Kwa timu ambayo inazuia halafu jamaa ana stats hizi,itoshe kusema anajua View attachment 2677207
Tukisema baadhi ya Mashabik wa Gunners uwa ni wehu mtuelewe tu.
Utasema huyu ni mzima kweli na ndo Yupo AFTV huyu kama mwakilishi wenu. View attachment 2677224
Yan hii AFTV uwa ni kama vichekesho yan ni watu wa ovyo sana bas tuNadhani wa mashabiki serious wa Arsenal hawajiusishi na AFTV
Siyo channel rasmi ya club....ni channel wametengeneza ku discuss ishu za club Yao...kwhyo Wana uhuru wa ku discuss rumour yyte...na ukiangalia hapo hyo sentensi ni kama anauliza swali....hlfu kinachowawasha ni nn hasa mnaposikia Arsenal inahusishwa na Mbape...mnaumia kwlikwli....after all tunajua Mbappe destination yake ni Madrid...hzi zingine ni changamsha genge tu...kule ndo anaweza akatulia na ile Ego yake maana kuwa na mtu kama yle ni kama kuweka bomu chumbani kwakoTukisema baadhi ya Mashabik wa Gunners uwa ni wehu mtuelewe tu.
Utasema huyu ni mzima kweli na ndo Yupo AFTV huyu kama mwakilishi wenu. View attachment 2677224
Safi sana....Napenda mashabiki wenye IQ ya uelewa kama wewe.....Kama Partey hatauzwa tena kwa Bei nzuri Arsenal biashara ya kununua Midfield imeisha hapo.Hatujapeleka ofa uzuri msimu huu kila tukipeleka ofa tunarudi na mchezaji, pili partey akisepa utamuona Lavia pale London.
Mkuu ndio ukweli huo Bila Partey kuondoka hakuna Lavia.Mkuu statement yako ya mwisho upo serious kweli?mchezaji asubiri mwenzake auzwe huku kuna Giant anamnyemelea?
(bit of a strange one considering circumstances)Yaani inasikitisha Sana, yaani Mbappe kuhusishwa na Arsenal mtu anaumia, halafu Ni hao hao waliosema Rice hawez kuichagua Arsenal aiache mancity , hao hao waliosema Arsenal haiwez kutoa £100mSiyo channel rasmi ya club....ni channel wametengeneza ku discuss ishu za club Yao...kwhyo Wana uhuru wa ku discuss rumour yyte...na ukiangalia hapo hyo sentensi ni kama anauliza swali....hlfu kinachowawasha ni nn hasa mnaposikia Arsenal inahusishwa na Mbape...mnaumia kwlikwli....after all tunajua Mbappe destination yake ni Madrid...hzi zingine ni changamsha genge tu...kule ndo anaweza akatulia na ile Ego yake maana kuwa na mtu kama yle ni kama kuweka bomu chumbani kwako
Kama anafanya interception nyingi,anapiga pass za mbele nyingi, zinazofanikiwa kwa timu inayoshambuliwa sana Basi tuna expect kwa timu Kama Arsenal inayo possess Sana Basi atafanya vzr zaidiSiyo kwamba anafikia huko Kwa sababu timu yake inazuia sana? Ni kama makipa wanaoshambuliwa sana (kina De Gea) huwa Wana saves nyingi pia...
Manyumbu Yana kocha mzuri lakini recruitment Yao ni sifuri...wanatakiwa waanze moja kabisa sio kuleta ujanjaujanja kama wanaoufanya Sasa....Chelsea wanachokifanya ni ku bet ila kikilipa rasmi watakuwa wamerudi... Liverpool Hawa wamesajili wachezaji wawili Sasa wanasema msimu ujao wanabeba EPL...labda waliibe....msimu unaofata ni Man City dhidi ya arsenal tena...hzi timu nyngne zijitafuteYaani inasikitisha Sana, yaani Mbappe kuhusishwa na Arsenal mtu anaumia, halafu Ni hao hao waliosema Rice hawez kuichagua Arsenal aiache mancity , hao hao waliosema Arsenal haiwez kutoa £100m
Lakin mtu Huyo Huyo anaamini mbappe anaweza kwenda manjesta kwenye timu isiyojulikana inacheza Nini na inaua vipaji , anaamini mbappe anaweza kwenda manjesta ambayo bajeti yao Ni £100m ambayo Arsenal imemsajiri mchezaji mmoja.
Acha kudanganya hizi kondoo.Manyumbu Yana kocha mzuri lakini recruitment Yao ni sifuri...wanatakiwa waanze moja kabisa sio kuleta ujanjaujanja kama wanaoufanya Sasa....Chelsea wanachokifanya ni ku bet ila kikilipa rasmi watakuwa wamerudi... Liverpool Hawa wamesajili wachezaji wawili Sasa wanasema msimu ujao wanabeba EPL...labda waliibe....msimu unaofata ni Man City dhidi ya arsenal tena...hzi timu nyngne zijitafute
Ww ndo kondoo mkuuAcha kudanganya hizi kondoo.
Hii sio hata changamsha genge huu ni ukosefu wa akil.. Huwez hata jarb weka sentence moja neno Arsenal na Mbappe ni kama dharau hata kama ulikua unachangamsha walevi iyo sio sawa hata kdg.Siyo channel rasmi ya club....ni channel wametengeneza ku discuss ishu za club Yao...kwhyo Wana uhuru wa ku discuss rumour yyte...na ukiangalia hapo hyo sentensi ni kama anauliza swali....hlfu kinachowawasha ni nn hasa mnaposikia Arsenal inahusishwa na Mbape...mnaumia kwlikwli....after all tunajua Mbappe destination yake ni Madrid...hzi zingine ni changamsha genge tu...kule ndo anaweza akatulia na ile Ego yake maana kuwa na mtu kama yle ni kama kuweka bomu chumbani kwako

.Siyo kwamba anafikia huko Kwa sababu timu yake inazuia sana? Ni kama makipa wanaoshambuliwa sana (kina De Gea) huwa Wana saves nyingi pia...
Manyumbu Yana kocha mzuri lakini recruitment Yao ni sifuri...wanatakiwa waanze moja kabisa sio kuleta ujanjaujanja kama wanaoufanya Sasa....Chelsea wanachokifanya ni ku bet ila kikilipa rasmi watakuwa wamerudi... Liverpool Hawa wamesajili wachezaji wawili Sasa wanasema msimu ujao wanabeba EPL...labda waliibe....msimu unaofata ni Man City dhidi ya arsenal tena...hzi timu nyngne zijitafute
Kwa statistics hizi why tumuuze Partey?itakuwa ni ukichaa mkubwaView attachment 2677202