makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,802
- 103,789
Mitoma anatokea kushoto.Samuel Chukwueze mnamuonaje? Ataweza kukiwasha right wing Kwa Saka?
Binafsi namuona ni Antony muafrika ingawa anafurahisha kumuangalia. Pia naona kama anaweza kuwa mwepesi sana Kwa premier league na wapinzani watamzidi sana nguvu.
Pia anategemea sana mguu wa kushoto. Hata kupiga tu shuti au kufunga Kwa tap-in Kwa mguu wa kulia nadhani hawezi. Ila akiwa na mpira mguuni hakuna beki anayetamani kumkaba Tumehusishwa nae.
Je hatupaswi kumuangalia Mitoma wa Brighton?

️ |
Declan Rice did not want to go to any ‘plastic’ club like Man City, per @FabrizioRomano. 


Romano: “Key factor to this deal is Declan Rice did not want to go to any kind of ‘plastic club’. His father Sean Rice is very critical of Manchester City.”

