
Sasa hizi ng'ombe siku zao sio za tabu tuu pia zimejaa laana mana huwezi kuongoza ligi kipindi chote hicho afu unakuja kubanduliwa dkk za mwishoAyoub 14:1
"Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake ni chache nazo zimejaa taabu."
Ntafurah mkuu kama hata nikikupiga mkonoKwakuwa mechi ijayo ya Man City anacheza na Chelsea tena nyumbani kwake, mimi shabiki wa Chelsea natangaza rasmi kumpa heshima ya ubingwa kwa kumfanya atangazwe bingwa akiwa nyumbani kwake.
Man City 3 : 0 Chelsea
nikabeba ndoo.