Thuram na Kone nimewaangalia , Sion Kama wapo tayari kwa EPL hiiThuram na Kone sio ‘watoto’ wana uwezo mkubwa sana,pale kati pia anaongezwa Barela pia beki wa pembani Pavard ili TAA acheze kati sio tena akina Fabihno.
Klopp kaisha kimbia nalo kombe lake.

Hiyo ndio Dream team anayoiota ArtetaHapo kwenye defense hebu check yeye na Caicedo nani anafanya defense vizuri.
Nafikiri Arsenal tunakomaa na Rice kwa sababu havutiwi sana na kwenda mbele kama Caicedo, kupenda kwenda mbele kwa Caicedo ni kama Lokonga. So Rice akiwa pale inakua rahisi kucheza 4 3 3 ambayo ikichekechwa inakua 4 1 2 3.
1 DM na 2 ni AM
DM Rice na AM Kai na Martin
Kwa maoni yangu
Declan Rice is Mikel Arteta’s top target & Arsenal have gone to great lengths to woo the player. There is mutual admiration between Rice & Arteta. Arsenal’s manager envisages pairing Rice in midfield with Kai Havertz.West Ham wakikataa na hii Bid au Man City akija na hela nyng zaidi...Arsenal waachane naye...waangalie targets zingine...Installment issues in Arsenal’s bid for Declan Rice are thought to be minor. Reports,
@Teamnewsandtix- Tier 1
Oya 100M hua haitoki mara moja.Most of people hawajui mengi kuhusu hizi deals za £100m
Mfano hapa kwa Grealish mpaka Leo city anadaiwa
View attachment 2671153
Kuna watu wanakwambia ohoo Tunalipa kwa mafunguOya 100M hua haitoki mara moja.
Kwani kuna mtu alijua inatoka mara moja
FFP itakua inakulia timing
Mkuuuu hapo nimekosa tena la kusema ila nasema tena na tena Arsenal kwa sasa naona anakuwa Big Giant kwenye usajili na pesa ssa ipo kibunda cha kutosha sanaKuna muda deals kama hizi unapambama kuweka heshima
Maana dharau zimezidi sana

Kuna mdogo wangu ansema mkishindwa kumsajili Rice hatovaaa jezi ya arsenal mwaka mzimaKuna muda deals kama hizi unapambama kuweka heshima
Maana dharau zimezidi sana
Niliwahi kuandika hapa Arsenal tunahitaji mchezaj mmoja tu kati ya RCB / RB na pia mmoja kati ya RW/ CF, kama tutamsajili Lavia basi ni wazi Kai atacheza km CF na Jesus atarotate na SaKa.Arsenal haitasajili RCB Bali Ben white atarudishwa RCB akagombee namba na William Saliba
Jurrien Timber Ni usajili wa RB
Kieran Tierney anaweza kurudi Celtic au Newcastle
Nafasi ya LB watasaidiana Zincheko na Tomiyasu
LCB ataendelea Gabriel Magalhaes na Jakub kiwior
Rob holding ameambiwa atafute timu ya kumnunua au mkopo ,Besiktas ,Brentford wanamunitaji
Kama itatokea timu ya kumtaka kwa mkopo Basi Arsenal wataongeza mkataba ili aje auzwe .
kabisa aseee tuamie kwa lavia tu kwa upande wangu namuona yuko vzuri zaidiRice ni overrated sababu ni British, in my opinion huwa nawakubali sana South America players ni fighters na ball wanalijua hata baadhi ya African players pia huwa ni wazuri tatizo ni media coverage huwa haipo upande wao so Rice akija ni sawa asipokuja pia ni sawa tu