Tugawane majukumu, huo upande wa pili mumuelezee nyieAll arsenal fans watamuelezea kai upande mmoja tu basi na hawatakubali kumuelezea kai upande wa pili sawa ngoja tuone maana muda ni mwal mzuri
Sijajua huko shallow kiasi hichiTugawane majukumu, huo upande wa pili mumuelezee nyie
Yani Havertz aje kucheza double 8s halafu Rice lone DM!!!MAONI YANGU KUHUSU KAI ATAKAVYOTUMIKA
Kwenye 4-3-3 yetu Ni eneo la Xhaka tu ndio limeshindwa kutupa 10+ goals
Ile system imetengenezwa RW na LW wachangie 10+ goals
LH side no.8 achangie 10+ goals
RH side no.8 achangie 10+ goals
Ni LH side kwa Xhaka ndipo palikosa goals 10+ , na kulionekana Kama pangepatikana mtu mnyumbulifu Basi angepiga 10+ goals
Kwa nionavyo kwa sifa za Kai maana anaonesha Ni mchezaji aliyefanya runs nyingi EPL , means anashambulia box
Tusubiri kumuona pia kwenye double 8/10 yeye na Odegaard chini ya DM (Jorginho au Rice )
Lakin pia unaweza ukamtumia Kama false 9 ,nafasi aliyoicheza Sana na kwa usahihi Leverkusen akafunga goal nyingi
Kitu kingine Ni mzuri kwenye aerial duel ,katika magoli yake 32 Chelsea ,magoli 10 Ni ya vichwa
Tutarajie kumuona akitumika Kama false 9 au kwenye double 8/10 upande wa kushoto ,nafasi aliyokuwa anacheza Xhaka
Binafsi nataman Sana kumuona kwenye double 8/10View attachment 2664804
Kajamaa tukiwa tunastruggle hakaonekani, kipindi cha usajili au timu ikishinda ndo kanakuja kutusumbua, na uchambuzi, tetesi za uchwara.
Haka kajamaa ni hopeless kabisa. Ukienda against na hoja yake utakasikia "sitakujibu tena"View attachment 2659896
Halafu ukimchallange kidogo poooovu linamtoka, utasikia sikujibu. Kuna kondoo mwingine anaibuka huko na kuja kumpa ushauri "mi huwa nawablock", yaani wanashauriana kila anayempinga apge block. Yaani hawa jamaa wamerogwa.
Mamluki FC when Arsenal perform better,kutwa utamuona na maandiko team ikifeli humuoni humu na uchambuzi wake why team yake imefungwa
Haka kajamaa mtakauwa wallahiYeah for sure lijamaa lina kelele nyingi timu ikiwa na matokeo tu , timu ikifungwa hulioniii humu halafu linajikuta arsenal fan kwa kusoma soma vihabari vya arsenal news now na kwingine wakati nyinyi mpo in bad and good times !!! Kuanzia game ya Liverpool lilipotea limerudii juzi na habari zake za kizushiiii
Kana hasira kweli kweliHuyo jamaa anafokea kila mtu anajiona yeye ndo mwana arsenal peke yake, anataka aaminiwe hata kama anasrma uongo, na kauli zake za kike eti sa hizi siwajibu watu wa hivi/vile
Anafikiri wachezaji wajinga waende Ass'anal bila mpunga wa maanaOoh utaratibu umebadilika sasa hivi maongezi kwanza then inatumwa bid hakuna kukataliwa,
Haya juzi rice jana kai
Hapendi ukweli kabisaMi juzi nilimwambi yule mwamba Arsenal fc tunazingua sana kwenye usajili nikaambiwa na mihemko
Dili la rice linaweza kwenda hata mpaka july.
Kwahyo unataka tufanikiwe unavyotaka ww??kila timu inasajili kwa taratibu na mbinu zakeHahahahaaa leo huyo dogo mtampamba na kumsifia sana wakati huohuo mlikuwa mnamponda, ila ukwel ni kuwa mmelamba gharasa. Ila mashabk wa asenyeto ndio maana mnapigwa mawe sana maana mna chonga sana hizo domo zenu
Mmmmh aseee caecedo ni mtu jamaniLavia nilimwona vizuri Ile game yetu na wao. Kwa aina ya timu Yao na uchezaji ule. Kwa maoni yangu, Lavia ana potential kubwa kuliko Caecedo
Manjesta ndio hamuwezi hivo, unaitafasiri Arsenal Kama manjestaYani Havertz aje kucheza double 8s halafu Rice lone DM!!!
Arsenal mna utani sana. Arteta anajivisha bomu.
kUna mwingine anakwambia anajua kufunga, yaani hawa Arse88 huwa wanachekesha. halafu wana akili sawa, kasoro wawili humu ndio naona wanajielewa.
Arteta akishasema wao wanafuata tu kama makondoo, hata leo akisema anasajili Antony wa Man u, utaona watakavyomsifia.
Tatizo lenu mashabiki wa Arsenal ndiyo hili. Football inajadiliwa kwa facts. Mpira ni mchezo wa wazi, kila mtu anashuhudia.Manjesta ndio hamuwezi hivo, unaitafasiri Arsenal Kama manjesta
mkiwaga mnaongoza ligi unakuaga na mdomo sana ila unatukimbiaga uku ila saiv kwakua mnaongoza ligi acha tukuache ubwabwajeManjesta ndio hamuwezi hivo, unaitafasiri Arsenal Kama manjesta
Arsenal and Arteta "won over" Havertz with their vision of playing him as a left 8
(The Athletic)
Ila Bayern tunampiga za uso lazima atuchukie, yeye si ana UEFA bhana ila kila akigusa wachezaji wanachomoa route.News:
Timber aliomba kubaki Ajax ,ila iliwekwa Realase clause ambayo Ni Siri
Timber alikuwepo kwenye mech ya FA Cup ya manjesta vs city , ndio siku alikutana kwa Siri na Arsenal wakamaliza mchezo ,
Inaonesha Realese clause Ni chini ya £50m
Hivo Arsenal wameshaijua,wakatest kwa £30m iliyokataliwa ,Ajax wapo kwenye presha ,maana inaonesha release clause Ni ndogo ,
Bayern kahijack deal kaambiwa mchezaji anaitaka Arsenal
Now Arsenal na Ajax wanakaribia kukubaliana Bei