Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

"Sasa hivi sera imebadilka sio ile ya kuuza vipaji"
Sera imebadilika vipi wakati bado mna boss bahili anaewanyonya wachezaji?
Wewe unadhani huyo Saka, Martineli au Saliba wakihitajiwa Psg au Madrid kwa dau kubwa na kuahidiwa mshahara mnono wa zaidi ya £250,000 kwa wiki watakataa na kuendelea kubaki hapo kwenu kwa mshahara wa £70,000 kwa wiki?
Kubalini au kataeni msimu huu ulikua ni msimu bora zaidi kwenu (one season wonder) msitegemee msimu ujao mtakua bora kuliko msimu huu.
Tukupe na manyanga sasa uanze uganga,, project ndo kwanza ipo phase 3/5 alf unasema ndo basi tena? Haha
 
08e3e87e-8251-4432-b9e7-a7b91c356b01.jpg
 
Leo mkishinda sio mbaya ili mkatusafishie chumba wanaume maana tumewatoa kwa kushtukiza sana kiasi kwamba mkasahau kusafisha uchafu wenu wa zaidi ya miezi 7 pale juu mpaka tumeugua kipindupindu na mafua.

Haya haya haya nenden mkatoe uchafu wenu na virago mlivyosahau maana wanaume ndio tunaingia sasa kesho.
 
Juzi juzi hapa nilisema katika games zilizobaki tunaihesabu na Chelsea siyo kwakua wapo vizuri ila kwakua ni derby na derby hua haitabiriki.

Games nne za mwisho zimeionyesha Arsenal isiyojua inataka nini kwa upande mwingine wenzetu katika games tano nyuma wameonyesha ubovu pia

Am simply saying theoretically hii mechi ni two clowns fighting but practically hii ni derby so lolote laweza tokea na yeyote aweza shinda. Arsenal anascore kudefend hawezi Chelsea defense inasumbua na scoring ina shida.

Tuna Holding wana Chalobah. Wana watu wana speed ila kuscore kidogo ni tatizo.

But for today's glory usishangae ukajikuta unacheza na prime Liverpool. Najua hatuna majeruhi, natarajia kikosi kile kile kilichobaki tukutane uwanjani.
 
Juzi juzi hapa nilisema katika games zilizobaki tunaihesabu na Chelsea siyo kwakua wapo vizuri ila kwakua ni derby na derby hua haitabiriki.

Games nne za mwisho zimeionyesha Arsenal isiyojua inataka nini kwa upande mwingine wenzetu katika games tano nyuma wameonyesha ubovu pia

Am simply saying theoretically hii mechi ni two clowns fighting but practically hii ni derby so lolote laweza tokea na yeyote aweza shinda. Arsenal anascore kudefend hawezi Chelsea defense inasumbua na scoring ina shida.

Tuna Holding wana Chalobah. Wana watu wana speed ila kuscore kidogo ni tatizo.

But for today's glory usishangae ukajikuta unacheza na prime Liverpool. Najua hatuna majeruhi, natarajia kikosi kile kile kilichobaki tukutane uwanjani.
Daaah! Toka Saliba aumie huko nyuma tumekuwa uchochoro sana!... Hii mechi ni muhimu tushinde Ili kurudisha winning mentality
 
Back
Top Bottom