Msimu ujao tulipoishia ndio tutakapo anziaSaivi naona ss unaongea ww mwnyw kwa akil zako timamu bila mihemko yoyote.
Sema nn mkuu Uungwana ni vitendo
Kila lenye heri na likawe juu yako huko unakohamia.For 20 years i have been an arsenal fan .. nan asiyetaka kuona timu yake inakuwa champion ni kiu ya kila shabiki na mchezaji thats why van persie, clichy, sagna na fabregas waliondoka arsenal na bado kuna wachezaji pia wataondola arsenal maana wanapoteza muda arsenal.. glory huntersso unataka for the rest of my life niwe disappointed man, football ni furaha na burudani la moyo lakini sio simanzii
Trust me mpaka 2028 Newcastle atakuwa kashaonja ladha ya furaha ya ubingwa wa epl lakini arsenal atakuwa bado hana chochote zaidi ya false hope to the fans.
Huwezi sema ni glory hunter nimeanza kushabikia arsenal nikiwa na miaka 8 tu standard one na game ya kwanza tulipoteza nakumbuka its was community shield kama sikoseiii against man utd but still nikaendelea kuwa shabiki wa arsenal. I have that hope for 20 years now nimegundua ilikuwa ni false hope miaka 20 inatosha !!! Arsenal are specialist in failure!!!!
Una uhakika we ni shabiki wa arsenal kweli?
SaSa ulitaka utoke wa 8 mpaka wa 1? Shukuru kuingia top 4. Hayo mengine ni majaliwa
Never say neverYan katk kitu tuko nacho sure sisi wakimbizi ni Arsenal haiwez beba kombe lolote kubwa hapa karbn.
Ilo mkuu nakwambia tuko nalo sure tena kwa asimilia nyng sana Arsenal fungu lenu ni la kukosa Yan hamuwez kaa table moja tena na team kubwa zilizo serious na ubingwa.
Kwhy kama hamis77 anategemea kufanya revenge lbd iwe kama ya msimu huu tu mnaanza vzr lkn sisi ndo tutamaliza msimu tunawacheka nyie
Mkuu kwa analysis hiyohiyo we unahisi man u wachezaji wangapi wanastahili first eleven?Arsenal anzeni kwa kumtimua Arteta na kuleta kocha. Yule Edu naye pamoja na wamiliki wa timu wanazingua tu.
Arsenal ni wachezaji 4 tu wanastahili kuwa starters kama mnataka kushindania makombe: Odegaard, Partey, Saka & Trossard wengine wote siyo wachezaji wa kutegemea ukianza na Jesus, wale mabeki wenu wote ni wachezaji wa kuanzia bench pamoja na kipa wao.
Niliwahi kusema kinachowagharimu Arsenal ni wachezaji wa mafungu. Mchezaji kama Caicedo mngempata angeimarisha sana eneo la kiungo. Mlipata nafasi ya kumsajili Martinez mkashindwa na United kufika dau.
Kwenye project yenu mnatakiwa mjue kuwa hiki kikosi mlichonacho sasa ni wachezaji 4 tu wanastahili kuanza ila kama Arteta anahisi hapa ndiyo anamalizia basi bado sana.
Iko waziSuruhisho ni usajili kwenye Muhimu kwenye kila nafasi Muhimu zaid, na idadi iwe na wachezaji wanne+ kinyume na hapo ni kilio tena msimu ujao.
Timu yako mkuu?Arsenal fans tunajua kabisa mmeukimbia uzi wenu Lakini msijali sisi tupo humu tunausongesha tukiendelea kuwatafuta kwenye nyuzi zingine hakika mtakuwa na discipline next season
Ila nyinyi mlivyokuwa mnashinda humu?Kumbe unaelewa ni project.. ambayo inachukua muda shida sasa Hamis alisahau hilo kaja kushabikia msimu huu ambao ni matokeo ya project za miaka ya nyuma..... kutwa kushinda kwenye uzi wa Manchester kuponda usajili wa Anthonywakati ndo kwanza mwaka wa kwanza..... mpaka akawa kero ukawa ushabiki maandazi mshinde mfungwee yeye yumo na nyinyi tuu sasa wacha tumalize hasira zetu na sisi kwake mtuvumilie tuu
Arsenal anzeni kwa kumtimua Arteta na kuleta kocha. Yule Edu naye pamoja na wamiliki wa timu wanazingua tu.
Arsenal ni wachezaji 4 tu wanastahili kuwa starters kama mnataka kushindania makombe: Odegaard, Partey, Saka & Trossard wengine wote siyo wachezaji wa kutegemea ukianza na Jesus, wale mabeki wenu wote ni wachezaji wa kuanzia bench pamoja na kipa wao.
Niliwahi kusema kinachowagharimu Arsenal ni wachezaji wa mafungu. Mchezaji kama Caicedo mngempata angeimarisha sana eneo la kiungo. Mlipata nafasi ya kumsajili Martinez mkashindwa na United kufika dau.
Kwenye project yenu mnatakiwa mjue kuwa hiki kikosi mlichonacho sasa ni wachezaji 4 tu wanastahili kuanza ila kama Arteta anahisi hapa ndiyo anamalizia basi bado sana.
Acheni ubairi ingieni sokon wakuu nunueni pia na wanaume wa kazi.. Kikosi cha watoto tupu wacheza Ps hakiwez shindana na wanaume wakiwa wanatk kombe.
Policy yenu ya vijana ni sawa lkn kama mnatk kurud kwny makombe ya maana sajilini watu wa kazi watu ambao wako matured enough to compete na wanaume wenzao sio rojorojo ikifika sehem wanakua weak kisaikolojia.
Na ayo yote mnabid mkubal kutoa hela mwageni pesa.. Jamaa kawaambia hapo mnakuaga na nafas nzr ya kupata players wazr tatz ss mnajikuta wabairi. Hlf mnatk kubeba ubingwa haiwezekan.
Kuna watu humu Walisema wkt Arsenal anaongoza kua mbona hata Leicester alifanya maajab.. Angalieni ile Leicester bad ilikua na watu matured na mentality ya kuweza kuwa push over the line na kubeba ndoo watu hao Arsenal kwa sasa hawapo.
Man redTimu yako mkuu?
Kumbe unaelewa ni project.. ambayo inachukua muda shida sasa Hamis alisahau hilo kaja kushabikia msimu huu ambao ni matokeo ya project za miaka ya nyuma..... kutwa kushinda kwenye uzi wa Manchester kuponda usajili wa Anthonywakati ndo kwanza mwaka wa kwanza..... mpaka akawa kero ukawa ushabiki maandazi mshinde mfungwee yeye yumo na nyinyi tuu sasa wacha tumalize hasira zetu na sisi kwake mtuvumilie tuu
Mmeachana na mambo ya ubingwa na sasa mmegeukia kujadili jezisasa kwa jinsi mlivyo fungu la kukosa usishangae designer wa jezi akafa kabla hajamaliza kazi
Mmeachana na mambo ya ubingwa na sasa mmegeukia kujadili jezisasa kwa jinsi mlivyo fungu la kukosa usishangae designer wa jezi akafa kabla hajamaliza kazi