Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Niamini hatusemi hayo kwa sababu tunaichukia club yetu hapana club yetu inatuzingua pa kubwa
Hebu tuulizane Kama real ingekomaa na Kai tungeweza kushinda nayo??
Madrid hashindan na yoyote kwenye kumtaka mchezaji kaka,
Kuna madrid na Man united sema sikuiz ndo ivyo tena hawa nyumbu mchezaji kuchomoa ilikua mbinde sana
 
Teamnewsandtix Ni Very reliable kwa habari za ndani za Arsenal , amethibitisha Ofa ya £100m imetumwa tayari , Tusubiri majibu Sasa muda wowote kuanzia Sasa

️ | TRANSFERS: Arsenal have made second bid for Rice.

: Transfer insider @Teamnewsandtix has confirmed Arsenal have made a second bid for West Ham midfielder Declan Rice.

: “And yes the second bid has gone in as first said by @AFCAMDEN.”

It is believed the second bid is in the £100m range and is likely to be accepted at this point. Gunners want to move fast. 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

Personal terms agreed on a 5-year-deal. #AFC #Transfers #Rice #WHUFC
IMG_20230613_105101.jpg
 
unakumbuka chelsea walivyoambiwa not for sale kwa enzo?? mwisho wa siku walikomaa mpka wakampata so na sisi kama tungekomaa tungempata
Nothing is for sale kwenye football ni mzigo na negotiation skill zako tu

N.B unapokosa top priority yako kuisajili una kuwa kwenye chance kubwa ya kusajili galasa/panic spending
Sio kweli ndio maana nasema tafuta taarifa sahihi ,Chelsea hawakuambiwa NOT FOR SALE ,waliambiwa wa trigger Release clause ya €127m na sio kitu kingine


Mchezaji mwenye Release clause anauzwa muda wowote ,maana Ni kutrigger tu

Spain na Ureno kila mchezaji ana Release clause ,hakuna Cha NOT FOR SALE
 
Sio kweli ndio maana nasema tafuta taarifa sahihi ,Chelsea hawakuambiwa NOT FOR SALE ,waliambiwa wa trigger Release clause ya €127m na sio kitu kingine


Mchezaji mwenye Release clause anauzwa muda wowote ,maana Ni kutrigger tu

Spain na Ureno kila mchezaji ana Release clause ,hakuna Cha NOT FOR SALE
Poa poa
 
Bid ya 2 imetumwa

Let's see majibu yatakuwaje

Tujiandae kisaikolojia ,sio kuja kulalamika

Timu kwasasa zinataka biding war

Caicedo alikuwa £70-80m , muda huu wamepandisha had £120m ili timu zigombanie

Mitanange Kama hii Mara nyingi ,Arsenal huwa tunajitoa
 
Fabrizio Romano

◉ Arsenal will bid again for Rice as they know timing will be crucial;

◉ PSG still clear on Mbappé: new deal to be signed now or available on the market;

◉ Havertz says yes to Arsenal bid and project;

◉ Bernardo Silva & PSG talks ongoing.

shorturl.at/gpHSV
 
arsenal eneo la muhimu zaidi kuimarisha ni lile eneo la kati la ushambuliaji..

jesus na nketiah bado sna kiuwezo.. pia hwana nguvu za kupambana na defenders.. unawaona jinsi wanavo struggle kabisa.

chelsea kama vip wachukue iyo ela ya kai.. waongezee kidogo wakamchukue caicedo.. kai aende arsenal.. dogo anauwezo mkubwa sna.. ni vile apo chelsea kakosa mwalimu mzuri kama yule alokuwa nae kipindi yupo bayer leverkusen.
 
arsenal eneo la muhimu zaidi kuimarisha ni lile eneo la kati la ushambuliaji..

jesus na nketiah bado sna kiuwezo.. pia hwana nguvu za kupambana na defenders.. unawaona jinsi wanavo struggle kabisa.

chelsea kama vip wachukue iyo ela ya kai.. waongezee kidogo wakamchukue caicedo.. kai aende arsenal.. dogo anauwezo mkubwa sna.. ni vile apo chelsea kakosa mwalimu mzuri kama yule alokuwa nae kipindi yupo bayer leverkusen.
Caicedo anaenda Chelsea ,kawakataa Bayern anasema anabaki EPL


BREAKING : Caicedo has decided he is staying in the Premier League and has ruled out Bayern Munich. A decision will be made soon, as Chelsea is pushing a lot.

