Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huu ukweli wanaujua Ila wanajifariji kwa kusahau kwa misimu ya hivi karibuni city v liva au city ya mwishoni mwishoni mwa enzi za Sir Alex Fugy. Ngoja tuwaache wajifariji
Ngoja labda tuone
Wanaweza kupindua meza na kushinda mechi zote.
 
Hahahahahahag
. We MTU umejua kunichekesha
 
Waombe tu kipara apoteze mechi hata mbili la sivyo kombe ndio baibai.
Watuulize kilichotupata 😂
Kwenda kumfunga kipara,akiwa kwake ,Tena raundi ya mwisho🤣watatenguka miguu bure na hawataweza.
Haya ni matumaini hewa.

Jamaa mwishoni huwa hakati pumzi yule,na akishashikilia pale juu ndo basi tena hesabia maumivu.
 
Poleni sana wana Arsenal, hakika hamtachukua taji lolote msimu huu, mwendo mmeumaliza , miaka 18+ bila EPL hakika itaendelea
 
Upo sahihi kabisa

Yaani kitu kilichosababisha liva tusibebe kombe ni kwamba city alikua hapewi changamoto inayotakiwa na team zingine so hicho ndicho kinatokea kwenu now

Shindeni zenu nyingi nae ashinde zake
 
Mashabiki wa hii timu hawajawahi kuwa na akili.

Mwenye akili ni computerarsenal tu...

The rest viazi mbatata.
hilo kila siku mimi hua nalipigia kelele humu.
computerarsenal hakika wewe pekee humu ndio shabiki unaejielewa na kukubalika na mashabiki wa timu zote kasoro baadhi tu ya mashabiki wa hii timu yako, ukweli wako siku zote ndio unafanya mashabiki vilaza wa humu ndani wakuchukie.
Humu watu wanataka kupeana maneno matamu matamu tu na hope za kijingajinga.
Kiukweli Mkuu hua nakuhurumia sana jinsi hizi ziro Iq za humu ndani zinavyokushambulia kisa tu mitazamo yako kwenye jicho halisi la kisoka inavyotofautiana na mihemuko yako.
Mashabiki 200 ya hili jukwaa ni sawa na IQ ya computerarsenal mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…