Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Samuel Chukwueze mnamuonaje? Ataweza kukiwasha right wing Kwa Saka?

Binafsi namuona ni Antony muafrika ingawa anafurahisha kumuangalia. Pia naona kama anaweza kuwa mwepesi sana Kwa premier league na wapinzani watamzidi sana nguvu.
Pia anategemea sana mguu wa kushoto. Hata kupiga tu shuti au kufunga Kwa tap-in Kwa mguu wa kulia nadhani hawezi. Ila akiwa na mpira mguuni hakuna beki anayetamani kumkaba Tumehusishwa nae.

Je hatupaswi kumuangalia Mitoma wa Brighton?
Mitoma anatokea kushoto.
 
Mpira mchezo wa waz sio chumban ,Nan kadanganywa hapo

Mlidai hata top 4 hatuingii

Timu yenu iliyosajili lundo la wachezaji kwa £650m ikataka kushuka daraja, na mliitabiria ubingwa , Nan muongo Sasa hapo


Safari hii mmesajili wasukuma wakutosha Cha ajabu unaamin mtagombea ubingwa ,Mimi nasema Kama mwaka Jana ,msimu huu mkipambana Sana top 10 labda
Wanasema wanamsajili Kane...mi nawaombea wampate af tukutane palepale Darajani kwao tuwabake tena....Hawa ni kuwaacha wabweke sasahivi ila ligi ikianza tuwakande tena....sikumbuki mara ya mwisho wametufunga lini Hawa
 
️ | Declan Rice did not want to go to any ‘plastic’ club like Man City, per @FabrizioRomano.

Romano: “Key factor to this deal is Declan Rice did not want to go to any kind of ‘plastic club’. His father Sean Rice is very critical of Manchester City.”

“Rice wants a relationship with the fans, and see passion in the Arsenal Football Club.”


#AFC #Transfers #Rice #MCFC #WHUFCView attachment 2678961
Kumbe Hadi huko wanaelewa kwamba city ni plastic club with plastic fans
 
Arsenal starboy Bukayo Saka has been ranked as the best winger in the world in ESPN’s #FC100 for 2023, while club team-mate Gabriel Martinelli has been ranked at #5.

[@ESPNFC] #afc
IMG_20230705_120803.jpg
 
wale vilaza(Glazers) ni wapuuzi sana timu imeshawashinda kuiendesha lakini bado wanaing'ang'ania.
Nyie Arsenyani subirini timu tumkabidhi mwarabu halafu muendelee kuleta hizo taarabu zenu.
Hata mumkabidhi Shetani ,hiyo timu mtaendelea kuwa kichwa Cha mwendawazimu, kocha mnayemwamini anaeenda kusajili Brazilian efua Morrison kwa €100m ,

Na timu anapewa Dr.Shika wa UK ,Sir Jim
 
Wanasema wanamsajili Kane...mi nawaombea wampate af tukutane palepale Darajani kwao tuwabake tena....Hawa ni kuwaacha wabweke sasahivi ila ligi ikianza tuwakande tena....sikumbuki mara ya mwisho wametufunga lini Hawa
Kane anaenda Bayern Munich
 
Jude Bellingham nae alisema hawez kwenda kwa mancity sababu Ni plastic club

Wewe Manjesta wameshinda carabao wametrend kuliko walioshinda treble
daaahhh matusi haya,
Ngoja wakazi wa mliMancity wasikie halafu uone balaa lake.
 
Liverpool Hana £50m kwa Lavia

There has been growing speculation had Liverpool turned their attention to (Arsenal Target) Romeo Lavia.

He is admired but as things stand they are not pursuing the Belgian defensive midfielder. They do not believe they have a gap to fill currently and they also feel that an asking price of £50million is far too high for a teenager who has only made 17 more senior appearances in his career than Bajcetic.

(@JamesPearceLFC - very reliable)

theathletic.com/4665432/2023/0…
 
. Arsenal's @gabimartinelli ranked #5 in @ESPNFC
's 100 best men's soccer wingers, 2022-23

espn.in/football/story…
IMG_20230705_122312.jpg
 
Sasa timu ina mashabiki wawili

Wewe Manjesta wamebeba carabao ambalo Ni sawa na mapinduzi cup lakin wame trend kuliko waliobeba treble
ila mashabiki wa Arsenyo kwa vichambo
Ni mnachamba kama mademu wa kizaramu aiseeee.
Ujue mpaka sasa hivi siamini kama kweli Kroenke's wamekubali kutoa £105m kwa mchezaji mmoja.
Inawezekana Arsenyo imenunuliwa na Mwarabu kimyakimya halafu nyinyi hata hamjui.
 
ila mashabiki wa Arsenyo kwa vichambo
Ni mnachamba kama mademu wa kizaramu aiseeee.
Ujue mpaka sasa hivi siamini kama kweli Kroenke's wamekubali kutoa £105m kwa mchezaji mmoja.
Inawezekana Arsenyo imenunuliwa na Mwarabu kimyakimya halafu nyinyi hata hamjui.
Shida mnaishi kwa kukariri, niliwahi kukuambia Tulipeleka had €95m kwa Yule flop mudrky ,Tulipeleka had £75m kwa Caicedo wakasema NOT FOR SALE,. ile ilionesha tumeshaingia anga zingine.

Kroenke sio bahiri ila kabla ya 2018 alikuwa anaimiliki Arsenal kwa asilimia chache ,walikuwa wamiliki wengi hivo hakuona umuhimu wakutoa pesa

Kuanzia 2018 aliinunua kwa 100% kuanzia hapo akasema timu ikirudi UCL Basi atamwaga Sana hela

Arsenal iikuwa inawalipa kina auba ,Ozil £350k/p na timu haipo UCL , sio rahisi kufanya hivo
 
Shida mnaishi kwa kukariri, niliwahi kukuambia Tulipeleka had €95m kwa Yule flop mudrky ,Tulipeleka had £75m kwa Caicedo wakasema NOT FOR SALE,. ile ilionesha tumeshaingia anga zingine.

Kroenke sio bahiri ila kabla ya 2018 alikuwa anaimiliki Arsenal kwa asilimia chache ,walikuwa wamiliki wengi hivo hakuona umuhimu wakutoa pesa

Kuanzia 2018 aliinunua kwa 100% kuanzia hapo akasema timu i
Aiseeee mna kitu ila hamtofika mbali.
Asenyo ni ileile tu juzi jana na leo.
Wanaume tunasajili Mlima halafu nyinyi mnaenda kununua ubwabwa na Chai Havertz.
Tukutane August tuwaonyeshe kupanda mlima sio kazi ya kitoto.
 
Yule vinicius jr simuoni au yule si winger?
Hapo ndio hua inafanya tuzidharau hizi takwimu zinazo wabeba Arsenyau.
Yaani kwenye hio list bila ya uwepo wa Vini Jr nafasi ya kwanza kabisa hapo juu inathibitisha moja kwa moja hio list ni batili.
 
Back
Top Bottom