radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Pamoja na kwamba tunawacheka arsenal ila bado hata man city sio wa kuwaamini mechi ya fulham city alipata tabu sana bado arsenal wana nafas mech zilizobak ni nyingi lolote linaweza kutokea kama ipo ni ipo tu itachelewa ila unapata haki yako
Arsenal wamejitahidi sana mbele hawana watu wa kutisha ila wamefunga goli nyingi sana kitu ambacho kwenye karatasi unawakataa
Bajet ndogo ila wamefanya makubwa
Arsenal wamejitahidi sana mbele hawana watu wa kutisha ila wamefunga goli nyingi sana kitu ambacho kwenye karatasi unawakataa
Bajet ndogo ila wamefanya makubwa


