Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Vile style ya Washika Ukuta wa London watakayompea Man City usiku wa Leo.
Hapo ni vile Haaland tu atakavyojichagulia mwenyewe goli afungie nyavu ya juu au ya chini
Cupace20230426175718850.jpg
 
Kama kushinda isiwe kwavile mpira dunda I will enjoy this kama tutaifanya with style. 1, 2 feints, through balls, curled balls, duels won etc.

Kuna formation niliona juzi city kaicheza ya 3 3 3 1 hii mtu wa kwanza kumuona anaicheza kwenye modern football alikua Bielsa na Leeds yake na alifungwa ile game nafikiri.

So Pep analeta deals za kubadilika kadri muda unavyoenda and it pays bwana ila acha tuone we are not bad, we are mentally unstable ila hatuna ubaya huo.

Ije saa nne sasa
 
Kama kushinda isiwe kwavile mpira dunda I will enjoy this kama tutaifanya with style. 1, 2 feints, through balls, curled balls, duels won etc.

Kuna formation niliona juzi city kaicheza ya 3 3 3 1 hii mtu wa kwanza kumuona anaicheza kwenye modern football alikua Bielsa na Leeds yake na alifungwa ile game nafikiri.

So Pep analeta deals za kubadilika kadri muda unavyoenda and it pays bwana ila acha tuone we are not bad, we are mentally unstable ila hatuna ubaya huo.

Ije saa nne sasa
Mkicheza mpira mnaweza toboa, ila mkiingia na wazo la kujilinda dk 90 zote usiku utakuwa mrefu
 
Back
Top Bottom