arsenal tumezidi aisee dili la rice linaugumu gani kuisha tujifunze kwa man city akitaka mchezaji ni siku tatu tu biashara imeisha
tusije shangaa dili la rice linafikisha mwezi
Westham Wanataka £120m, ila wapo tayari kupokea £100m ,Arsenal wameandaa ofa ya £90m +10m add ons
Kinachofanyika Arsenal wamebadili utaratibu wa kumtaka mchezaji, Wanataka maongezi kwanza yawe sawa ,wakubaliane ,ili wakituma ofa ikubaliwe Moja kwa moja ,yasianze mambo yakutuma ofa ya 2,3 n.k
Hadi Sasa Bayern kakimbia
Rice anataka kuja Arsenal walishaongea na Arteta muda mrefu
Vyanzo vyote vya kuaminika vinasema dili litaisha wiki hii kwa Arsenal kuweka Ofa Moja mezani ,maana mazungumzo yameenda vizuri ,na hasa huwa Ni kwenye ulipaji upfront na zile add ons.
Hizi dili za €100m , £100m huwa sio rahisi kihivo , zinachukuaga hata mwaka
Kaangalie dili la Jude Bellingham , Liverpool aliishia njian ,Madrid ikamchukua muda
Kaangalie had manjesta analipa €100m kwa Anthony alivyohenyeshwa
Kaangalie Enzo Fernandez ,ilibidi bodi nzima ya Chelsea ipande ndege kukamilisha dili
Hao mancity unaowasema wanamtaka Kova kutoka Chelsea ,kwa €35m tu lakini Ni wiki 3 Sasa wanaenda mwezi hawajakamilisha
Kifupi TUACHE MIHEMKO