Kai Havertz has become Arsenal’s top earner on a reported £330,000 per-week.
(Source: @SPORTBILD_eng)
Akiflop si ndio mfurahi Sasa!... Yaani mshahara atoe Arsenal halafu nyumbu ndio mnasikitika!.. kama tumepigwa si ndio mfurahi?.... Na mkileta fyokofyoko tunabeba Sancho!.. Nia tunayo, sababu tunayo na uwezo tunao!.. mwaka I lazina muwe huko kwenye relegation zone!Huyo Harvez msimu gani aliocheza vizuri huko alikotoka mpaka mkastahili kumlipa hio £330k ambayo ni rekodi mpya ya mshahara katika timu yenu.
Hilo ni bomu kwenye dressing room ambalo linaweza kupelekea uwanjani wachezaji wakawa hawatoi assist makusudi ili asifunge aonekane ni flop anaelipwa pesa ndefu.
Akiflop si ndio mfurahi Sasa!... Yaani mshahara atoe Arsenal halafu nyumbu ndio mnasikitika!.. kama tumepigwa si ndio mfurahi?.... Na mkileta fyokofyoko tunabeba Sancho!.. Nia tunayo, sababu tunayo na uwezo tunao!.. mwaka I lazina muwe huko kwenye relegation zone!
|| Arsenal are targeting a stunning move for France forward Kylian Mbappé!Reports
(@footyinsider247)
Man Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.Flano mmefilisika
Cash-strapped United don’t have the money to deliver all of their Ten Hag’s summer targets. @MullockSMirror
MshafilisikaMan Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Unaweza kuwa valuable lakini ukawa na mideni kwlikwli...mpk dirisha likifungwa tutajua hela ya usajili imetoka ngapi na kile kikundi chenu cha mazoeziMan Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Majukwaa yote yameamia humu kuna jukwaa la timu fulani, nilipita baada ya wiki nakuta comment 2 tuHili jukwaa la Gunners saiv unavolikuta juu ya Thread kila mara kipind hiki cha usajili wanavopiga porojo humu na mbwembwe kibao.
Ngj ligi ianze uone watu wanavopoteana hapa
Hii Arsenal ya mwaka huu itawaua Kwa pressure aiseee!Asenyo ni kama nyoka la kibisa tu, hata mkipewa kikosi kizima cha Mancity mtakua na uwezo wa kuongoza ligi kwa siku 258 halafu baada ya hapo mnatupa taulo chini na kuanza kuchuchumaa mpaka ligi inaisha.
Hawa hapa chini ni wajanja walishtukia mapema wakaamua kujiongeza, la sivyo wangestaafu bila ya kugusa kombe la Epl. View attachment 2675328View attachment 2675330
Bajeti haitoshi hukuMan Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Oya chagua Moja Asajiliwe kipa mpya lakin forward aje Vicent ABOUBAKARI au Asajiliwe Forward mwenye angalau lakini kipa awe DegeaMan Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Tangu mchana nilisema, nyumbu washatupa kitaulo ulingoniFlano mmefilisika
Cash-strapped United don’t have the money to deliver all of their Ten Hag’s summer targets. @MullockSMirror
Sasa huu ndo usajili nausubir kwa ham jamaa ataleta ushindani kuanzia right back,center back na middle na ataongeza wigo wa mifumo hasa mfumo wa 3 backlineJurrien Timber will complete a £45million move to Arsenal this week
(@MullockSMirror )
Oya chagua Moja Asajiliwe kipa mpya lakin forward aje Vicent ABOUBAKARI au Asajiliwe Forward mwenye angalau lakini kipa awe Degea
Timu ishafilisika hii
The prospect of signing a goalscorer is why one-on-one talks are planned with David de Gea once he returns to England. If United sign a goalscorer, the club may not be able to sign a new No.1.
[ @lauriewhitwell ] - Tier 1
Kwa mujibu wa @TNTX kuna suprise inakuja kabla ya dirisha kufungwa@hamis77 wewe ni chama langu ila usitake kuwatisha majirani kwa namna hii bwana
Hela zinatoka mfukoni mwako kwani kaka?Ila huu ni ujinga sana