(@Plettigoal) #CFC
 
ExWhu mjumbe bodi ya Westham amesema ofa iliyoenda Ni £91m + 10add ons (£101m)



Exwhu says new Arsenal bid is 101m pounds. 91 guaranteed plus 10m pounds in addons
 
Kumbe taarifa za kuwa City wanamtaka Rice zimevujishwa na Westham wakiwapa waandishi wa habari ili kuwaharakisha Arsenal wapende dau


Vyanzo vya uhakika vinasema City Hana mpango na Rice, hajatuma ofa yoyote
 
Sasa hapa Arteta afanye unyama mmoja hatari Sana ,akimalizana na Rice & Kai , aende kwa Lavia Hana tofaut kubwa uchezaji wake na Partey au Caicedo,anapatikana kwa £40-45m
Tukimpata Rice, Havertz na Lavia Arsenal itatisha!.. nadhani Arteta Kajitoa Dili la Caicedo Kwa sababu ya Bei!.. tuombe Mungu tumpatr Rice Hawa wengine ni wepesi tu
 
Tukimpata Rice, Havertz na Lavia Arsenal itatisha!.. nadhani Arteta Kajitoa Dili la Caicedo Kwa sababu ya Bei!.. tuombe Mungu tumpatr Rice Hawa wengine ni wepesi tu
Lavia + Rice + Havertz hakuna wachezaji hapa kidogo nafuu Rice hao wengine ni squad players tu hawana maajabu yoyote.
 
Sasa hapa Arteta afanye unyama mmoja hatari Sana ,akimalizana na Rice & Kai , aende kwa Lavia Hana tofaut kubwa uchezaji wake na Partey au Caicedo,anapatikana kwa £40-45m
Lavia + Rice doesn't make sense, Rice & Caicedo? yes, sababu Caicedo anakuwa develooed as #8 kama Ikay Gundogan au Wijnuldum. Lavia ni 6, Rice pia ni 6, potential yake kubwa ipo kwenye holding position, mfano inaonesha wazi Guardiola akimpata Rice atamchezesha kama 8 baadae atarudi kumreplace Rodri kama 6.
 
Kumbe taarifa za kuwa City wanamtaka Rice zimevujishwa na Westham wakiwapa waandishi wa habari ili kuwaharakisha Arsenal wapende dau


Vyanzo vya uhakika vinasema City Hana mpango na Rice, hajatuma ofa yoyote
hamis77 unanifurahisha bro usidanganyike namna hii Guardiola hajaamua tu kupeleka fungu but naamini siku sio nyingi utaskia kapeleka fungu na Rice ni Manchester City player Acha Arteta na Edu waendelee kuremba hili deal utakuja kuyaona ya Mudyr
 
hamis77 unanifurahisha bro usidanganyike namna hii Guardiola hajaamua tu kupeleka fungu but naamini siku sio nyingi utaskia kapeleka fungu na Rice ni Manchester City player Acha Arteta na Edu waendelee kuremba hili deal utakuja kuyaona ya Mudyr

Unadhani timu zinasajiri kwa kukurupuka ? Kama anamuhitaji na yupo kwenye mipango atapeleka ,

Usiseme hajaamua ,means unawashushia heshima kuwa wanasajili ovyo

Ya mudrky yalikuwa yapi


Unatumia Negative opinion kujidifend , Kama Akija utasemaje?

Kama huwez kuwaamin edu na Arteta kwenye usajiri simamia msimamo mmoja

Mbona Madrid kwa Kai kasema hawez kufika £50m ,Bayern kwa Caicedo ,Rice wamewhindwa Bei , nao utasemaje ?

Mancity mwaka Jana kwa Cuculera alishindwa kufika over £40m , ila kwa Arsenal scenario Kama hizi inakuwa nongwa
 
Lavia + Rice doesn't make sense, Rice & Caicedo? yes, sababu Caicedo anakuwa develooed as #8 kama Ikay Gundogan au Wijnuldum. Lavia ni 6, Rice pia ni 6, potential yake kubwa ipo kwenye holding position, mfano inaonesha wazi Guardiola akimpata Rice atamchezesha kama 8 baadae atarudi kumreplace Rodri kama 6.
Lavia aje kuongeza Depth , Lavia anaweza kucheza DM ,halafu Rice akasogea #8 LHS ,

Japo naona kabisa Rice akicheza DM Sana ,Kai akisogea juu na Odegaard
 
Back
Top Bottom