Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Anunuliwe Lavia na winger wa kulia mmoja preferably Diaby yule wa Leverkusen...Partey auzwe sababu ni mtu ambaye hana uhakika wa kucheza gemu nyng kwa msimu kutokana na history ya majeruhi...xhaka abaki kwa msimu mmoja zaidi....then msimu unaokuja...chances za kushinda ubingwa ni kubwa maana squad depth itakuwa nzuri sana
Partey asiuzwe, jamaa likiwa fiti ni jitu hatari, uchawi majeruhi tu.. anahitajika kuongeza upana wa kikosi chenye ubora.
Xhaka aende, jamaa hanyumbuliki, mchezaji mgumu kama anakula mawe.

Diaby yes, namkubali huyu jamaa.. ni kama vile nilivyokuwa namkubali douglas costa, mpaka kesho nasikitika douglas kutokicheza EPL
 
Kwenye Eneo la RW tumefichwa sana jina hata dalili za kujua nani tunamuitaji hakuna kabisa zaid ya sisi kujitungia tu aiseee.
 
Finishing nzuri ipi hio mbona sijawahi kuiona zaidi ya nafasi za wazi anazokosa. Huyu dogo aondoke tu maana yupo toka enzi za wenger na now ndo amebaki yeye tu mkongwe
Mlinganishe kwa magoli na ST wetu waliopo.

Hesabu chances wanazokosa na anazokosa yeye
 
Huyu dogo anafunga kwenye mazingira magumu ila kwenye clear chance ni mchomaji mimi kwangu naona huwa anabahatisha kwenye chance 5 anafunga 1
Yaani hicho unachosema ni kweli ila ndiye ana finishing nzuri kuliko aliocheza nao pale msimu uliopita kwa nafasi ya ST.
 
Hapa Mc Allister
Hapa Szoboszlai
Nacheka kwa Dharauuu
IMG_20230630_130434.jpeg
 
️ | Arsenal to move for Romeo Lavia after completing Jurrien Timber deal.

Gunners hierarchy have focused on getting players Mikel Arteta wants and the Southampton midfielder is high on his list. #AFC #Transfers #Lavia

Hii Arsenal ya NDOO
Kuna watu hawataleta timu uwanjani
Tulisema hivyo hivyo mwaka 2021 na mwaka wa pili yake tukacolapse,
Usitukane Mamba kabla hujavuka mto
 
Ethan Nwaneri has signed scolarship deal at Arsenal — then agreed first pro deal to be signed when he will turn 17. It’s done, exclusive news confirmed

Contract will be valid for 2.6 years — it’s the highest salary offer made by #AFC for Academy player.

Here we go
 
Tulisema hivyo hivyo mwaka 2021 na mwaka wa pili yake tukacolapse,
Usitukane Mamba kabla hujavuka mto
Msimu Jana mlisema hata top 4 hatuingii ,Cha ajabu kushika nafasi ya 2 mnaona tumefeli

Ndio maana tunarudi Tena kugombea mataji
 
Back
Top Bottom