Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

TAITO KUNITENDA
Screenshot_20230514-195800.jpg
 
“City loses one match and we are back to the title race”

Arsenal wao walikua wanaiwaza city kuliko game zao wnyw .

Porojo zilizokua zinapigwa humu utafikir walijua wanakimbizana na Abajaro FC au combine ya magomeni mapipa au Maji maji ya songea.

Mlikua mkiambiwa na watu wa liver jinsi gn pep ni mwana haramu likija swala la kufukuzana kwny ligi mlifikr mnataniwa au?
 
Arsenal akifungwa leo atakuwa kabakisha mechi 2 ambazo ikitokea akashinda atakuwa na points 87. Man City akipata points 2 tu ktk michezo yake iliyobaki atakuwa na points 87, watafungana na Arsenal hivyo GD itaamua. Kwahiyo ili Arsenal awe bingwa itabidi hizo mechi 2 ashinde kwa magoli mengi.

Ni scenario ngumu kutokea lakini kisheria ni lazima Man City apate points 3, kitu ambacho ni 100% kitatokea.
 
Arsenal akifungwa leo atakuwa kabakisha mechi 2 ambazo ikitokea akashinda atakuwa na points 87. Man City akipata points 2 tu ktk michezo yake iliyobaki atakuwa na points 87, watafungana na Arsenal hivyo GD itaamua. Kwahiyo ili Arsenal awe bingwa itabidi hizo mechi 2 ashinde kwa magoli mengi.

Ni scenario ngumu kutokea lakini kisheria ni lazima Man City apate points 3, kitu ambacho ni 100% kitatokea.
Ni ngumu kwa Arsenal kuweza kupata magoli zaidi ya 9 kwenye mechi mbili alizobakiza ili kumfanya awe bingwa kwa utofauti wa magoli

GD kati ya City na Arsenal ni 9

Wakati City kwenye mechi zake tatu akitoa sare za magoli mechi mbili tu haitawezekana Arsenal kufikia idadi ya magoli aliyonayo City.
 
Back
Top Bottom