Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ndio tayari leo rasmi wameingia kwenye mfumo wa miaka 21 bila ya kubeba Epl.
Kbs kama msimu huu na hype yote hii lkn wanaonekana wamekata tamaa.. Watakua lini tena kwny nafas nzr kama hii.. Tena wakiwa wanajigamba kua wao Michuano mingne ngj watoke tu wa focus na ligi..

Cha ajabu watu wanaocheza iyo Michuano wanakuja toka nao draw au kufungwa.
 
Mtafanya nini tena "Kila mtu ashinde mechi zake"
 
Timu zote zinazojielewa ikifikia hatua hii ni kufukuza kocha tu. Umetolewa CARABAO, FA, EUROPA, halafu leo mechi nne mfululizo bila ushindi!! Tafuteni kocha anayejielewa sio hako kakatuni kanarukaruka kwenye touchline muda wote.
 

You were overconfident that arsenal would win the title, that’s a big mistake, and the reason you are so gutted and emotional. Tuliza ball, lipe nafasi lipite and look forward to having a strong squad next season.
 
Your browser is not able to play this audio.

Dedication kwa wale wote waliowahi kutandikwa na kijana mdogo kutoka mitaa ya Etihad.

Ila zaidi umfikie bwana Castr .
Ila nyumbu ni wajinga sana.
Naendelea kuhesabu mechi.


Kuna level ambayo arsenal mushaweza kuifika ila sisi nyumbu sijui tutaifika lini.

Nazungumzia Uwezo wa kwenda jino kwa jino na man city kwa upande wa kumiliki mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…