Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,897
- 103,964
Muda wote anammulika ni mitaa yaoKuna fan kaingia emirate, akili yake yote inamwambia Leo Mudryk akiingia kazi anayo
Muda wote anammulika ni mitaa yaoKuna fan kaingia emirate, akili yake yote inamwambia Leo Mudryk akiingia kazi anayo
Napenda sana jinsi timu zetu Zina malengo. Letu ni kufuzu champions league, ubingwa ukiwepo pia hapo ni bonus. Lenu ni kutoshuka daraja, bhaaassUzuri n kwamba Chelsea hatushuki daraja, hayo mengine fresh tuu tunaishi nayo
Huna akili hata Manyumbu tuliwafungaYap...kwa sasa aseno anaweza kufunga timu za huko chini chini... Na ni bahati ya "ateta" leo angepigwa na Jumapili anapigwa tena na Nyukesto. Ingekuwa vipigo mfululizo angetakiwa kuondoka.
Ok Aina Shida tuambieni ni kwanini mmefungwa na city nje ndani na wakati mlikuwa mnapiga kelele hapa city anakufa kwake.Siku mbili wiki nyuma walikua wanatutajia timu ngumu tulizobakisha ikawekwa liva na chelsea.
Tukasuluhu na liva. Tukaambiwa hatupo serious kichekesho ni kwamba anayekuambia haupo serious yeye alipigwa 7.
Tunamfunga chelsea. Tukaambiwa hii timu ilishajiishia ila hawa mandondocha waliitaja kila saa.
Tunadeal na wajinga
Tatizo ni kwamba hua unasoma kila anachoandika mtu kwa kadri level yako ya ushabiki inavyokubeba.Ok Aina Shida tuambieni ni kwanini mmefungwa na city nje ndani na wakati mlikuwa mnapiga kelele hapa city anakufa kwake.
Na yule mpiga kelele wenu kajificha wapi.
Sio ubingwa tena 😂Napenda sana jinsi timu zetu Zina malengo. Letu ni kufuzu champions league, ubingwa ukiwepo pia hapo ni bonus. Lenu ni kutoshuka daraja, bhaaass
wewe ulitakaje tukubali tutafungwa?1Ok Aina Shida tuambieni ni kwanini mmefungwa na city nje ndani na wakati mlikuwa mnapiga kelele hapa city anakufa kwake.
Na yule mpiga kelele wenu kajificha wapi.
Dogo alijitahidi sana!... nadhani kuanzia Sasa wakati tunasubiri Saliba apone, atakuwa anaanza badala ya holding..Kwa mlioangalia game ya jana naomba tathmini ya over all perfomance ya kiwior.jana nilikuwa pori.@Castr ,Will Jr
Hii hapa chini comment ya Mchungaji Paul Nthenge Mackenzie akiwahadaa waumini wake kua City lazima afe nyumbani kwao.Ok Aina Shida tuambieni ni kwanini mmefungwa na city nje ndani na wakati mlikuwa mnapiga kelele hapa city anakufa kwake.
Na yule mpiga kelele wenu kajificha wapi.
Binafsi naona alikua above average kulinganisha na debut yake. Jana alionyesha defensive awareness kubwa kwa mipira ya chini ila kwa mipira ya juu ilikua tatizo.Kwa mlioangalia game ya jana naomba tathmini ya over all perfomance ya kiwior.jana nilikuwa pori.@Castr ,Will Jr
Is he a promising world class? Au another squad playerBinafsi naona alikua above average kulinganisha na debut yake. Jana alionyesha defensive awareness kubwa kwa mipira ya chini ila kwa mipira ya juu ilikua tatizo.
Alikua anapiga pasi vizuri ingawa nafikiri yawezekana jinsi tumecheza jana na mpinzani wetu walimfanya awe comfortable. Pia ishu nyingine ni bado anatakiwa improve strength naona pia anapenda kuuchezea mpira kuliko kua destroyer kama Saliba.
Generally hakua mbaya. He did better.
Kwa hizi games mbili bado anajipambanua kama squad player. Considering wengine huchelewa kuchanua basi tunaweza subiri kwa Saliba ilikua haraka tukajua hapa tuna mtuIs he a promising world class? Au another squad player
Kuna add ons Paundi milioni mbili tukipata ubingwa, tukiukosa ndo basiTuongezeeni basi pesa kidogo kwa Jorgnho
Kufunga mtufunge na pesa kidogo hakuna
Acheni ubahili
Kwa mlioangalia game ya jana naomba tathmini ya over all perfomance ya kiwior.jana nilikuwa pori.@Castr ,Will Jr
Hamis77 alituambia ubingwa ni next season ndiyo tunautaka kikweli kweli. Ila ungekuja msimu huu tungeupokea tu Kwa mikono miwili kama ki bonusSio ubingwa tena 😂