Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hao ndiyo wapuuzi tajiri iluzi alikua anawagombea na mapimbi yakawa yanashangilia
 
"Circle" inaendelea kuzunguka...Leo tuko hapa..
 

Attachments

  • IMG-20230503-WA0000.jpg
    IMG-20230503-WA0000.jpg
    43.1 KB · Views: 15
Kauli ni zile zile.

Arsenal akishinda ni kwakua kacheza na timu mbovu
Yap...kwa sasa aseno anaweza kufunga timu za huko chini chini... Na ni bahati ya "ateta" leo angepigwa na Jumapili anapigwa tena na Nyukesto. Ingekuwa vipigo mfululizo angetakiwa kuondoka.
 
Yap...kwa sasa aseno anaweza kufunga timu za huko chini chini... Na ni bahati ya "ateta" leo angepigwa na Jumapili anapigwa tena na Nyukesto. Ingekuwa vipigo mfululizo angetakiwa kuondoka.
Newcastle au siyo?
 
Back
Top Bottom