Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

DM lakini anapiga pass za kutosha mbele

Itoshe kusema manjesta hawataleta timu uwanjani
IMG_20230703_143514.jpg
 
Tukisema baadhi ya Mashabik wa Gunners uwa ni wehu mtuelewe tu.

Utasema huyu ni mzima kweli na ndo Yupo AFTV huyu kama mwakilishi wenu. View attachment 2677224
Siyo channel rasmi ya club....ni channel wametengeneza ku discuss ishu za club Yao...kwhyo Wana uhuru wa ku discuss rumour yyte...na ukiangalia hapo hyo sentensi ni kama anauliza swali....hlfu kinachowawasha ni nn hasa mnaposikia Arsenal inahusishwa na Mbape...mnaumia kwlikwli....after all tunajua Mbappe destination yake ni Madrid...hzi zingine ni changamsha genge tu...kule ndo anaweza akatulia na ile Ego yake maana kuwa na mtu kama yle ni kama kuweka bomu chumbani kwako
 
Arsenal are exploring "potential exit routes" for Nicolas Pepe, Folarin Balogun, Albert Sambi-Lokonga, Nuno Tavares and Cedric Soares.

Arsenal value Balogun, who scored 21 goals on loan at Stade de Reims last season, at £50m.

Arsenal are also discussing the next best step for winger Marquinhos.

Another loan move away - or even a permanent deal - has not been ruled out.

There are no issues with the contracts for defender William Saliba and forward Reiss Nelson.

It's thought paperwork is being finalised after agreements in principle were struck last month.

(@SkySportsPL )

skysports.com/transfer-centre
 
ARSENAL HAWAJAMALIZA ,BADO WANAMTAKA CANCELO


(bit of a strange one considering circumstances)

Arsenal are now "hot" for Cancelo. Player is on top of Arsenal list. Henrichs and Boey are also seen as alternatives.

Cancelo wishes to go to spain but no concrete offers.

(@kicker_BL)
 
Siyo channel rasmi ya club....ni channel wametengeneza ku discuss ishu za club Yao...kwhyo Wana uhuru wa ku discuss rumour yyte...na ukiangalia hapo hyo sentensi ni kama anauliza swali....hlfu kinachowawasha ni nn hasa mnaposikia Arsenal inahusishwa na Mbape...mnaumia kwlikwli....after all tunajua Mbappe destination yake ni Madrid...hzi zingine ni changamsha genge tu...kule ndo anaweza akatulia na ile Ego yake maana kuwa na mtu kama yle ni kama kuweka bomu chumbani kwako
Yaani inasikitisha Sana, yaani Mbappe kuhusishwa na Arsenal mtu anaumia, halafu Ni hao hao waliosema Rice hawez kuichagua Arsenal aiache mancity , hao hao waliosema Arsenal haiwez kutoa £100m

Lakin mtu Huyo Huyo anaamini mbappe anaweza kwenda manjesta kwenye timu isiyojulikana inacheza Nini na inaua vipaji , anaamini mbappe anaweza kwenda manjesta ambayo bajeti yao Ni £100m ambayo Arsenal imemsajiri mchezaji mmoja.
 
Siyo kwamba anafikia huko Kwa sababu timu yake inazuia sana? Ni kama makipa wanaoshambuliwa sana (kina De Gea) huwa Wana saves nyingi pia...
Kama anafanya interception nyingi,anapiga pass za mbele nyingi, zinazofanikiwa kwa timu inayoshambuliwa sana Basi tuna expect kwa timu Kama Arsenal inayo possess Sana Basi atafanya vzr zaidi
 
Yaani inasikitisha Sana, yaani Mbappe kuhusishwa na Arsenal mtu anaumia, halafu Ni hao hao waliosema Rice hawez kuichagua Arsenal aiache mancity , hao hao waliosema Arsenal haiwez kutoa £100m

Lakin mtu Huyo Huyo anaamini mbappe anaweza kwenda manjesta kwenye timu isiyojulikana inacheza Nini na inaua vipaji , anaamini mbappe anaweza kwenda manjesta ambayo bajeti yao Ni £100m ambayo Arsenal imemsajiri mchezaji mmoja.
Manyumbu Yana kocha mzuri lakini recruitment Yao ni sifuri...wanatakiwa waanze moja kabisa sio kuleta ujanjaujanja kama wanaoufanya Sasa....Chelsea wanachokifanya ni ku bet ila kikilipa rasmi watakuwa wamerudi... Liverpool Hawa wamesajili wachezaji wawili Sasa wanasema msimu ujao wanabeba EPL...labda waliibe....msimu unaofata ni Man City dhidi ya arsenal tena...hzi timu nyngne zijitafute
 
Manyumbu Yana kocha mzuri lakini recruitment Yao ni sifuri...wanatakiwa waanze moja kabisa sio kuleta ujanjaujanja kama wanaoufanya Sasa....Chelsea wanachokifanya ni ku bet ila kikilipa rasmi watakuwa wamerudi... Liverpool Hawa wamesajili wachezaji wawili Sasa wanasema msimu ujao wanabeba EPL...labda waliibe....msimu unaofata ni Man City dhidi ya arsenal tena...hzi timu nyngne zijitafute
Acha kudanganya hizi kondoo.
 
After renewed talks with Leverkusen, Xhaka’s move will soon be confirmed. Arsenal to receive around £21.5m. Excellent fee for the 30-year-old.
 
Siyo channel rasmi ya club....ni channel wametengeneza ku discuss ishu za club Yao...kwhyo Wana uhuru wa ku discuss rumour yyte...na ukiangalia hapo hyo sentensi ni kama anauliza swali....hlfu kinachowawasha ni nn hasa mnaposikia Arsenal inahusishwa na Mbape...mnaumia kwlikwli....after all tunajua Mbappe destination yake ni Madrid...hzi zingine ni changamsha genge tu...kule ndo anaweza akatulia na ile Ego yake maana kuwa na mtu kama yle ni kama kuweka bomu chumbani kwako
Hii sio hata changamsha genge huu ni ukosefu wa akil.. Huwez hata jarb weka sentence moja neno Arsenal na Mbappe ni kama dharau hata kama ulikua unachangamsha walevi iyo sio sawa hata kdg.

Khs sio channel ya club au la iyo sisi haituhusu.. Hao ni washabik wa Arsenal na inaonesha jinsi gani wengi wenu mlivo vichwa maji high hopes wkt team yenyw ya kawaida.. Ndo maana mkifungwa hapa mnapotea hamlitak jukwaa lenu.. Jamaa yenu kaja na tetes za usajil humu mmejazana kujazana upepo kua next season mtakua watu tishio la kuotea mbali.
 
Manyumbu Yana kocha mzuri lakini recruitment Yao ni sifuri...wanatakiwa waanze moja kabisa sio kuleta ujanjaujanja kama wanaoufanya Sasa....Chelsea wanachokifanya ni ku bet ila kikilipa rasmi watakuwa wamerudi... Liverpool Hawa wamesajili wachezaji wawili Sasa wanasema msimu ujao wanabeba EPL...labda waliibe....msimu unaofata ni Man City dhidi ya arsenal tena...hzi timu nyngne zijitafute

Daah mkuu. Hawa liverkuku na manyumbu sio wa kuwaambia ukweli kama huu. Hawa waambie kuwa watashinda ligi Kwa points zaidi ya mia na kina Antony au Darwin watapiga zaidi ya 30 goals
 
Back
Top Bottom