Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

LEWIS DUNK

Arsenal wana safu ya ushambuliaji tishio zaidi kwa sasa, kila ukifikiria kukumbana na saka,odergaad,jesus na sasa wana trossard...., kuna muda unatamani uwe golikipa.

Nahodha wa Brighton

Arsenal play today And the whole world is happy

Leeds united
17:00
Emirates Stadium
Primier League
Live coverage on arsenal.com
IMG-20230401-WA0002.jpg
 
Jinsi liva inastruggle kupossess mpira kwa hizi dk 30 dhidi ya City inakupa picha Arsenal tupo vizuri kiasi gani
 
Nyie sio mlipigwa goal 3 na city Bora Liverpool anaonyesha uai kidogo.
Magoli karibu yote Ni individual error tu halafu hapo tulikuwa na injury

Cha ajabu Huyo city alikuwa anatuvizia kaunta attack

Had mwisho possession 60 kwa 40

Usiichukulie Arsenal kirahisi Sana
 
Naona kabisa , Liverpool mmeoza kabisa

Mnataka kufanya mlivyozoea mambo yanakataa kabisa

Fabinho na hendo Kama wamefungwa mawe miguuni
Labda unaangalia mpira tofauti na mimi fabinho ndo anatubeba Humu

Sisi tumeoza ila tukikutana na team zenye dharau tunaziua
 
Back
Top Bottom