Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,146
- 88,814
Wakijichanganya tuKombe tunabwba au hatubebi?
Wakijichanganya tuKombe tunabwba au hatubebi?
Wamachoka Sana yaan mno tunakomaa kibishi tu na tungekua kwenye michuano mingi ilikua balaaa hatuna kikosi cha kurotate chenye quality sawaSema Arsenal Kuna kama athleticism flani imepungua, ukicompare na tulivyoanza ligi.
Naona kama Kuna wachezaji Wana fatigue, hasa Saka na Zinchenko
Even martinelli...starters wengi wamechok...na zile draw plus kipigo cha city akili zimevurugika kabis...Sema Arsenal Kuna kama athleticism flani imepungua, ukicompare na tulivyoanza ligi.
Naona kama Kuna wachezaji Wana fatigue, hasa Saka na Zinchenko
Top ipi hiyo?Bado tuko vema. Back on top.
Arsenal bakuliAs things stand, kila atakae kaa mbele yetu ni FIMBO tu
#COYG
Top ipi hy mzee.?Bado tuko vema. Back on top.
Top ya Played.Top ipi hy mzee.?
Mikel alikuw anazingua kukomaa na holding...he's so good kias chake...Wakubwa mliocheki gemu, kwio vipi na leo mmemuonaje?