Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,324
- 3,962
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Hii staili inaitwa chomoa n'jambeeππππ[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji119]kama mazuri vile .tatizo vijana mlkua na kelele sana View attachment 2629289
Liva ilikaa siku ngapiArsenal ni average team. Polee sana siku 248 za furaha zimeishaa! Mmevunja rekodi nyingine after2003/2004, arsenal imekua timu ya kwanza kuwa top of the table kwa siku 248 na ikashindwa kuchukua ubingwa hakuna timu itavunja rekodi hii maana ukae siku 248 then usichukue ubingwa kwa timu nyingine ni kitu kisichowezekana.
Ww siku zote umekua mkwl sana na ndo maana hata uwa una nguvu za kuonekana hapa jukwaani kwa sbb matarajio yako na hii team yako chin kwa sbb unaijua ni team ya ovyo sana ikija kwny mambo serious.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Liva ilikaa siku ngapi
Nilichogundua huyu Stan Kroenke ndio chanzo cha yote haya,yuko pale kufanya biashara na anatengeneza pesa nyingi sana kwa kinachotokea kwa team...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Sio jezi tu walishona mpaka madera kima hawa.Mliaandaa hadi jezi mikia nyinyiView attachment 2629610
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juziLiverpool ilikua siku 141 alianza kuongoza ligi December katikati huko , arsenal mmeanza august mpaka April. Arsenal siku 248 ni karibu mara mbili ya siku za Liverpool, Arsenal ni bottlers ( 2013/2014) , 2015/2016, 2007/2008 hii mpaka machozi yalinitoka Birmingham alilianzisha vikafuata vipigo vya kutosha hii 2007 tuliona kama invincible inajirudia . Mpaka arsenal kufananishwa na tembo juu ya mtu si bahati mbaya, watu wameiona arsenal ikichoma na wanaijua ni wachomajii
FACT Kroenke anapata hela nyingi sana kupitia Arsenal, na ukweli ni kuwa Arsenal inahitaji mmiliki wake toka Saudia huko ndio team itabadilika ila hawa wamarekani au waingereza hawana uwezo hata kidogo na coach akiwa na uwezo hafifu ndio kabisaa refer Chelsea Manchester UnitedNilichogundua huyu Stan Kroenke ndio chanzo cha yote haya,yuko pale kufanya biashara na anatengeneza pesa nyingi sana kwa kinachotokea kwa team...