Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Matusi sio utamaduni wa mashabiki waastarabu hakuna sehemu yeyote niliyetumia lugha ya matusi. Inaonekana unamatatizo makubwa sana ya kimaadili na inaonesha umekosa malezi ya wazazi wa pande mbili.

Hata kama unatumia id fake jaribu kuwa mstaarabu ndugu matusi sio utamqduni wa wanamichezo. Mimi nimetoa maoni yangu sasa matusi na hasira za nini? Kwa hiyo wewe unategemea kuwa chelsea na liver watafungwa na arsenal mara mbili. Na pia mtawafunga man city? sawa kama ndio hivyo bas sawa but haikuwa na haja ya kumimina matusi.
Acha kulialia wewe, kinachokuuma ni kuwaona Arsenal walipo. Kama hukubaliani na hali halisi mkuu basi we endelea tu na maumivu mana hakuna namna.

Arsenal ndio bingwa wako msimu huu kubali ama kataa. Iko hivyo!
 
Jamaa kavumilia kashindwa, kaamua kumwaga mbogaView attachment 2558983
Konte kutimuliwa wiki hii

Huenda wakamrudisha Pochetino ingawa nae pia ataka fedha za kufanya usajli wa maana.

Ila Poch ana uwezo wa kukuza vipaji vya vijana wadogo alifanya kazi hiyo akiwa Southampton na Tottenham.

Kuna vijana kama Deli Ali Poch, alimfanya kuwa mchezaji mahili wa kiungo lakini alipoondoka Poch Deli Ali leo hii ni wa kawaida sana.

Wengine kama Son na Kane pia ni mifano tosha ya uwezo wa Pochetino kikuza vipaji.

Tatizo la Tottenham ni deni la uwanja kwamba ni lazima kubana matumizi ili kulipa deni. Arsenal tulikuwa na tatizo hili na Arsene Wenge akawa anasajili wachezaji wengi wa mkopo na wale wa "pay as you go".

Badala yake akawa ana pata wachezaji wa chini ya viwango lakini Arsenal ilikuwa haikosi kucheza Champions League hivyo kuwa na kipatio cha kuiwezesha timu kujiendesha huku klabu ikilipa deni la milioni 300.

Hivyo kwa sisi wengine tuloiona Arsenal ikipitia kipindi kigumu hatushangai sana kuona kinowapata Tottenham leo.
 
Image
Hiyo ilikuwa ni "disguise".
 
Kwa bahati mbaya timu anazozifunga arsenal kwa sasa ni zile zile ambazo huwa anazifunga kila msimu ijapokuwa round ya kwanza mwaka huu kidogo kaiproove kwa kuwafunga baadhi ya big four. Bahati mbaya waliyonayo mechi za mwisho mwisho watacheza na wanaume wa shoka ambao ndio wataamua ubingwa wao hivyo mashibiki muwe na tahadhari la sivyo watu wanaweza kuzimia.
Mechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.

Ndo maana waziita hizo mechi ni fainali 10.

1. Leeds wapo kwenye relegation zone.

2. Liverpool wanagombea top 4

3. West Ham -relegation zone.

4. Southampton -relegation zone

5. Man City - Atetea ubingwa na ana mechi moja ya kiporo. Acheza nusu fainali ya FA Cup na nusu fainali ya CL.

6. Chelsea- Hawana cha kupoteza wakipigwa na Real Madrid no CL mwakani wala Europa League.

7. Newcastle- Wagombea top 4 kwa mara ya kwanza.

8. Brighton - Wataka kucheza Europa League

9. Nottingham Forrest - Relegation zone.

10. Wolverhampton - relegation zone.

Arsenal yahitaji points 26 tu kuchukua ubingwa katika mechi zake hizi 10.

Kilichobakia ni jitihada na mbinu madhubuti.
 
Mechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.

Ndo maana waziita hizo mechi ni fainali 10.

1. Leeds wapo kwenye relegation zone.

2. Liverpool wanagombea top 4

3. West Ham -relegation zone.

4. Southampton -relegation zone

5. Man City - Atetea ubingwa na ana mechi moja ya kiporo. Acheza nusu fainali ya FA Cup na nusu fainali ya CL.

6. Chelsea- Hawana cha kupoteza wakipigwa na Real Madrid no CL mwakani wala Europa League.

7. Newcastle- Wagombea top 4 kwa mara ya kwanza.

8. Brighton - Wataka kucheza Europa League

9. Nottingham Forrest - Relegation zone.

10. Wolverhampton - relegation zone.

Arsenal yahitaji points 26 tu kuchukua ubingwa katika mechi zake hizi 10.

Kilichobakia ni jitihada na mbinu madhubuti.
Hizo zinaitwa hesabu za vidole mzee baba, muhimu kila mtu ashinde mechi zake.
 
