hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,400
- 26,952
Mlitaka kipa tofaut na Ramsdale , Odegaard,white, n.k karibu wote hao sidhan Kama walikuwa first choice kwenye akili zenu but wame prove wrongKwani huyo jorginho ametufanyia nini cha maana pale arsenal so far??
Unaongea as if mpira unaangaliaga peke yako
Hapa tulipo kama timu tunahitaji quality player tu ambao washa prove.
Narudia tena kukwambia kwenye usajili ukikosa first choice player wako una chance 80% ya kuangukia kwenye galasa
Klopp alimsajiri Mane, Salah, Wijnadam , Robertson ,hao wote walikuwa 2nd choice kwakuwakosa kina Gotze ,.n.k lakin wali click
Jorginho ana miez minne na ameweza kuingia Moja kwa Moja first team ,
Unaweza kuwa na list ya wachezaji 6 eneo la DM , ukakosa first target ukapata 5th na ikafanya vzr ,maana kinachozingatiwa Ni profile husika
Mbona tulimkosa mudrky aliye kuwa first choice na tukampata Trossard 2nd choice na kachangia Goli nyingi .