Hamchoki tu kupiga ramli?Arsenyani..... Leeds wanaendelea walipoishia Sporting.
Nyie sio mlipigwa goal 3 na city Bora Liverpool anaonyesha uai kidogo.Jinsi liva inastruggle kupossess mpira kwa hizi dk 30 dhidi ya City inakupa picha Arsenal tupo vizuri kiasi gani
Hawawez kukaaa na mpira kabisa, wakishambuliwa tu beki yao matataniJinsi liva inastruggle kupossess mpira kwa hizi dk 30 dhidi ya City inakupa picha Arsenal tupo vizuri kiasi gani
Magoli karibu yote Ni individual error tu halafu hapo tulikuwa na injuryNyie sio mlipigwa goal 3 na city Bora Liverpool anaonyesha uai kidogo.
Hawa Liverpool hawatishi Tena dah, had nimesikitika,Goli la City zuri
Kila foul ni red card ?Hivi kwanini ile ya pili ya Rodri isiwe red card?
Man City wakifikia stage hii, huwa wanabebwa wazi wazi.
Nakumbuka kuna msimu nyuma Rodri huyu huyu alishika mpira akafunga na goli likakubaliwa.
Naona kabisa , Liverpool mmeoza kabisaLeo twapigwa msitutegemee
Labda unaangalia mpira tofauti na mimi fabinho ndo anatubeba HumuNaona kabisa , Liverpool mmeoza kabisa
Mnataka kufanya mlivyozoea mambo yanakataa kabisa
Fabinho na hendo Kama wamefungwa mawe miguuni
Itakua alifata mafaoHuyu Kalvin Phillips alikubali nini kwenda City?
Unaelewa alichoandika?Nyie sio mlipigwa goal 3 na city Bora Liverpool anaonyesha uai kidogo.
Msimu uliopita against Everton gemu iliisha 1 bilaHivi kwanini ile ya pili ya Rodri isiwe red card?
Man City wakifikia stage hii, huwa wanabebwa wazi wazi.
Nakumbuka kuna msimu nyuma Rodri huyu huyu alishika mpira akafunga na goli likakubaliwa.
Msipoweka umakini next season mtakua kwenye relegation battleLeo twapigwa msitutegemee
Hawa tunaenda kuwapiga za kutosha pale AnfieldHawa Liverpool hawatishi Tena dah, had nimesikitika,
Kiungo chao hakikai na mpira , beki yao inakuwa vulnerable muda mwingi