Unajua mechi 1 inatosha kumfanya agombee Europa?

Kumbuka ana GD 6
Labda kama lengo lako ni kuzodoa

Kusema Man United wanagombea Europa, ni sawa na kusema Man United kimahesabu hawawezi kumaliza nafasi nne za juu.
Kitu ambacho si kweli.
Wako nafasi ya Tatu, hawa wanapigania Top 4, sio nafasi ya 5.
 
Mechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.

Ndo maana waziita hizo mechi ni fainali 10.

1. Leeds wapo kwenye relegation zone.

2. Liverpool wanagombea top 4

3. West Ham -relegation zone.

4. Southampton -relegation zone

5. Man City - Atetea ubingwa na ana mechi moja ya kiporo. Acheza nusu fainali ya FA Cup na nusu fainali ya CL.

6. Chelsea- Hawana cha kupoteza wakipigwa na Real Madrid no CL mwakani wala Europa League.

7. Newcastle- Wagombea top 4 kwa mara ya kwanza.

8. Brighton - Wataka kucheza Europa League

9. Nottingham Forrest - Relegation zone.

10. Wolverhampton - relegation zone.

Arsenal yahitaji points 26 tu kuchukua ubingwa katika mechi zake hizi 10.

Kilichobakia ni jitihada na mbinu madhubuti.
Na uzuri wa mechi hizo zote team pinzani anafunguka kwenda kushambulia tofaut na kupaki basi.Hivyo nirahis kushinda mech
 
Mechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.

Ndo maana waziita hizo mechi ni fainali 10.

1. Leeds wapo kwenye relegation zone.

2. Liverpool wanagombea top 4

3. West Ham -relegation zone.

4. Southampton -relegation zone

5. Man City - Atetea ubingwa na ana mechi moja ya kiporo. Acheza nusu fainali ya FA Cup na nusu fainali ya CL.

6. Chelsea- Hawana cha kupoteza wakipigwa na Real Madrid no CL mwakani wala Europa League.

7. Newcastle- Wagombea top 4 kwa mara ya kwanza.

8. Brighton - Wataka kucheza Europa League

9. Nottingham Forrest - Relegation zone.

10. Wolverhampton - relegation zone.

Arsenal yahitaji points 26 tu kuchukua ubingwa katika mechi zake hizi 10.

Kilichobakia ni jitihada na mbinu madhubuti.
Na kwenye hiz mech10 game1 ndo ngumu na hii mech arsenal akipata point3 kwa man city bac ubingwa utakuwa upo mikonon mwao
 
Aser8 kama mnataka THE BLUES tuwaunge mkono kwenye mbio zenu za kubeba ubingwa EPL

Tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa Jorginho

Acheni ubahili.

Kama shabiki wa THE BLUES siwezi kuwa na nongwa eti niwaombee msibebe ubingwa, Ili iweje sasa?

Itakuwa roho mbaya. Ili hali timu langu linavurunda na wala haipo kwenye mbio za kupambania ubingwa.

Pambaneni Arse8, city asibebe tena hili kombe.
Kenge mwenye akili kidogo

Arsenal NDOO
Haaland kiatu
 
Mourinho is bigger than you.

Mourinho UEFA trophies

Uefa champions league 2 trophy

Uefa ueropa league 2 trophy

Uefa conference league 1


Arsenal trophies

Uefa champions league 0

Uefa ueropa 0


Hivi pamoja na ujanja ujanja wa Mourinho Kwanini kawazidi mafanikio club ya mpira mnakwama wapi nyie arsenyani?

Hafu mmekaa hapa mnataka kwenda uefa mkafanye nini kama ueropa tu kumewashinda au ndo mnataka mkatie aibu za kubugizwa goal 10 kule.

Timu yenu mkubali ni ndogo tu.

Poor Arsenal club

Poor Arsenal fans


Screenshot_20230323-111825.jpg
 
Mourinho is bigger than you.

Mourinho UEFA trophies

Uefa champions league 2 trophy

Uefa ueropa league 2 trophy

Uefa conference league 1


Arsenal trophies

Uefa champions league 0

Uefa ueropa 0


Hivi pamoja na ujanja ujanja wa Mourinho Kwanini kawazidi mafanikio club ya mpira mnakwama wapi nyie arsenyani?

Hafu mmekaa hapa mnataka kwenda uefa mkafanye nini kama ueropa tu kumewashinda au ndo mnataka mkatie aibu za kubugizwa goal 10 kule.

Timu yenu mkubali ni ndogo tu.

Poor Arsenal club

Poor Arsenal fans


View attachment 2562512
Timu yako ipo namba ngapi hapo?
20230322_181955.jpg
 
Back
Top Bottom