Sasa kwenye ligi sheria inaamini bado wana nafasi. Ila kiuhalisia msimu wao umeishia hapa.Ni ngumu kwa Arsenal kuweza kupata magoli zaidi ya 9 kwenye mechi mbili alizobakiza ili kumfanya awe bingwa kwa utofauti wa magoli
GD kati ya City na Arsenal ni 9
Wakati City kwenye mechi zake tatu akitoa sare za magoli mechi mbili tu haitawezekana Arsenal kufikia idadi ya magoli aliyonayo City.
Chance yenye aslimia ndogo ni sawa na haiwezekaniSasa kwenye ligi sheria inaamini bado wana nafasi. Ila kiuhalisia msimu wao umeishia hapa.









.Hahahah! Hamjafika Msitu wa Nottingham tayari Ndege Shakwe wamefanya yao.Wagonga Nyundo.
Watakatifu.
Wananchi.
Wabluu.
Ndege Kinubi.
Ndege Shakwe.
Msitu wa Nottingham.
Mbwa Mwitu.
Hizo ndiyo mechi 8 za Arsenyani zinazofuata.

Arsenyani ubingwa wasahau tu. Man City mechi ijayo tu anatangazwa bingwa.Chance yenye aslimia ndogo ni sawa na haiwezekani
Waseme katika 100% ya kuwania ubingwa Arsenal ana chance ya 0.002% ya kuchukua ubingwa utasema hiyo kweli ni illusion tu?

