

Kutomfunga city ni rekodi nyingine inayotakiwa kuvunjwaMara ya mwisho kumfunga city kwenye ligi kikosi kilikua hiki
HaituhusuLiverpool in the 2018/19 season is the scariest Liverpool team I’ve ever seen
Runners up with 97 points
Lost 1 league game out of 38
7 players nominated for the Ballon d’Or (Mané Salah Trent Alisson Firmino Wijnaldum Van Dijk)
Beat the likes of PSG Napoli Bayern & Barcelona in the Champions League
Champions League Winners
Lakini na bado ubingwa walikosa.View attachment 2600283
Vijuaji hivyoooo...Humu kuna vitoto mkuu. Sasa nimeshangaa kajitu 2015 kapo form 5 sijui form 3. Mwaka 2010 ndio kaanza kuangalia mpira.
Na ndio vinaongoza kwa matusi kwenye majukwaa humu ndani.
Namuona arsenal akishangaza dunia leo...everything is possible in football #COYGArsenal atashinda goli 3 kwa moja
Mwaka gani iyo mkuuHaituhusu
Tulichukua kombe mbele ya liva hii hii so kaa kushoto
Today might be the loosing debutTunaendelea kuhabarishana tu.
Pep Guardiola has NEVER lost a premier league game played on WEDNESDAY at ETIHAD.
️
️
️Arteta ni JASUSI wa MAN CITY pale ArsenalArsenal nipigieni MANCHESTER city hao mpaka wakome