joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,879
- 39,773
Uliwaonya wadogo zako wakashupaza shingoJamaa anatutisha but the real truth huu ndio ukweli wa Kipara hanaga mzaha wana Gunners wenzangu,players na kocha waondoe presha na wawe very serious muda huu,tumekosa FA,Carabao na Europa tukasema tunaweka nguvu kwenye EPL ili tuwe na match chache so kwa sasa ni no excuse tunahitaji EPL liende kabatini EmiratesView attachment 2583580
Endelea kutukana kakaMwamaleki a.k.a upinde View attachment 2583865
Usiogope mkuu hapo hamis anakwambia city hatakufa goal nyingi tu msiwe na wasiwasi.Ila Arsenal daah still bado hata kocha yetu ana lack maturity, kuna haja ya kula pindi kwa Fergie na Morinho ambao jinsi ya kucheza mechi za mwisho ambazo zina amua ubingwa.
Wachezaji nao inabidi wakue kidogo wajue tupo kwenye mbio za kugombea ubingwa, mechi ya pili tunaongoza mbili zote zinachomolewa.
Hivi Etihad hapo sijui itakuwaje daah.
Hili ndilo lilikua lengo? Msifikiwe na chelsea na liverpoolKwa sasa hivi timu mbili ambazo haziwezi kutufikia officially ni Liver na Chelsea.
Haina msisimko tho coz siyo mara ya kwanza. Ni vile imekua muda mkubwa tangu itokee.
Zinchenko si alikuwa man cityhe knows why he criedhe is not stupid.
Hakuna mchezaji hapo, nimemwona kitambo tuExciting player ni Taiwo Awoniyi. Look at him
Hii ndio inaitwa Ukiwa na lengo la kupata kuku ukakwama inabidi ujifariji ushuke hadi kwenye nyanya chunguHili ndilo lilikua lengo? Msifikiwe na chelsea na liverpool
Wangemuamini nani?Arsenal wameamgushwa kwa kumuamini Bukayo Saka mkosa penalty,
Yupo vizuri ni timu inamuangushaHakuna mchezaji hapo, nimemwona kitambo tu
Labda city hunterUsiogope mkuu hapo hamis anakwambia city hatakufa goal nyingi tu msiwe na wasiwasi.
Mkuu Taiwo Awoniyi anajitahidiHakuna mchezaji hapo, nimemwona kitambo tu
Daah mechi zao tatu za mwisho nimeziona City hawana masihala hata kidogo,kama jana ndani yadk 25 washamaliza mchezo.Usiogope mkuu hapo hamis anakwambia city hatakufa goal nyingi tu msiwe na wasiwasi.