Sio point 2?Kwa jinsi msimamo wa ligi ulivyo sasa, Man City wanahitaji points 3 tu kwenye mechi zao 3 zilizobaki kuwa mabingwa.
Hahahah! MAKONDOO FC yapo hoi.
Arsenal ndoo ya maji ya kazi gani mzee.? Hawa tunawabebesha ndoo yenye kunguni wanajikune mbele hukoooooooooNtafurah mkuu kama hata nikikupiga mkononikabeba ndoo.
Sisi watu wa Arsenal tunasema hii ngoma bado.
Arsenal NDOOO YA MAJI.
Haaland Kiatu.








Points 2 hawezi kuwa bingwa kwasababu mathematically bado Arsenal atakuwa na nafasi ya kuwa bingwa.Sio point 2?
Tanzania ilipata wachambuzi wapya, msimu huu ulikuwa wa mateso sana kwa sisi mashabiki wa mpira.kelele zilkua nyingi sana


.Arsenal ndoo ya maji ya kazi gani mzee.? Hawa tunawabebesha ndoo yenye kunguni wanajikune mbele hukooooooooo



Kiaje?Points 2 hawezi kuwa bingwa kwasababu mathematically bado Arsenal atakuwa na nafasi ya kuwa bingwa.
Mikel Aristote atulie tuu, asije kupigwa red tukaonana nae msimu ujao
Mikel Aristote atulie tuu, asije kupigwa red tukaonana nae msimu ujao
Kiherehere chake kitamponza tukutane msimu ujao.Arsenal akifungwa leo atakuwa kabakisha mechi 2 ambazo ikitokea akashinda atakuwa na points 87. Man City akipata points 2 tu ktk michezo yake iliyobaki atakuwa na points 87, watafungana na Arsenal hivyo GD itaamua. Kwahiyo ili Arsenal awe bingwa itabidi hizo mechi 2 ashinde kwa magoli mengi.Kiaje?
Ni ngumu kwa Arsenal kuweza kupata magoli zaidi ya 9 kwenye mechi mbili alizobakiza ili kumfanya awe bingwa kwa utofauti wa magoliArsenal akifungwa leo atakuwa kabakisha mechi 2 ambazo ikitokea akashinda atakuwa na points 87. Man City akipata points 2 tu ktk michezo yake iliyobaki atakuwa na points 87, watafungana na Arsenal hivyo GD itaamua. Kwahiyo ili Arsenal awe bingwa itabidi hizo mechi 2 ashinde kwa magoli mengi.
Ni scenario ngumu kutokea lakini kisheria ni lazima Man City apate points 3, kitu ambacho ni 100% kitatokea.