Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta n muhuni tuu amewatapel Arsenal sasa hana skills yoyote ya ukocha kilichowafanya Arsenal kuwa hapo walipo sasa n Hari ya wachezaji na MUNGU tuu lakin msimu unao mtawaona mashabiki wakiingia na mabango wakimtaka mtu awaachie timu yao
 
Tukiwaambia hawaamini

Watacheza hadi watenguke viuno ila probability ya kushinda Etihad ni sifuri.
Tatizo ukiwaambia ukweli watakwambia hujui mpira, wao wanataka uwasifie tu.
Kujazana false hopes ndipo kunasababisha timu hata ikidroo tu wanakimbia jukwaa sababu wanaaminishana arsenal ni untouchable.
 
Watakwambia hujui mpira, wao wanachotaka uwaambie wana timu ya kubeba ubingwa na wanaweza kushinda popote pale, acha waendelee kujazana upepo.

Niko zangu nawasubiri chuo cha etihad waje niwafundishe course fupi ya "HOW TO BE AN EPL CHAMPION"
 
Ila binadamu tunasahau sana

Hawa ni nyumbu walikua wanaongoza kwa tofauti ya points 8, michezo ilibaki 6View attachment 2596097
Hapo misimu 5 nyuma United alibeba ubingwa mara 4, Three-peat ikiwemo. Msimu uliofuata pia baada ya huo akabeba tena EPL.

Usifananishe United ya SAF na hii Arsenal ya Arteta.
 
Unaona kejeli zako zinajaza wapinzani humu Jukwani?nilikuwa nakuonya usiweke ushabiki chambua football
️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi hamis77 ,wakati naonya ilikuwa naonekana mpinzani ,sometimes niliitwa ARV milangomitatu na wanaojiita die hard fans haya sasa pamenuka umekimbia ,tulichoambulia ni kuwa champions league but hayo ni mafanikio kwa big team kama Arsenal ambayo season nzima ilikuwa 1st position kwenye league?Acha tuendelee kupokea matusi
 
Hapo misimu 5 nyuma United alibeba ubingwa mara 4, Three-peat ikiwemo. Msimu uliofuata pia baada ya huo akabeba tena EPL.

Usifananishe United ya SAF na hii Arsenal ya Arteta.
Misimu mitano nyuma ndio upuuzi gani

Tuzungumzie msimu mliobottle league title
 
Hawa wacha wajipe matumaini maana ni team yao wanabid wapeane moyo.. Lkn deep down wanajua kbs what is going to happen siku iyo.

Msako tutakao watafuta watapanic wnyw na tutawafunga magoal kutokana na makosa yao nasema mistakes zao na kupanic siku iyo ndo zinatupa ushindi tena.
 
Hesabu ulizokua ukikuta wanakupigia humu.. Yan unabak umesurrender tu kua hawa jamaa mbona ni Mabingwa tyr.

Walikua wanapiga hesabu kana kwmb sisi ndo team ya kawaida wao ndo Mabingwa mara 4 kwny last 5 years... Tena wakawa na kejel kwmb watatusimamisha wnyw tusipo simamishwa na mtu mwngne watatupiga wao
.. Bas tunasbr Arsenal j5 atufunge tujue kwl mnatak kukufuka na kubeba ubingwa huu.

Narudia mkipata hata Draw tu ntajua kwl mna Nia hata ya kua Mabingwa Yan hata Draw tu wana Arsenal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…