Huyu hamis77 ni Makenzi mtupu, alikua anawafungisha kima wenzie humu swaumu ya kifo, na mijamaa ilivyo mizoba ikawa inamuamini.#COYG = KONYAGI = Timu ya walevi
Tunaimani na Kwior
Nketia ni Halaand mweusi.
hamis77 ni Kibwetere mtupu kawsponza wenzake kwa kuwapa natumaini ya uwongo.
Afu wanajisifu wameua 😂 kweli hawa ni AssAnalMmepiga bomu mochwari arsenyeto
Kesho tunabana pumbu city avutwe shati, tuna kijana wetu Declan Rice atafanya loloteLeo yule mpiga kelele wa hapa angekuwa anapiga tu kelele Cha ajabu timu inashinda ila mashabiki hawana furaha kabisa
Punguza mahaba hamis77 mpira ni burudani Sasa mpaka burudani nayo unajificha aise![]()
NdiyoNjoen mjichanganye leo kama sio 4 basi ni 5