One of the main reasons Thomas Partey left Atletico Madrid for Arsenal in 2020 was to help get the club back into the Champions League & now that he has done that, he would like to represent them in Europe’s elite club competition. Partey
Rice
Kai
Odegaard
Jorginho
Emil smith Rowe
Trossard mkemia mkuu
KWA HIKI KIUNGO UNAFANYWA CHOCHOTE

in magufuli voiceTaja timu yako kwanza ,ukute ina bajet ya £40mUkisikilizaga ngonjera za usajili za hiki kilinge unaweza dhani wapo serious subiri ligi ianze sasa.View attachment 2678590
Kama kawaida yenu mpo kileleni mwa ligi.Taja timu yako kwanza ,ukute ina bajet ya £40m
Nakumbuka mulisema Arsenal haiwezi kuingia top 4 Sasa munasema kuwa wapili musimu uliopita wamefeli hakika Arsenal Sasa Ni level za juuKama kawaida yenu mpo kileleni mwa ligi.
Tutakuwepo hapa kuwapa pole pindi vilio vitapoanza kutamalaki. View attachment 2678613
Sio chuki sasa kuichukia timu kama Arsenal si matumizi mabaya ya chuki. Arsenal ni ile ile miaka nenda miaka rudi. Ngoja tuone msimu unaokuja labda mnaweza kuwa tofauti sababu mmepunguza ubahili kidogoNakumbuka mulisema Arsenal haiwezi kuingia top 4 Sasa munasema kuwa wapili musimu uliopita wamefeli hakika Arsenal Sasa Ni level za juu
Kama ulimtabiria mutu kifo lakini kanenepa Unasema bado hajafanikiwa Basi una kiwango Cha juu Cha CHUKI
Acha uchawi ,Arsenal imeshachukua EPL bila kufungwa na hakuna kima yeyote kafikia hiyo rekodiSio chuki sasa kuichukia timu kama Arsenal si matumizi mabaya ya chuki. Arsenal ni ile ile miaka nenda miaka rudi. Ngoja tuone msimu unaokuja labda mnaweza kuwa tofauti sababu mmepunguza ubahili kidogo
Watu wanakasirika na kuchukizwa kumhusisha Mbappe na Arsenal sababu inakua ni kama kumvunjia heshima Mbappe.
Huko Ufaransa baada tu ya kuzagaa hizi tetesi wananchi wamekasirika kwelikweli, wameanzisha maandamano na kuchoma moto magari Barabarani kwa ghadhabu walizonazo, Waandishi wa habari wameamua kupindisha ukweli ionekane hayo maandamano yametokana na mauaji ya kijana mweusi ili isije kusababisha mzozo wa kidiplomasia kati ya Ufaransa na Uingereza.
Mbappe mwenyewe kusikia hizi tetesi za kuhusishwa na Arsenyau amemind kinoma.
Anasema huu ni udhalilishaji aliofanyiwa kwa makusudi, tayari amemwambia wakili wake a file kesi mahakamani ya udhalilishaji.
Muda huu tunaongea wakili wa Mbappe yupo kwa DPP anawasilisha malalamiko ya mteja wake ili ikiwezekana hii kesi ipelekwe moja kwa moja kwenye mahakama ya ICC maana mlichomfanyia hakina tofauti yoyote na uhalifu wa kivita.
Camavinga ni bora zaidi... pale kwa xhaka, camavinga anazims vizuri zaidi.Nacheka lakini naogopa
Wakati kina Flano wamebakiwa na salio £40m
Arsenal tunajiandaa ku splash another €100mView attachment 2678323
Huyu Flano mbona mwehu kitambo tu MkuuNimesoma mistari michache nikacheka na kulike kwanza ndo nikamalizia kusoma. We jamaa nenda pale mirembe kama hauna room tayari pale

