nikasema bila hizo injury tungekuwa kwenye race ya ubingwa , tukasolve Hilo tatizo kwa 75% ,na kweli tukawa title contender , Liverpool na Chelsea utabiri wangu ukatimia, wakati huo huo tuliambiwa pia Conte na Spurs yake watagombea ubingwa...kufika February akatupa taulo

Kuhusu manjesta mlipenya sababu ya upumbavu wa Chelsea na Liverpool.


Msimu huu Arsenal tumesolve matatizo karibu 90%


Wakushuka daraja nilimuweka Soton na Leicester hoja zangu zilikuwa kuondoka kwa Forster na Schmeichel, hakuna sehemu muhimu na siyo ya mzaha Kama eneo la GK,

Manjesta kuweni makini Sana eneo hili ,mnaweza kuhisi mmerogwa


Utabiri wangu naweka Tena, Mark my word


Top 3 ni Arsenal,Man city na Newcastle halafu ile namba 4 ya top 4 itapambaniwa na timu mbili yaani Liverpool na Manjesta, 5-7 Chelsea , astonvilla na Brighton

The Era End
 
Brighton Wanataka £100m+ kwa Caicedo ,wanasema wanaamini Yupo level Moja na Rice

Arsenal waliamua ku opt kumtaka Rice over Caicedo sababu , Rice amekuwa Bora kwa misimu mitatu mfululizo, wakati Caicedo amekuwa hasa Bora msimu huu
 
Brighton are wanting more than £100m for Moisés Caicedo, based on the benchmark set by Declan Rice's fee to Arsenal

[Via - @McGrathMike]- Tier 1

One season wonder Wanataka £100m+
 
Watoe hela wamnunue si wanataka.... after all tajiri miluzi ni mtu ambaye akitaka kitu hakubali kushindwa....
Alikurupuka Sasa hivi kawa na adabu na yeye ana negotiate ,

Ametumia £650m akataka kushuka daraja

Akaona Arsenal tunafaidi kwa mudrky akavamia akala za uso €100m

Akamsajil Enzo kwa £107m ,timu ikiwa nafasi ya 10 , ndio kwanza akateremka had nafas ya 12

Kwasasa amekuwa mpole ndio maana unaona mwez wa 2 huu anasumbuana na Brighton.

Mwaka Jana alienda akamalizana na Leeds kwa Raphina ili Arsenal tukose akakuta mchezaji hataki anataka kwenda Barca, wakati huo Edu alishapewa taarifa na Deco asipeleke ofa ya 2 sababu Mchezaji anaenda Barca .

Tajiri miluzi kwasasa amerudi kwenye utamaduni wa usajili , sitashangaa akigoma kulipa £100m kwa Caicedo ,maana kajikuta msimu huu wale aliohijack wote Ni magarasa
 
Baada ya William Saliba kuumia ,Arsenal tukaanza kucheza Kama manjesta, hakuna tena successful buildup maana Holding Ni old school CB, msimu huu Arteta anamrejesha Ben White CB ,


Arsenal's per game stats in the 22/23 Premier League before and after William Saliba's injury:

Clean Sheets:
◉ Before: 0.44
◎ After: 0.18

Goals conceded:
◉ Before: 0.93
◎ After: 1.64

Errors leading to a goal:
◉ Before: 0.15
◎ After: 0.27

A crucial cog in the system.
IMG_20230706_125215.jpg
 
Alikurupuka Sasa hivi kawa na adabu na yeye ana negotiate ,

Ametumia £650m akataka kushuka daraja

Akaona Arsenal tunafaidi kwa mudrky akavamia akala za uso €100m

Akamsajil Enzo kwa £107m ,timu ikiwa nafasi ya 10 , ndio kwanza akateremka had nafas ya 12

Kwasasa amekuwa mpole ndio maana unaona mwez wa 2 huu anasumbuana na Brighton.

Mwaka Jana alienda akamalizana na Leeds kwa Raphina ili Arsenal tukose akakuta mchezaji hataki anataka kwenda Barca, wakati huo Edu alishapewa taarifa na Deco asipeleke ofa ya 2 sababu Mchezaji anaenda Barca .

Tajiri miluzi kwasasa amerudi kwenye utamaduni wa usajili , sitashangaa akigoma kulipa £100m kwa Caicedo ,maana kajikuta msimu huu wale aliohijack wote Ni magarasa
Nasikia wamepeleka £52 million kwa Vlahovic Juve wamekataa wamewaambia wakajipange tena waje na mpunga zaidi....naomba wakamuliwe 100 na Brighton na kuna yule kipa wa Porto naye wanamtaka wakamuliwe tena....alaf tukutane pale kwao Darajani tukawape shule ya soka tena
 
Marco Van Basten on Jurrien Timber last year -

"Ajax is playing great football thanks to Jurrien Timber and the National Team is playing great football thanks to him too"

"It's thanks to him that we are able to play so easy out from the back. Jurrien Timber is our biggest strength in defence.

"He always takes the initiative just like Nathan Ake while actually the best defender [Virgil Van Dijk] takes the least initiative of the three which is weird, that such a great centre-back does so little in the build-up. Timber is never panicking."

"If you are as good as Timber, you can always remain calm. Technically he is good enough and tactically he is also good enough. And that's why he is playing and Matthijs de Ligt is not."

(@ZiggoSport )
 
Granit Xhaka to Bayer Leverkusen, here we go! Agreement reached in May now being signed between clubs — green light arrived after Rice deal done. ️ #transfers

Arsenal will receive €25m fee for Xhaka.

Understand Granit will sign until June 2028, five year deal.

Done.
 
Xhaka spotted in Köln,Germany where the player has undergone a medical ahead of move to Bayer Leverkusen

(@SPORTBILD exclusive)
 
Understand Arsenal booked medical for Jurrien Timber on Friday. He will sign the contract until 2028 right after.

Told Timber will travel to London later today then will undergo medical tests on Friday morning.
 
Daaahhh inauma sana kumuona jirani yako anajipakulia tu minyama nyama halafu sisi tunahangaika na viporo vya maharage.
Ila yote maisha tukutane August ligi ikianza ndio tutajua mbivu na mbichi.

Hapo mwarabu atakuwa keshachukua timu?
 
Back
Top Bottom