arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Kwhyo ulitaka tusijadili mkuu...kama inakuchukiza sana ungebaki kwenye jukwaa la timu yako kule mbona rahisi tu...kuhusishwa timu yetu na Mbappe sio ishu na inajulikana ni rumours za hewani tu....Sasa watu hawazuiwi kudiscuss hata kama ni pumba...ww kama ni WA Man UTD...nenda kule kwenu kajadilini updates za mwarabu kupewa timu na £milioni 40 mliyobakiwa nayo kusajili...kama ni Chelsea nenda kakadili kikosi chenu namna mtakavyogombea top 10 msimu ujao...kama ni Liver nenda kajadili namna mtakavyobeba ndoo kama mnavyoaminishana...lakini kuleta kejeli kisa watu Wana discuss mustakabali wa timu Yao huko ni kuwashwa kusiko na msingiHii sio hata changamsha genge huu ni ukosefu wa akil.. Huwez hata jarb weka sentence moja neno Arsenal na Mbappe ni kama dharau hata kama ulikua unachangamsha walevi iyo sio sawa hata kdg.
Khs sio channel ya club au la iyo sisi haituhusu.. Hao ni washabik wa Arsenal na inaonesha jinsi gani wengi wenu mlivo vichwa maji high hopes wkt team yenyw ya kawaida.. Ndo maana mkifungwa hapa mnapotea hamlitak jukwaa lenu.. Jamaa yenu kaja na tetes za usajil humu mmejazana kujazana upepo kua next season mtakua watu tishio la kuotea mbali.

.


️Talks between
Arteta, with a very good opinion about the German national 
️
| Jesus, White & Trossard at London Colney!
#afc
️

