Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu wamekomaa na Liverpool Yao 30+ yrs sembuse sisi, poa tu. Mm nimeipenda Arsenal kwa mapenzi, mengine ni changamoto tu, miaka Ile man city ni weak tungekuwa tumebeba ubingwa kwa points za mwaka huu!

Kimbia huko toka arsenal huko utakufa na msongo wa mawazo. Wewe unadhani wakina aroon arsenal, khamiiss hawataki kujitokeza humu wanapenda ? Hapana wakija humu wataonekana vituko. Mwanetu aroon alikua hazipiti dakika kapost mara ooh jesus kafanyeje mazoezini sijuii arteta kafanya nini . Leo jezi imetoka mpya lakini kajificha huko ndani hataki hata kutuletea uzi tuone ulivyo mkali. Uzi umetengenezwa kupitia recycle bottles. ARSENAL THE BOTTLERS
 
Kimbia huko toka arsenal huko utakufa na msongo wa mawazo. Wewe unadhani wakina aroon arsenal, khamiiss hawataki kujitokeza humu wanapenda ? Hapana wakija humu wataonekana vituko. Mwanetu aroon alikua hazipiti dakika kapost mara ooh jesus kafanyeje mazoezini sijuii arteta kafanya nini . Leo jezi imetoka mpya lakini kajificha huko ndani hataki hata kutuletea uzi tuone ulivyo mkali. Uzi umetengenezwa kupitia recycle bottles. ARSENAL THE BOTTLERS
Mimi siwezi kuhama timu, hama wewe ila usinilazimishie akili za Manara, once a gunner always a Gunner! Hamia man city mkuu ukale Raha! Kupanga ni kuchagua! Kuna watu ni mashabiki wa Newcastle kufa (Including JK) their highest performance in 40yrs ni Kumaliza no 2 mwaka 1995, Leo hii wanarudi UCL kwa Kumaliza top 4! Nimeridhika na Arsenal yangu, USINILAZIMISHE MKUU
 
Mimi siwezi kuhama timu, hama wewe ila usinilazimishie akili za Manara, once a gunner always a Gunner! Hamia man city mkuu ukale Raha! Kupanga ni kuchagua! Kuna watu ni mashabiki wa Newcastle kufa (Including JK) their highest performance in 40yrs ni Kumaliza no 2 mwaka 1995, Leo hii wanarudi UCL kwa Kumaliza top 4! Nimeridhika na Arsenal yangu, USINILAZIMISHE MKUU
Newcastle anauefa ujue
 
Majibu ya swali lako nimelijibu kwa kueleza ufanye ulinganishi wa alama tulizopata mwaka 2019/20, 2020/21 , 2021/2022 na alama na nafasi tuliyopo mwaka huu 2022/23.

Najua Mkuu, umeumia kukosa Ubingwa wa Epl kama ambavyo Mimi nimeumia pia.

Ingawa kwangu binafsi nimechagua kujifariji kwa kuangalia mafanikio yetu kwa misimu hiyo niliyoitaja na sasa.

Najua bodi ya Wakurugenzi na Mmiliki itakuwa imeumia pia, ndiyo maana nimeona wametenga zaidi ya £ milioni 200 kwaajili ya kuimarisha timu.

Ukiona giza limezidi ujue kuna karibia kukucha
Sawa
 
Mimi siwezi kuhama timu, hama wewe ila usinilazimishie akili za Manara, once a gunner always a Gunner! Hamia man city mkuu ukale Raha! Kupanga ni kuchagua! Kuna watu ni mashabiki wa Newcastle kufa (Including JK) their highest performance in 40yrs ni Kumaliza no 2 mwaka 1995, Leo hii wanarudi UCL kwa Kumaliza top 4! Nimeridhika na Arsenal yangu, USINILAZIMISHE MKUU

Sawa endelea kukomaa!!!! Newcastle hawana tofauti na arsenal tena bora Newcastle probability yakuchukua epl before arsenal ni kubwa. They are not bottlers like arsenal, wanajenga timu tunaiona na wana ushindani. You can’t compare them with mediocre arsenal. Wewe unakuja kusema eti arsenal ina project ooh inanunua vijana hii haijaanza wakati edu kaingia pale as sport director ilikuepo mpaka kuna muda ikawa inaitwa timu ya vijana. Kina helb, flamini, cesc na wengine kibao wakaona kabisa hapa arsenal hatutoboiii!!wakakimbia.
Mara ya mwisho arsenal kuchukua ubingwa ronaldo na messi walikua hawana hata ballon d or moja now mpaka wanakaribia kustafu still nothing change arsenal profile yake iko vile vile . Progress ya arsenal ni ipi sasa hapo , tunachojaribu kuwaambia ni arsenal ipo sawa na crystal palace , Leicester, westham na spurs sio timu kubwa kama mnavyoipamba nyie mashabiki
 
Huyu hapana
Kuna muda inabidi kukubaliana kutokukubaliana.Naheshimu mawazo yako with due respect.Ila niwe mkweli nna mashaka na ushabiki wako kwa arsenal.
Mkuu jaribu kufanya utafiti mdogo juu ya neno ushabiki halafu jilinganishe na wewe kisha rudi hapa ututazame usoni kama kweli una sifa za kuitwa shabiki.
Sina tatizo na critics zako, ila huonyeshi njia.
Sijawahi kuona tactical analysis zako kuhusu team kwa ujumla
Sijawahi kuona technical analysis zako kuhusu wachezaji wetu
Sijawahi kuona breakthrough proposal yako namna tunavyoweza toka hapa.

