hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,326
- 26,785
Nyie ni wazee wa kupoint tu wala hamtupi shida, hamjawahi kua serious linapokuja suala la kutoa pesa.
Utashangaa Chelsea, Man Utd, Aston Villa au Crystal Palace wamepeleka pesa na kuchukua mali halafu nyinyi mnabaki na porojo zenu tu.


karibu flano ,ulipotea kidogo, Nasikia manjesta mmefungiwa usajili



Arsenal make new £60m offer for Chelsea's Kai Havertz
@SamiMokbel81_DM