Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pamoja na kwamba tunawacheka arsenal ila bado hata man city sio wa kuwaamini mechi ya fulham city alipata tabu sana bado arsenal wana nafas mech zilizobak ni nyingi lolote linaweza kutokea kama ipo ni ipo tu itachelewa ila unapata haki yako

Arsenal wamejitahidi sana mbele hawana watu wa kutisha ila wamefunga goli nyingi sana kitu ambacho kwenye karatasi unawakataa

Bajet ndogo ila wamefanya makubwa
 

Pep Guardiola on Arsenal: "Maybe the mood there is a bit down.

"After seven years, they won the most important title - to qualify for the Champions League. Financially, for new signings.

"I'm pretty sure they have to be so happy, because they make an incredible achievement."
 

Attachments

  • 822C69DB-2BDC-4D0E-8777-53EDFD699AAD.jpeg
    822C69DB-2BDC-4D0E-8777-53EDFD699AAD.jpeg
    349.2 KB · Views: 12
Sasa hivi Arsenyeto ni kama status za whatssapp, ikifika saa 4 usiku itakua ishatoka hapo ilipo.
Ukiona Asenyo anaongoza ligi jua Man City bado hajacheza.
Screenshot_20230503-151427.jpg
 
Pamoja na kwamba tunawacheka arsenal ila bado hata man city sio wa kuwaamini mechi ya fulham city alipata tabu sana bado arsenal wana nafas mech zilizobak ni nyingi lolote linaweza kutokea kama ipo ni ipo tu itachelewa ila unapata haki yako

Arsenal wamejitahidi sana mbele hawana watu wa kutisha ila wamefunga goli nyingi sana kitu ambacho kwenye karatasi unawakataa

Bajet ndogo ila wamefanya makubwa
Kweli ubingwa kama upo upo tu, endeleeni kuusubiri.

 
Ooh yeah.! Sisi Ndio Man City bhana, ukiona kuna timu inaongoza ligi tofauti na sisi bc hao ni vibaka wamebaka nafasi yetu
 
Arsenal ni kama kijambo, unakuwa na nguvu ukianza then baada ya muda mfupi umeyeyuka.
 
Back
Top Bottom