DahTeam ya laaana hii fans wote wa Arsenal mmechose timu ya laana you will regret every season naaga Jukwaa hili rasmi nisije pata laana mambo yangu ya daily activities yakawa hayaendi naogopa laana BYEEE










some fans wa Arsenal ni very irrogant, very stupid, nilipiga sana kelele kuwa Arsenal Europa league Cup kwake ni muhimu sana nikaitwa ARV milangomitatu haya ngoja tuingiziwe miti next season tutaongea akili moja Arsenal itaendelea ikinunuliwa na waarabu sio huyo choko wa USAjana madrid kala 4 yote kheri.Leo ni siklu ya miujiza.
Brighton anaongozwa tatu na Notting Ham
Rayo Vallecano anamuongoza Barca 1
Mkuu kila mchezaji unamuona hafai leo.. kuleni chuma hizo na mjue huwezi kuwa bingwa bila kumfunga bingwa!Leo ni kichekesho, goli la odegard
Hao wajinga angalau wana kombe la Carabao na wana uhakika wa medali kombe la FA, huyo aliyeshinda saba yupo kumi la 2 hukooo.. kuleni chuma hizo yaani mlivyoongoza ligi halaf mtoke kapa aseeeh!!Basi angalau tusipigwe saba bila kama wale wajinga au sita moja