HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Thanks. Sikuwa na hii taarifaA Villa si washajibebea...!
Thanks. Sikuwa na hii taarifaA Villa si washajibebea...!
Kuna sehemu nimekujibu ,why unawashwa na mimi kila ninachopost?
Kama unatafuta bwana ,Mimi sijihusishi na mambo ya Ushoga
Maana kutwa kunifatilia , na nilipokuona huna akili nikakwambia nitakaa mbali na wewe ,Cha ajabu unanifatilia ,je umesikia natafuta shoga?
Sitakujibu tena ,Kama unataka mtu wakukuna , tafuta mwingine, sikujui na sijawahi kujadiliana na wewe .


unaanza kuleta mambo ya ooh ushoga sijuiii nini jikite kwenye mada 
Ana vilaza wake humu ndio anaowataka, wao kila kitu yes.Wewe unawajua wangapi humu acha makasiriko mzee , matusi ya nini hili ni jukwaa huru kama haupo tayariii kukosolewa hizi habari uwe unajadili wewe na wanao nyumbani maana hao tu ndo hawaweziii kukukosoa , hakuna sehemu nimekutukana lakini naona matusi kibao wewe si pekee ninaye quote wapo wengi na tunapingana maana mpira bila kubishana si mpira huo . Wewe hasira yako ni kuleta uongo tukisema hicho sicho unawaka unazani sisi ni watoto wako humu ndani ukikosolewa tulia acha hasira mbona wapo wengi tunawakosoa humu ndani na hawana makasiriko au wewe ndo kroenke au edu unataka kujimilikisha team humu na hii special thread!!
Umesema arsenal saivi anaweka mazungumzo kwanza then anatuma ofa moja tu tukatulia tukasema ok!! Dakika 10 mbele tunakuuliza vipi tena utaratibu mpya umekiukwa arsenal katuma offa imekuwa rejected tuelewesheeeunaanza kuleta mambo ya ooh ushoga sijuiii nini jikite kwenye mada
Acha makasiriko mimi na quote si kwa ajili yako ila ni kwa ajili ya wote wanaosoma ukileta info sio tutazikataa ukitaka usipingwe hizi taarifa uwe unapeleka kwa wanao tu au mke wako hao tu ndo hawakupingi ila humu hells no !!!
Endelea kukasirika mpira ni furaha
Bro ishu sio mihemukoWestham Wanataka £120m, ila wapo tayari kupokea £100m ,Arsenal wameandaa ofa ya £90m +10m add ons
Kinachofanyika Arsenal wamebadili utaratibu wa kumtaka mchezaji, Wanataka maongezi kwanza yawe sawa ,wakubaliane ,ili wakituma ofa ikubaliwe Moja kwa moja ,yasianze mambo yakutuma ofa ya 2,3 n.k
Hadi Sasa Bayern kakimbia
Rice anataka kuja Arsenal walishaongea na Arteta muda mrefu
Vyanzo vyote vya kuaminika vinasema dili litaisha wiki hii kwa Arsenal kuweka Ofa Moja mezani ,maana mazungumzo yameenda vizuri ,na hasa huwa Ni kwenye ulipaji upfront na zile add ons.
Hizi dili za €100m , £100m huwa sio rahisi kihivo , zinachukuaga hata mwaka
Kaangalie dili la Jude Bellingham , Liverpool aliishia njian ,Madrid ikamchukua muda
Kaangalie had manjesta analipa €100m kwa Anthony alivyohenyeshwa
Kaangalie Enzo Fernandez ,ilibidi bodi nzima ya Chelsea ipande ndege kukamilisha dili
Hao mancity unaowasema wanamtaka Kova kutoka Chelsea ,kwa €35m tu lakini Ni wiki 3 Sasa wanaenda mwezi hawajakamilisha
Kifupi TUACHE MIHEMKO
Bro ishu sio mihemuko
transfer plan ya timu yetu inashida tokea kitambo sana
naomba nikurudishe nyuma kidogo
hazard/ mata /mudryk hawa ni wachezaji tuliokuwa tunaongoza race kuwataka jibu unalo walishia timu gani
bruno guimares tulihusishwa sana nae before hajatua newcastle
Caicedo january tumeshindwa kumpata regardless of effort ya player himself afu compare na chelsea walivyo fight kumpata enzo
Sisi hata joao felix tulishindwa mazee
Geuka upande wa pili angalia man city walivyompata halland jack grealish kelvin phillips alvarez
Liverpool walivyompata gakpo nunez na macallister
Its true kabisa hakuna fans ana uhakika na sajili zetu mpaka zikamilike
Tielemas bonge moja la progressive mido unashangaa shangaa kumchukua, kama mtu una jicho la mpira basi utakubaliana na mimi kuwa gundogan is very similar with tielemas
tofauti ni timu tu
Mi ni true arsenal fan ila still kwenye usajili tuna uslow mwingi sana na tuna lack maturity.
lakini wachezaji wazuri wote mmewaona nyinyi kina hazard, kante, mata, cr7, mudryk, guimares na wengine kibao 
. Shida ni nini pale arsenal au ndo kama vile alivyosema tajiri wa Liverpool kipindi kile deal la suarez baada ya kuongeza paundi 1 “ what do you think they are smoking there at Emirates?” Kila mtu anaona arsenal ni kama kitukoleo tumejitoa kwenye dili ya caicedo ambaye january tulikuwa tunamtaka kwa udiMwambie mzee baba ila angalia si muda mrefu ataanza kukukataa , sisi tukiongea anaanza kutoa matusii
Kwenye usajili arsenal ni bingwa wakurahisisha timu kuchukua wachezaji wakali wanawaona wao then timu zingine zinakuja kubeba mnakuja kupata magarasa kina squilaci na asano au kina pepelakini wachezaji wazuri wote mmewaona nyinyi kina hazard, kante, mata, cr7, mudryk, guimares na wengine kibao
. Shida ni nini pale arsenal au ndo kama vile alivyosema tajiri wa Liverpool kipindi kile deal la suarez baada ya kuongeza paundi 1 “ what do you think they are smoking there at Emirates?” Kila mtu anaona arsenal ni kama kituko
leo tumejitoa kwenye dili ya caicedo ambaye january tulikuwa tunamtaka kwa udi
Fresh bana timu yetu tushaizoea kikubwa uhai




