Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,100
- 3,157
Ok. Arsenal ni timu ndogo.
Dah zaid ya statistics za google na hapa na pale bado sijaona clear vision yako.hebu jibu hili swali wewe ni SHABIKI au MPENZI WA MPIRA ukiwa ndani ya arsenal?
some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Hii staili inaitwa chomoa n'jambeeππππ
Liva ilikaa siku ngapiArsenal ni average team. Polee sana siku 248 za furaha zimeishaa! Mmevunja rekodi nyingine after2003/2004, arsenal imekua timu ya kwanza kuwa top of the table kwa siku 248 na ikashindwa kuchukua ubingwa hakuna timu itavunja rekodi hii maana ukae siku 248 then usichukue ubingwa kwa timu nyingine ni kitu kisichowezekana.
Ww siku zote umekua mkwl sana na ndo maana hata uwa una nguvu za kuonekana hapa jukwaani kwa sbb matarajio yako na hii team yako chin kwa sbb unaijua ni team ya ovyo sana ikija kwny mambo serious.some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Liva ilikaa siku ngapi
Nilichogundua huyu Stan Kroenke ndio chanzo cha yote haya,yuko pale kufanya biashara na anatengeneza pesa nyingi sana kwa kinachotokea kwa team...some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Sio jezi tu walishona mpaka madera kima hawa.Mliaandaa hadi jezi mikia nyinyiView attachment 2629610