Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Watu wamekomaa na Liverpool Yao 30+ yrs sembuse sisi, poa tu. Mm nimeipenda Arsenal kwa mapenzi, mengine ni changamoto tu, miaka Ile man city ni weak tungekuwa tumebeba ubingwa kwa points za mwaka huu!
Kimbia huko toka arsenal huko utakufa na msongo wa mawazo. Wewe unadhani wakina aroon arsenal, khamiiss hawataki kujitokeza humu wanapenda ? Hapana wakija humu wataonekana vituko. Mwanetu aroon alikua hazipiti dakika kapost mara ooh jesus kafanyeje mazoezini sijuii arteta kafanya nini . Leo jezi imetoka mpya lakini kajificha huko ndani

hataki hata kutuletea uzi tuone ulivyo mkali. Uzi umetengenezwa kupitia recycle bottles. ARSENAL THE BOTTLERS
