Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni ngumu kwa Arsenal kuweza kupata magoli zaidi ya 9 kwenye mechi mbili alizobakiza ili kumfanya awe bingwa kwa utofauti wa magoli

GD kati ya City na Arsenal ni 9

Wakati City kwenye mechi zake tatu akitoa sare za magoli mechi mbili tu haitawezekana Arsenal kufikia idadi ya magoli aliyonayo City.
Sasa kwenye ligi sheria inaamini bado wana nafasi. Ila kiuhalisia msimu wao umeishia hapa.
 
hamis77 huyu jamaa na wenzake uchwara waliokua wanaleta kelele na porojo za vijiweni kwny majukwaa ya wengne nadhan sasa wakikumbuka au kusoma Comments zao khs Arsenal wanajiona vichaa wanatakiwa wawe milembe pale .

Ndg yng hamis77 nakuomba sana toka ulipo njoo walau mara moja tuzungumze neno khs Gunners hii ilivo htr sana kuoverload na kuwapress wapinzan kwny final 3rd yao.
 
Wagonga Nyundo.
Watakatifu.
Wananchi.
Wabluu.
Ndege Kinubi.
Ndege Shakwe.
Msitu wa Nottingham.
Mbwa Mwitu.

Hizo ndiyo mechi 8 za Arsenyani zinazofuata.
Hahahah! Hamjafika Msitu wa Nottingham tayari Ndege Shakwe wamefanya yao.

Niliandika fixtures zenu kwa Kiswahili kabisa. Brighton shikilia hapohapo. 😂😂😂
 
Hahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahaghahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahaha!
 
Back
Top Bottom