Unajua kulalamika tu.only that
Mwisho nikufungue macho.ushabiki ni imani,ni ufuasi,ni kujitoa

Kwako Labyrinth 84
 
Sawa endelea kukomaa!!!! Newcastle hawana tofauti na arsenal tena bora Newcastle probability yakuchukua epl before arsenal ni kubwa. They are not bottlers like arsenal, wanajenga timu tunaiona na wana ushindani. You can’t compare them with mediocre arsenal. Wewe unakuja kusema eti arsenal ina project ooh inanunua vijana hii haijaanza wakati edu kaingia pale as sport director ilikuepo mpaka kuna muda ikawa inaitwa timu ya vijana. Kina helb, flamini, cesc na wengine kibao wakaona kabisa hapa arsenal hatutoboiii!!wakakimbia.
Mara ya mwisho arsenal kuchukua ubingwa ronaldo na messi walikua hawana hata ballon d or moja now mpaka wanakaribia kustafu still nothing change arsenal profile yake iko vile vile . Progress ya arsenal ni ipi sasa hapo , tunachojaribu kuwaambia ni arsenal ipo sawa na crystal palace , Leicester, westham na spurs sio timu kubwa kama mnavyoipamba nyie mashabiki
Wapi Newcastle anaizidi arsenal ktk kipindi hiki?
 
Wapi Newcastle anaizidi arsenal ktk kipindi hiki?

Wapi Newcastle anaizidi arsenal ktk kipindi hiki?

Kwa sasa wapo the same level!!. Unajua Newcastle ilikua nafasi ya 17 wakati Eddie howe anaichukua timu?. Kwa postion iliyopo saivi ( top 4 ) huu ndo mfano halisi wa progress ya timu na hata passion na uchezaji wao unaonyesha timu inaelekea wapi!
Njoo kwa The bottlers ina progress gani? Mistakes zile zile zinajirudia every season in different way iwe kuipata top 4 or to win the title hali huwa hivi
IMG_1351.jpg

IMG_1352.jpg

IMG_1357.jpg

IMG_1355.jpg

IMG_1367.jpg

IMG_1365.jpg

IMG_1362.jpg

IMG_1354.jpg

IMG_1353.jpg

Zote hizi wachezaji tofautiiii kocha tofautiiii lakini the same end result!!!
 
Kuna muda inabidi kukubaliana kutokukubaliana.Naheshimu mawazo yako with due respect.Ila niwe mkweli nna mashaka na ushabiki wako kwa arsenal.
Mkuu jaribu kufanya utafiti mdogo juu ya neno ushabiki halafu jilinganishe na wewe kisha rudi hapa ututazame usoni kama kweli una sifa za kuitwa shabiki.
Sina tatizo na critics zako, ila huonyeshi njia.
Sijawahi kuona tactical analysis zako kuhusu team kwa ujumla
Sijawahi kuona technical analysis zako kuhusu wachezaji wetu
Sijawahi kuona breakthrough proposal yako namna tunavyoweza toka hapa.

Unajua kulalamika tu.only that
Mwisho nikufungue macho.ushabiki ni imani,ni ufuasi,ni kujitoa

Kwako Labyrinth 84

Nilikua shabiki wa arsenal lialia kabisa tena kipindi nipo at young age nishawahi kutoa machozi kabisa kisa arsenal na si mimi pekee angu naungana na kina fabregas, wilshere na wengine na si mimi tu wa kwanza kukimbia kasepa rvp, cesc , clichy, sagna na chamberlain waulize kisa cha kukimbia arsenal wote jibu lao ni moja arsenal ni amature & loser team.
Hakuna breakthrough proposal kwa arsenal yakutoka hapo ilipo thats why i left, kajaribu wenger , arteta na unai emery wote wameshindwa . End result imekua ni ile ile japo kulikuwa na different coach, players and staff lakini final result imekuwa the same for 20 fucking years!!!!!!!!!
Kama ushabiki ni imani basi nimekua na imani hio kwa miaka 20 , na kama ushabiki ni ufuasi na kujitoa i have done that for 20 years what i have got in return? Pain & despair
 
Kombe la Arsenal ni top 4 sio for all 20 years kombe la arsenal limekuwa nikuingia top 4 na kuna miaka kibao pia wamekosa kombe la kuingia top 4 just imagine hii timu ilivyo kichekesho halafu unakuta kuna mtu anashabikia arsenal yanii unakuwa mtu mzima lakini dogo wa miaka 16 anakudharau bro mwenye miaka 30 and kisa tu ni shabiki wa arsenal. Kama unabisha jitambulishe tu kwa watu wewe ni arsenal fan uone watu watakavyoangua vicheko . Hata wachezaji wenyewe wanaona aibu kujitambulisha ni arsenal palyer refer ben white na mac daniel
brother umeua aiseeee,
Endelea kuwapa somo hawa misukule huenda labda wakazinduka.

