Wewe mganga ni kutoka S.wanga ?It's show time...View attachment 2613370

Huyo dogo kajipiga ban ya muda .mrefu may be atarudi ligi ikiisha na usajiri ukianza😂Asee hili jambo halipendezi hata kdg game kubwa kama hii nyie hata hamtak weka kosi lenu tulijadili hapa jinsi gani Newcastle leo watajuta tutakavo wakabia juu kwny final 3rd yao.
Mkuu hamis77 unaonaje leo Teta boy kumweka huyu mchaga Kiwior sijui Kileo
Je vp leo unaonaje ujio wa kuanza kwny 1st 11 wa pass master mwnyw Jorginho?
hamis77 toka ulipo tafadhali njoo tuongee khs the Gunners. View attachment 2613512
Huyo dogo kajipiga ban ya muda .mrefu may be atarudi ligi ikiisha na usajiri ukianza
Alikuwa na mdomo sana hata hivo kwenye uzi wetu wa Man U.



Yan kiherehere chake kimeisha kbs.. Alikua na kiherehere sana kuzunguka majukwaa ya watu na porojo kibao takwimu uchwara.Arsenal siyo favorite kushinda hii game.
Kuanzia jana odds za kushinda zilikua zinaongezeka kwa Newcastle. Kwa leo hata stats za kwamba tutapata magoli mawili zimepungua nafikiri hii inatokana na last time walivyopaki basi.
Tuna mtihani na presha kuzidi hata Newcastle, nafikiri hata hivyo nafikiri Trossard angeanza.
With Trossard ni una mchezaji ambaye ana akili ya kwenda mbele tofauti na MartinelliHata mimi nilitaka Trosard aanze he is impactful
Ramli chonganishi hii😃It's show time...View attachment 2613370
There we go still in title contention
Man u tulivyopigwa goal mbili mlituona kama wabovu sana.hawa Newcastle wanacheza mpira wa kasi sana
Hit Woodwork, survived by luck