Arsenal (The Gunners) | Special Thread

huyo na hamis77 ni account moya
saize anakuja na ID tofauti tofauti anapiga mashambulizi kidogo anasepa.
 
Kinachonipa raha ni mnaokuja kutuzodoa humu.
Mwenye haki hiyo ni man city tu. Hivi chelsea,man u na liver huu ujasiri mnaupata wapi wadau
Tunao maana sisi kama manyumbu tushabeba carabao tupo na fa fainali tupo bado na big 4 Sasa sisi na nyie Nani kaupiga mwingi.
 
"Arsenal tuna advantage sababu sisi tuna game week after week, wachezaji wana muda mwingi wa kurecover tofauti na city wana mechi kila baada ya siku 3, arteta is a genious"

Man City 4-1 southampton

2 days later City 3-0 Bayern

3 days later City 3-1 leicester

3 days later Bayern 1-1 City

3 days later City 3-0 shelffied utd

3 days later City 4-1 Arsenal

3 days later City 2-1 fulham

2 days later City 3-0 west ham

2 days later City 2-1 Leeds

2 days later City 1-1 Madrid

4 days later City 3-0 Everton

2 days later vs Real Madrid

ARSENAL

Arsenal 4-1 leeds

7 days later Arsenal 2-2 Liverpool

7 days later, Arsenal 2-2 west ham

6 days later Arsenal 3-3 Southampton

5 days later Arsenal 1-4 City

7 days days later arsenal 3-1 chelsea

4 days later: Arsenal 2-0 Newcastle

7 days later: Arsenal 0-3 brighton

7 days later vs nottingham


Nafikiri tunaona tofauti ya boys at work vs men at work.
 
🀣🀣🀣🀣🀣Factos Factos, wajaribu next season
 
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…