wale Brighton hawafai atakae sogea pale kwa mitoma ni £80-90MSamuel Chukwueze mnamuonaje? Ataweza kukiwasha right wing Kwa Saka?
Binafsi namuona ni Antony muafrika ingawa anafurahisha kumuangalia. Pia naona kama anaweza kuwa mwepesi sana Kwa premier league na wapinzani watamzidi sana nguvu.
Pia anategemea sana mguu wa kushoto. Hata kupiga tu shuti au kufunga Kwa tap-in Kwa mguu wa kulia nadhani hawezi. Ila akiwa na mpira mguuni hakuna beki anayetamani kumkaba Tumehusishwa nae.
Je hatupaswi kumuangalia Mitoma wa Brighton?
Barcelona hawana hela Kama manjesta, wanasubiria huruma tuMadrid wameingia kichwa na miguu faster kumpindua Barca kwa Arda Güler

️
EXCLUSIVE:Yaani mimi kabisa niende kwenye mjengo wa Arsenyau?Nimesoma mistari michache nikacheka na kulike kwanza ndo nikamalizia kusoma. We jamaa nenda pale mirembe kama hauna room tayari pale

️ |
Declan Rice did not want to go to any ‘plastic’ club like Man City, per @FabrizioRomano. 


Romano: “Key factor to this deal is Declan Rice did not want to go to any kind of ‘plastic club’. His father Sean Rice is very critical of Manchester City.”Manjesta imefilisikaYaani mimi kabisa niende kwenye mjengo wa Arsenyau?
Hio hotel ya Dodoma serikali iliijenga rasmi kwa ajili ya mashabiki wa Arsenyo. View attachment 2678917
Manjesta imefilisika


wale vilaza(Glazers) ni wapuuzi sana timu imeshawashinda kuiendesha lakini bado wanaing'ang'ania. HUwa unawadanganya hivi hivi ,mwisho wa siku unawakimbia kondoo wenzio.Partey
Rice
Kai
Odegaard
Jorginho
Emil smith Rowe
Trossard mkemia mkuu
KWA HIKI KIUNGO UNAFANYWA CHOCHOTE
£6m
20+ Goals next season
Nacheka lakini naogopa
It's scary but not for usView attachment 2678536View attachment 2678537
Hapana Ni £6mKama nakumbuka vizuri. Huyu alitugharimu 1m
HApana ni 6mKama nakumbuka vizuri. Huyu alitugharimu 1m
Mpira mchezo wa waz sio chumban ,Nan kadanganywa hapoHUwa unawadanganya hivi hivi ,mwisho wa siku unawakimbia kondoo wenzio.