Utashangaa hawa walivyorogwa watakwambia caceido kwa rice haingii ndani, yaan mchezaji akishatakwa na Ars88 watampamba akiwatosa wanamponda, kama jogh alivyochukuliwa na Ars88 wanampamba wakat ni mchezaji wa hovyo kuwahi kutokea.
Utawasikia hahahaha..... "kati anakaa rice, juu kidogo anashikilia øde na jogh, zinny anakuja kujaza kiungo, kushoto martinel(huyu kwa upande wangu cjawahigi kuona anachokifanya zaid ya kukimbia kimbia tu na mpira, ndio tegemeo awape kombe, dah! aisee!!!)
Kama ww ni kocha na ni mara yako ya kwanza kuja duniani, ukaambiwa timu yako ikacheze na Arse88 unaweza ukagoma kupeka timu uwanjani.