Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyota wa Newcastle Jacob Murphy awasifu Zinchenko, Saka na Martinelli.

Murphy alisema kuwa ilikuwa "ngumu" kucheza dhidi ya Zincheko, alisema kuwa Zincheko anatupita "kati" yatu na Sean Longstaff na ukiangalia hakuwa na haki ya kufanya hivyo.

Unaweza kufikiri uko katika hali nzuri ya ulinzi(kumkaba),na hawawezi kufanya chochote lakini Zinchenko "bado anapiga pasi" hapo hapo ulipo.

kwa Saka na Martinelli,

Saka ni "muuaji" na Martinelli " anatisha"

Wachezaji hawa watatu bila shaka ndio chachu ya kugombea taji kwa Arsenal, na wanaonyesha ni shida ngapi husababisha kwa timu zingine.
 
Hale Enders dedicating their celebrations to Thierry Henry… you love to see it!
 
SILAHA KUU 2 ZA BUKAYO SAKA

Ndiye winger anaongoza kwa kufanikiwa kwenye 1v1 , baada ya timu nyingi kugundua Hilo mikakati huwa asiachwe na beki mmoja au wawili ,Manjesta walimuachia hii kazi Luke Shaw kila mmoja anajua kilichomkuta pale Emirates, Saka sio Runner Kama Salah , anapenda kupokea mipira mbele ya beki , Kitendo Cha kumpelekea Saka mabeki wawili had wanne wamkabe Hilo huwa halimtishi anachofanya huwa anatoa PANGA(SILAHA YAKE YA 2)

SILAHA YAKE NO.2 huwa Ni Passing ability ambayo mara nyingi Ni hatari tupu

Faida iliyopo hizi pass zake huwa anazipokea Sana Martin Odegaard ambaye naye Ni kisanga



 
Mechi ambayo binafsi nilianza kuigopa Arsenal

Mechi ambayo Pep Guardiola alisema alidhani Arsenal wataanza kushusha performance

Jacob Murphy from newcastle says the toughest opponent newcastle faced this year is Arsenal.

Arsenal are the best team technically and tactically in the league-
 
Arsenal 0 Newcastle 0

Mechi yangu Bora Hadi Sasa

Newcastle walikuja kwa mazoea ,waliingia na 4-3-3 ,Ndani ya dakika 10 wakaona shughuli Ni ngumu , Eddie Howe kwa Mara ya kwanza toka msimu uanze akabadili mfumo kwenda 5-4-1 .

Arsenal walikuwa wanakuja Kama nyuki muda wote , wakitumia 2-3-5

Newcastle walikaba vzr wings huku Martinell & saka wakizungukwa na Mabeki wawili had watatu kila wanapopata mpira

Newcastle wakaanza kupoteza muda na kuomba mpira uishe .

Hii ndio mechi nikaanza binafsi Kama mshabiki wa Arsenal kuiogopa Arsenal

 
Unashangilia draw ?
 
Dah siyo ngumi. Ni katika kutaka kumsukuma akapeleka mkono usoni.

Nilikua nataka Spurs ishinde ila sasa hivi nataka ifungwe ili nizione banters
 
Everton baada ya red na penati ndiyo inacheza kwa malengo unaona wanatafuta kitu
 
Halafu aliyesawazisha ndiye alisababisha penati.

Poetic justice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…