Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Wazee wa pressin' & overloadin' wanamaliza trophyless msimu huu.Aseno akichukua ubingwa maswali yote niulizwe mm
Wazee wa pressin' & overloadin' wanamaliza trophyless msimu huu.Aseno akichukua ubingwa maswali yote niulizwe mm
Mikel Arteta on percentage stats being in City's favour now:Aseno akichukua ubingwa maswali yote niulizwe mm





Bofya hiyo hapo juu utajiunga bila shida ndani ya group la ArsenalBofya hiyo hapo juu utajiunga bila shida ndani ya group la Arsenal
Weka mataji yote hapa
Mimi nimesema ulaya sijasema lolote hayo mengine ya kwako ni jukumu lako kupambana nayo mwenyewe.Weka mataji yote hapa
Weka fan base
Weka mikataba
Kwanini hata ikiitishwa Super League mfano , Arsenal anaitwa hao kina Sevilla wanaachwa
Wachezaji Sevilla , astonvilla,Ajax ,Wana ndoto zakucheza Arsenal
Hii kazi ya kumtoa Nyumbu top 4 tumkabidhi Astonvilla naona wapo seriously sanaFor 10 minutes Newcastle hawajagusa mpira significantly mpaka wanafungwa hili goli.
Ila nyumbu ni wajinga hawawezi kuelewa
Hii kazi ya kumtoa Nyumbu top 4 tumkabidhi Astonvilla naona wapo seriously sana




Kwa hiyo kw kua amefungwa na Aston vile na nyie mmewafunga Aston vila basi mtawafunga kirahisi eeh? Ass anal bhanaHii ndiyo Newcastle tunayotishiwa nayo
Huna akili. Aliyekuambia Villa kamfunga Newcastle nani?Kwa hiyo kw kua amefungwa na Aston vile na nyie mmewafunga Aston vila basi mtawafunga kirahisi eeh? Ass anal bhana
Jaman mtu aliyeko karibu na huyu jamaa amuamshe asije akachafua kitanda.City tunampiga kwake, tukimkosa sana 2-1
Hata kama goli halijakua halijaingia unafikiri wanavyocheza na Aston vila ni sawa watakavyocheza na nyie, au watakavyocheza games nyingine?Huna akili. Aliyekuambia Villa kamfunga Newcastle nani?
Hiko ulichoquote nimeandika kabla goli halijaingia punda wewe
Sasa wewe binti hawa newcastle tushacheza nao wakapaki basi hua naona mnaitaja kama timu tunayotakiwa kuiogopa. Wewe binti judgment yangu haitokani na magoli ni inefficiencies zinazotokea hapaHata kama goli halijakua halijaingia unafikiri wanavyocheza na Aston vila ni sawa watakavyocheza na nyie, au watakavyocheza games nyingine?
Nyie Mashabik w Ass anal kama mmerogwa, hamuamini kama msimu huu mnatoka kapa.