Kula chuma hiooooo
tapatalk_-1332033016_413x343.jpg
 
Kule ni kwa magiant na I don't see kama Arsenal ataweza kupambana kule imagine Europa league pekee Arteta amefeli to the maximum na yupo na kina sporting,lyon,PSV je huku ambako kuna Bayern, Madrid,Manchester City ( huyu katupiga home and away ligi na katutoa FA cup)
Kule mnaenda kuidhalilisha tu Epl kwa vipigo vya mbwa koko, pona yenu ni mtolewe kwenye hatua za makundi.
1685263133583.jpg
 
Haya ni maneno ya captains wa arsenal kipindi hicho? Je walichokisema si kweli au ni kweli majibu unayapata baada ya kuondoka arsenal wote walichukua ligi
IMG_1370.jpg

IMG_1371.jpg

Haya ndo wanachopitia kwa sasa saka na odergard ila hawasemii tu
 
Nilikua shabiki wa arsenal lialia kabisa tena kipindi nipo at young age nishawahi kutoa machozi kabisa kisa arsenal na si mimi pekee angu naungana na kina fabregas, wilshere na wengine na si mimi tu wa kwanza kukimbia kasepa rvp, cesc , clichy, sagna na chamberlain waulize kisa cha kukimbia arsenal wote jibu lao ni moja arsenal ni amature & loser team.
Hakuna breakthrough proposal kwa arsenal yakutoka hapo ilipo thats why i left, kajaribu wenger , arteta na unai emery wote wameshindwa . End result imekua ni ile ile japo kulikuwa na different coach, players and staff lakini final result imekuwa the same for 20 fucking years!!!!!!!!!
Kama ushabiki ni imani basi nimekua na imani hio kwa miaka 20 , na kama ushabiki ni ufuasi na kujitoa i have done that for 20 years what i have got in return? Pain & despair
We jamaa una nondo za hatarii, nimekua nikufatilia unajua kuchambua mada kw facts.
Sasa hawa viazi uwasikie wakiichambua Ass anal yao humu utasikia tunaovalodi mid, Ass nal haifungiki, Arteta alimfundisha ukocha Pep. na upuuz kibao, unakaa unajiuliza hawa zitakua zimetimia kweli.
Kwa nondo unazozishusha wasipoelewa watakua wendawazimu.
 
We jamaa una nondo za hatarii, nimekua nikufatilia unajua kuchambua mada kw facts.
Sasa hawa viazi uwasikie wakiichambua Ass anal yao humu utasikia tunaovalodi mid, Ass nal haifungiki, Arteta alimfundisha ukocha Pep. na upuuz kibao, unakaa unajiuliza hawa zitakua zimetimia kweli.
Kwa nondo unazozishusha wasipoelewa watakua wendawazimu.
Daaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.
 
Timu pekee unayoweza kusema imeimarika ni Newcastle kwa eddie howe ameichukua timu ikiwa inakaribia kushuka daraja kutoka kwa steve bruce now ipo champion league ,wewe unasema timu imeonyesha mafanikio kwa kuongoza ligi siku 248 kwa point 8 then siku 14 baadae imezidiwa kwa point 8 . Uefa mnaenda kushindana au kushiriki hapo ndo tatizooo linapoanzia , wewe binafsi tu as arsenal fan unahisi uefa mnafika hatua gani?
Usajili wa arsenal sasa huwa ni vichekesho zaidii utasikia wamemsajili takuma, sanogo, miyaichi, kallstrom na park chou young mavropanos , lokonga , tavares tukaambiwa ni young players wana potential hawa wote wako wapi . Arsenal haijawahiii kuwa serious kwenye kitu chochote
Sio Newcastle, hata Arsenal graph yake imepanda kwa kuangalia Arsenal ya misimu minne iliyopita na sasa.

Tulikuwa tunalalamika kutocheza Uefa Champions league misimu zaidi ya 7 lakini mwaka huu tumepata hiyo nafasi, kwanini usiseme ni mfanikio pia.

Tulikuwa tunacheza Mpira hata haueleweki Enzi za Unai Emery lakini leo hii tunacheza mpira ambao kila mtu anavutiwa nao.

Arsenal ni kama Imani kwa sisi wengine, wacha ituue but the future looks so bright 🌞
 
Sio Newcastle, hata Arsenal graph yake imepanda kwa kuangalia Arsenal ya misimu minne iliyopita na sasa.

Tulikuwa tunalalamika kutocheza Uefa Champions league misimu zaidi ya 7 lakini mwaka huu tumepata hiyo nafasi, kwanini usiseme ni mfanikio pia.

Tulikuwa tunacheza Mpira hata haueleweki Enzi za Unai Emery lakini leo hii tunacheza mpira ambao kila mtu anavutiwa nao.

Arsenal ni kama Imani kwa sisi wengine, wacha ituue but the future looks so bright
100%% wachache wanaelewa hili,
 
Back
Top Bottom