Wewe jamaa umepotea Sana na tabiri zako za tambitambiAlly we unazungumzia nafasi ya pili wakati wenzako wanapiga hesabu wasikose Europa tena msimu ujao?
Kwa hii miaka 4 ijayo usiihesabie kabisa hii Academy kwenye mbio za top 4, watashiriki CL miaka 4 mbele baada ya watoto wao kukomaa vizuri na endapo hawatauzwa kwa kipindi hicho.
Mpiga Ramli wa Unyumbuni, vipi unaiongelea vp hii Academy yetuAlly we unazungumzia nafasi ya pili wakati wenzako wanapiga hesabu wasikose Europa tena msimu ujao?
Kwa hii miaka 4 ijayo usiihesabie kabisa hii Academy kwenye mbio za top 4, watashiriki CL miaka 4 mbele baada ya watoto wao kukomaa vizuri na endapo hawatauzwa kwa kipindi hicho.
Uliona mbali Sana, Kama vile upo kwenye kichwa Cha MikelI'm not sure ila nahisi we're not signing Youri Tielemans this window, japo unaweza kuwa sahihi.
Hoja ya Arteta kumuona Soares km backup RB ni political zaidi, vs Man city / Liverpool lazima umkatae. Hana technical consistency, km Tomiyasu akiumia binafsi namuona Saliba #4, White #2.
Kwa kweli lack of technical quality from Soares/ Tavarez/ Holding imetucost Uefa msimu ulioisha.
Msimu ujao mashabiki wa Arsenal tuwe makini na vyakula tutakavyokaribishwa na mashabiki wa Man u!
Sema wewe jamaa unamkosea sana heshima TP,mchezaji peke anayeweza kumweka banch TP Busquets yule aliekuwa kwenye ubora wake.huyo rice ni mchezaji wa kawaida sana.sifa moja ya kiungo wa level ya dunia ni kuwa comfortable na mpira kabla ya kkuanza kufanya chochote,sasa rice is not that comfortable.Mfano TP ile mechi na man city angekuwepo tusengefumgwa.kitu watu hawajui ni kwamba hakuna mechi msimu huu tumepoteza partey akiwa ameanza mpaka kumalizaTP si mzuri kwa matumizi ya mpira kama alivyo Bosquets au Rodrigo japo TP ni bora kuliko Casemiro in this regard. Hivyo Zinny kuwa inverted Arsenal inachangiwa na mambo matatu, moja kusadia progression, huu ni udhaifu wa namba 6 wetu ku supply clean balls kwenye tight areas kitu ambacho Declan anafanya every damn time
Pili, tunamtumia GX kama LCM ambaye ni mzuri defensively, traditional CM, lakini si mchezaji wa ku dicate tempo ni Zinny anayekuwa tempo setter lakini na Xhaka kwa kuwa ni box to box so every damn time anaenda kila box kusaudia wachezaji wengine automatically inacontrol tempo,
Tatu Zinny & White wanakuwa inverted ku provide midfield compactness wakati wa defensive transition (235 in settled attacks) so hata TP ingawa ana pnp anahitaji watu kumsaidia ku cover eneo la pivot, akiwa peke yake anakuwa Vulnerable. Rice ni tempo setter na pia ni destroyer, he will sort out our midfield imbalances with ease. Mwanzo anakuwa upgrade role ya Xhaka huku TP akiendelea kama 6 ila baadae kama unampata mid aina ya Pedri au Xavi then Rice ni upgrade kwa TP cuz ni mzuri kutumia mpira kuliko Partey, so our midfield dynamic inakuwa ø, rice maybe Patino au mchezaji kama Pedri/ paqueta.
Im not saying that Rice is the best holding midfielder itw rn but he gonna be the best itw under Mikel Arteta.
Unaona huku mwisho uliposema 'Under Arteta' hichi sasa ndiyo ninachomaanisha mimi kwamba akifika anatakiwa awe adjusted kwanza. Hatotoa matokeo instant, ila Zubimendi akifika anaanzia alipoishiaTP si mzuri kwa matumizi ya mpira kama alivyo Bosquets au Rodrigo japo TP ni bora kuliko Casemiro in this regard. Hivyo Zinny kuwa inverted Arsenal inachangiwa na mambo matatu, moja kusadia progression, huu ni udhaifu wa namba 6 wetu ku supply clean balls kwenye tight areas kitu ambacho Declan anafanya every damn time
Pili, tunamtumia GX kama LCM ambaye ni mzuri defensively, traditional CM, lakini si mchezaji wa ku dicate tempo ni Zinny anayekuwa tempo setter lakini na Xhaka kwa kuwa ni box to box so every damn time anaenda kila box kusaudia wachezaji wengine automatically inacontrol tempo,
Tatu Zinny & White wanakuwa inverted ku provide midfield compactness wakati wa defensive transition (235 in settled attacks) so hata TP ingawa ana pnp anahitaji watu kumsaidia ku cover eneo la pivot, akiwa peke yake anakuwa Vulnerable. Rice ni tempo setter na pia ni destroyer, he will sort out our midfield imbalances with ease. Mwanzo anakuwa upgrade role ya Xhaka huku TP akiendelea kama 6 ila baadae kama unampata mid aina ya Pedri au Xavi then Rice ni upgrade kwa TP cuz ni mzuri kutumia mpira kuliko Partey, so our midfield dynamic inakuwa ø, rice maybe Patino au mchezaji kama Pedri/ paqueta.
Im not saying that Rice is the best holding midfielder itw rn but he gonna be the best itw under Mikel Arteta.
Jack willshere amesema anaamini Rice atabadilika under ArtetaUnaona huku mwisho uliposema 'Under Arteta' hichi sasa ndiyo ninachomaanisha mimi kwamba akifika anatakiwa awe adjusted kwanza. Hatotoa matokeo instant, ila Zubimendi akifika anaanzia alipoishia