Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Acha kulialia wewe, kinachokuuma ni kuwaona Arsenal walipo. Kama hukubaliani na hali halisi mkuu basi we endelea tu na maumivu mana hakuna namna.Matusi sio utamaduni wa mashabiki waastarabu hakuna sehemu yeyote niliyetumia lugha ya matusi. Inaonekana unamatatizo makubwa sana ya kimaadili na inaonesha umekosa malezi ya wazazi wa pande mbili.
Hata kama unatumia id fake jaribu kuwa mstaarabu ndugu matusi sio utamqduni wa wanamichezo. Mimi nimetoa maoni yangu sasa matusi na hasira za nini? Kwa hiyo wewe unategemea kuwa chelsea na liver watafungwa na arsenal mara mbili. Na pia mtawafunga man city? sawa kama ndio hivyo bas sawa but haikuwa na haja ya kumimina matusi.
Arsenal ndio bingwa wako msimu huu kubali ama kataa. Iko hivyo!



Saliba expected to sign a new long term deal at Arsenal very soon. Saka deal is all agreed. Saliba deal very close.
)