Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uzuri n kwamba Chelsea hatushuki daraja, hayo mengine fresh tuu tunaishi nayo
Napenda sana jinsi timu zetu Zina malengo. Letu ni kufuzu champions league, ubingwa ukiwepo pia hapo ni bonus. Lenu ni kutoshuka daraja, bhaaass
 
Yap...kwa sasa aseno anaweza kufunga timu za huko chini chini... Na ni bahati ya "ateta" leo angepigwa na Jumapili anapigwa tena na Nyukesto. Ingekuwa vipigo mfululizo angetakiwa kuondoka.
Huna akili hata Manyumbu tuliwafunga
 
Siku mbili wiki nyuma walikua wanatutajia timu ngumu tulizobakisha ikawekwa liva na chelsea.

Tukasuluhu na liva. Tukaambiwa hatupo serious kichekesho ni kwamba anayekuambia haupo serious yeye alipigwa 7.

Tunamfunga chelsea. Tukaambiwa hii timu ilishajiishia ila hawa mandondocha waliitaja kila saa.

Tunadeal na wajinga
 
Siku mbili wiki nyuma walikua wanatutajia timu ngumu tulizobakisha ikawekwa liva na chelsea.

Tukasuluhu na liva. Tukaambiwa hatupo serious kichekesho ni kwamba anayekuambia haupo serious yeye alipigwa 7.

Tunamfunga chelsea. Tukaambiwa hii timu ilishajiishia ila hawa mandondocha waliitaja kila saa.

Tunadeal na wajinga
Ok Aina Shida tuambieni ni kwanini mmefungwa na city nje ndani na wakati mlikuwa mnapiga kelele hapa city anakufa kwake.

Na yule mpiga kelele wenu kajificha wapi.
 
Ok Aina Shida tuambieni ni kwanini mmefungwa na city nje ndani na wakati mlikuwa mnapiga kelele hapa city anakufa kwake.

Na yule mpiga kelele wenu kajificha wapi.
Tatizo ni kwamba hua unasoma kila anachoandika mtu kwa kadri level yako ya ushabiki inavyokubeba.

Ukipata sehemu yoyote nimesema tunaifunga City au City ana ugumu kwakua yupo kwenye michuano mingi nitag hiyo sehemu.
 
Ok Aina Shida tuambieni ni kwanini mmefungwa na city nje ndani na wakati mlikuwa mnapiga kelele hapa city anakufa kwake.

Na yule mpiga kelele wenu kajificha wapi.
Hii hapa chini comment ya Mchungaji Paul Nthenge Mackenzie akiwahadaa waumini wake kua City lazima afe nyumbani kwao.
Screenshot_20230502-103021.jpg
 
Kwa mlioangalia game ya jana naomba tathmini ya over all perfomance ya kiwior.jana nilikuwa pori.@Castr ,Will Jr
Binafsi naona alikua above average kulinganisha na debut yake. Jana alionyesha defensive awareness kubwa kwa mipira ya chini ila kwa mipira ya juu ilikua tatizo.

Alikua anapiga pasi vizuri ingawa nafikiri yawezekana jinsi tumecheza jana na mpinzani wetu walimfanya awe comfortable. Pia ishu nyingine ni bado anatakiwa improve strength naona pia anapenda kuuchezea mpira kuliko kua destroyer kama Saliba.

Generally hakua mbaya. He did better.
 
Binafsi naona alikua above average kulinganisha na debut yake. Jana alionyesha defensive awareness kubwa kwa mipira ya chini ila kwa mipira ya juu ilikua tatizo.

Alikua anapiga pasi vizuri ingawa nafikiri yawezekana jinsi tumecheza jana na mpinzani wetu walimfanya awe comfortable. Pia ishu nyingine ni bado anatakiwa improve strength naona pia anapenda kuuchezea mpira kuliko kua destroyer kama Saliba.

Generally hakua mbaya. He did better.
Is he a promising world class? Au another squad player
 
Is he a promising world class? Au another squad player
Kwa hizi games mbili bado anajipambanua kama squad player. Considering wengine huchelewa kuchanua basi tunaweza subiri kwa Saliba ilikua haraka tukajua hapa tuna mtu
 
Kwa mlioangalia game ya jana naomba tathmini ya over all perfomance ya kiwior.jana nilikuwa pori.@Castr ,Will Jr

He needs game time, he was better in many aspects when compared with Holding.
Trossard is a very creative player, I would prefer him to Martineli in our next match against Newcastle. Most of his passes are perfect . Less childish altitude when playing
 
Back
Top Bottom