na dogo aliforce kabisa kuja arsenal!! Nyie kuweka pesa mezani mkashindwa baadae mtakuja kuwaleta kina nnaweri sijui miaka15 waje wacheze na kina kdb na gundo .Umeongea mambo mengi ambayo huna taarifa sahihi ,na hii ndio sababu mnaleta mihemko mingi SanaBro ishu sio mihemuko
transfer plan ya timu yetu inashida tokea kitambo sana
naomba nikurudishe nyuma kidogo
hazard/ mata /mudryk hawa ni wachezaji tuliokuwa tunaongoza race kuwataka jibu unalo walishia timu gani
bruno guimares tulihusishwa sana nae before hajatua newcastle
Caicedo january tumeshindwa kumpata regardless of effort ya player himself afu compare na chelsea walivyo fight kumpata enzo
Sisi hata joao felix tulishindwa mazee
Geuka upande wa pili angalia man city walivyompata halland jack grealish kelvin phillips alvarez
Liverpool walivyompata gakpo nunez na macallister
Its true kabisa hakuna fans ana uhakika na sajili zetu mpaka zikamilike
Tielemas bonge moja la progressive mido unashangaa shangaa kumchukua, kama mtu una jicho la mpira basi utakubaliana na mimi kuwa gundogan is very similar with tielemas
tofauti ni timu tu
Mi ni true arsenal fan ila still kwenye usajili tuna uslow mwingi sana na tuna lack maturity.
Declan Rice wants Arsenal move and is likely to end up there. Niamini hatusemi hayo kwa sababu tunaichukia club yetu hapana club yetu inatuzingua pa kubwaMtu anakwambia tulimshindwa Caicedo January
Watu kama Hawa ndio wanaleta mihemko humu
Tuliambiwa dili linaisha this week ndo kwanza city katia maguuThe 100m pound bid for Rice is IMMINENT. Arteta believes the player wants Arsenal
(@SamiMokbel81_DM - Tier 1 )
£120mBrighton wamepandisha Bei ya Caicedo had £120m
Tony Bloom values Moisés Caicedo as high as £120m. Chelsea are in pole position. Reports,
@Matt_Law_DT.




Jiulize kwanini kajitoa Sasa?klabu Zina mipangoNiamini hatusemi hayo kwa sababu tunaichukia club yetu hapana club yetu inatuzingua pa kubwa
Hebu tuulizane Kama real ingekomaa na Kai tungeweza kushinda nayo??
Haya city Katia mguu ,katuma ofa kiasi gani?Tuliambiwa dili linaisha this week ndo kwanza city katia maguu
unakumbuka chelsea walivyoambiwa not for sale kwa enzo?? mwisho wa siku walikomaa mpka wakampata so na sisi kama tungekomaa tungempataJiulize kwanini kajitoa Sasa?klabu Zina mipango
Real pesa kubwa anataka kutumia kusajiri CF ,Mbappe au Kane ,hivo hatakuwa na pesa ya kumsajiri Kai
Bayern kakimbia kasema maji marefu
Wewe unailaumu Arsenal tu , unasema tulimshindwa Caicedo, hizo taarifa ulipata wapi
Arsenal had dakika ya mwisho alituma £70m , Brighton wakasema NOT FOR SALE. , Hawakusema Arsenal afike ngapi
Tafuta taarifa sahihi ,zaid utajitafutia mihemko tu