Alikurupuka Sasa hivi kawa na adabu na yeye ana negotiate


,
Ametumia £650m akataka kushuka daraja
Akaona Arsenal tunafaidi kwa mudrky akavamia akala za uso €100m
Akamsajil Enzo kwa £107m ,timu ikiwa nafasi ya 10 , ndio kwanza akateremka had nafas ya 12
Kwasasa amekuwa mpole ndio maana unaona mwez wa 2 huu anasumbuana na Brighton.
Mwaka Jana alienda akamalizana na Leeds kwa Raphina ili Arsenal tukose akakuta mchezaji hataki anataka kwenda Barca, wakati huo Edu alishapewa taarifa na Deco asipeleke ofa ya 2 sababu Mchezaji anaenda Barca .
Tajiri miluzi kwasasa amerudi kwenye utamaduni wa usajili , sitashangaa akigoma kulipa £100m kwa Caicedo ,maana kajikuta msimu huu wale aliohijack wote Ni magarasa