Li bwana UNDAVAHili jamaa UNDAV linawapika tu Arsenyani. Brighton hawajawaji kufeli, pigaaa kabisaaa.![]()




























Halafu probably wanaweza kutana na mmoja kati ya psg,buryen,barc au napoliNketiah, Smith Rowe, Kiwior, Jiorginho, Xhaka, ndio unapeleka ucl? Aibu nyingine inakuja
🤣🤣🤣🤣🤣Halafu probably wanaweza kutana na mmoja kati ya psg,buryen,barc au napoli
Waliambiwa msimu huu watatoka kapa wakawa wabishi..
Kiko wapi sasa??