Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mlitaka kipa tofaut na Ramsdale , Odegaard,white, n.k karibu wote hao sidhan Kama walikuwa first choice kwenye akili zenu but wame prove wrong

Klopp alimsajiri Mane, Salah, Wijnadam , Robertson ,hao wote walikuwa 2nd choice kwakuwakosa kina Gotze ,.n.k lakin wali click

Jorginho ana miez minne na ameweza kuingia Moja kwa Moja first team ,

Unaweza kuwa na list ya wachezaji 6 eneo la DM , ukakosa first target ukapata 5th na ikafanya vzr ,maana kinachozingatiwa Ni profile husika

Mbona tulimkosa mudrky aliye kuwa first choice na tukampata Trossard 2nd choice na kachangia Goli nyingi .
 
Kuna kila dalili za wazi ,Arteta anataka kucheza Diamond kwenye midfield ,ndio maana anamtaka Rice

Naelewa hivo maana Rice Ni CB , anataka kumtumia Kama Pep anavyomtumia Stone

Lakini pia Kuna tetes Rice atacheza role ya Xhaka. , Pia Kuna tetes Kai atatumika #8 LHS au false 9

 
Daah rice false 9 SMH
 
Kuna watu wakiandika humu utadhani Arteta na Edu ni wapuuzi wasiojua chochote kuhusu arsenal na football kwa ujumla. Ujuaji mwingi sana.
 
Jibu swali njoo na data ,napenda sana data with facts njoo nazo tuanze kuzichambua niambie ni lini Big teams tuliwahi kupambana nazo kuhusiana na good players na tukafanikiwa tukawasign?Acha kupayuka hapa tunazungumzia football
Kashabikie Psg tuachie timu yetu
 
Una hisa Arsenal?mbona baadhi ya Arsenal fans kama wewe mnakuwa na akili ndogo namna hii?
Wewe si ulisema umehamia Psg?

Bado haujafika tu huko Psg. Kila muda kuitukana na kushambulia uongozi wa Arsenal kwani umelazimishwa kushabikia hii timu?
 
Jibu swali njoo na data ,napenda sana data with facts njoo nazo tuanze kuzichambua niambie ni lini Big teams tuliwahi kupambana nazo kuhusiana na good players na tukafanikiwa tukawasign?Acha kupayuka hapa tunazungumzia football
Data za nini?! Wewe na hizo data zako zinaisaidiaje Arsenal? Hizo data zako hakikisha Edu na Arteta wanazipata. Sio kupiga kelele za kuwalaumu humu.
 
Sina shida na target, coach ndio anajua anataka nini kwa mchezaji.. shida ni arsenal wakianza maneno, stori nyiingi, baadae mchezaji anachukuliwa na mwingine.
 
Si rahisi kurudishwa, hakutuacha vizuri, lakini pia umri umeenda.
 
Kiuhalisia tu sioni Arsenal akitumia £200m kwa wachezaji wawili tu yan iyo haipo na haiwezi kutokea Rice & Caicedo, abaki partey ili tudeal na maeneo mengine yenye mapungufu zaid hata next season Partey akiondoka sio mbaya tutakua tushajipanga kwa ajiri ya spend money tena, maana kwa harakaharaka Partey, Xhaka replacement zao ni zaid ya £160-200M bado kuna RB,RCB na RW au asiposajiliwa RCB basi asajiliwe RB maana White ni RCB.
 
Wewe si ulisema umehamia Psg?

Bado haujafika tu huko Psg. Kila muda kuitukana na kushambulia uongozi wa Arsenal kwani umelazimishwa kushabikia hii timu?
Niambie kuwa PSG na Arsenal ni dhambi?hii team haiendelei reason kubwa nusu ya Arsenal fans wa 2010s na kuendelea hamna hoja za kureason tofauti na sisi wa 90s imagine unaona ni dhambi kuwa fan wa PSG na Arsenal at the same time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…