computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Let me ask you bro kwani hii ni first time kwa Arsenal kuwa katika second position katika miaka 18?unahisi why team imeimarika?team ambayo katika game 9 pekee zimebaki na katolewa kwenye 1st position aliyoishika for 248 days unasemaje imeimarika?kumbuka kuna champions league means tutakuwa na 1st squad ambayo itacompete katika League na Champions league je tutaweza?kumbuka Arsenal alikuwa kwenye Europa league na still alikuwa hachezeshi 1st squad na bado akatolewa tena Emirates na Sporting unaweza kusemaje team imeimarika?unajua mimi huwa natofautiana sana na fans wanaopenda kujipa moyo kuwa season hii team imeimarika kwa lipi?team ambayo baada ya kutolewa europa na akapewa nafasi ya kucheza Saturday kwa Saturday (7 days anapumzika)na still bado imeshindwa kubeba kombe?team imeimarika je kuna medalMsimu wa EPL ndiyo unatamatika leo, Bingwa amekuwa Manchester City akituzidi Arsenal zaidi ya alama 8.
Umekuwa ni msimu Mzuri kwa timu ukilinganisha na misimu kadhaa iliyopita.
Benchi la Ufundi limeona mapungufu, nadhani yatafanyiwa kazi. Huenda tukawa na sajiri nzuri Mwaka huu kuelekea mwenye mashindano ya Uefa Champions league na mashindano mengine tutakayo shiriki, hivyo depth ya kukosi nadhani benchi la ufundi na Wamiliki watakuwa wamelipa uzito.
Najua tumeumia na kufurahi pamoja, muhimu tunakwenda kushiriki Uefa baada ya kuikosa miaka 7 kama sio 8 iliyopita.
Nilikuwa natazama wapi tulipotoka kwa misimu ya 2019/20, 2020/21, 2021/22 na msimu wa mwaka huu kabla ya mechi za jioni.
View attachment 2636790
View attachment 2636791
View attachment 2636792
View attachment 2636794
Kama utakuwa ni mtu wa takwimu, utakubaliana nami kuwa timu imeimarika kulingana na miaka kadhaa nyuma ingawa bado kuna kazi ya kufanya.
Tukutane msimu ujao Mungu akitupa Uhai.
Once a Gunner will always be![]()
ambayo season hii tunayo ambayo tunaweza tukasema team imeimarika?Aston Villa na Arsenal utofauti wao ni nini season hii?team inaimarika kwa kuwa second position tena baada ya kuwa 1st position kwa siku 248?jamani let's be serious with na hii ishu in short team haijaimarika labda tuseme season hii tumecheza football ya kumiliki mpira! FACT!
️ Sir
. Uefa mnaenda kushindana au kushiriki hapo ndo tatizooo linapoanzia , wewe binafsi tu as arsenal fan unahisi uefa mnafika hatua gani?