Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cc. Mwalimu George Ambagile...! Jamaa ni miongoni mwa wachambuzi wachache sana Duniani achilia mbali Tanzania ambao kipindi Arsenal iko Hoi bin Taaban chin ya Arteta yeye alikuwa anasimama na Mikel

Alikuwa anasema kuna kitu anakiona ndani ya Arsenal kinasukwa na ni swala la Muda tu watu watakuja kukiona, na hatimae leo hii wengi waliokuwa wanamkataa Arteta wamemkubali
Waliomtilia mashaka Arteta since day one huwa siwaelewi hoja zao Ni zipi

Binafsi mechi ya Kwanza tu nilijua huyu Sasa ndiye mrithi sahihi wa Arsene Wenger
 
Waliomtilia mashaka Arteta since day one huwa siwaelewi hoja zao Ni zipi

Binafsi mechi ya Kwanza tu nilijua huyu Sasa ndiye mrithi sahihi wa Arsene Wenger
Muda mwingine shabiki haitaji sana kujua mpira au mbinu ili amkatae kocha, mashabiki kitu cha kwanza wanachotaka kuona Team yao inapata matokeo kisha inacheza vizuri

Sasa kama Team imefukuza kocha kutokana na matokeo mabaya it means kocha Atakaekuja atakuwa na jukumu moja tu la kuitoa team sehemu mbaya alipoikuta na kuipeleka team sehemu ingine, kama hilo litashindikana basi tegemea tu mashabiki watamkataa kocha

Kuhusu wengine kumkubali kocha japokuwa team haifanyi vizuri, hapo sasa inategemea na mtu mwenyewe ana uelewa gani wa mpira na mbinu zake na sio lazima Shabiki ajue hayo ye anataka furaha tu

Me sikuwa miongoni mwa mashabiki waliokuwa wanamkataa Arteta ila siwashangai wala kuwalaumu waliokuwa wanamkataa maana Kwa kipindi kile alikuwa hafanyi kile ambacho kingefanya mashabiki wote wawe nyuma yake
 
Rashford alifunga Goli 2 mwez uliopita wakamuweka na tuzo wakampa


Martinell ana Goli 4 mwezi huu Cha ajabu hata kwenye nominees hayupo


Mashabiki wengi wa Arsenal wameanza kupaza sauti usishangae asiwekwe hata kwenye Nominees ya YOUNG PLAYER OF THE YEAR na ana miaka 21, akawekwa Rashford anayetafuta mwaka wa 27


Tunasema haya ,msimu uliopita Saka kadhulumiwa tuzo nyingi tu
Una matatizo ya akili nini?


Mwezi uliopita (Feb) Rashford kafunga Goals 5.
2 goals vs Leeds
1goal vs Crystal Palace
2 goals vs Leicester.

Halafu umeshapata idadi ya mechi ambazo Martinelli amecheza msimu huu.?
 
Muda mwingine shabiki haitaji sana kujua mpira au mbinu ili amkatae kocha, mashabiki kitu cha kwanza wanachotaka kuona Team yao inapata matokeo kisha inacheza vizuri

Sasa kama Team imefukuza kocha kutokana na matokeo mabaya it means kocha Atakaekuja atakuwa na jukumu moja tu la kuitoa team sehemu mbaya alipoikuta na kuipeleka team sehemu ingine, kama hilo litashindikana basi tegemea tu mashabiki watamkataa kocha

Kuhusu wengine kumkubali kocha japokuwa team haifanyi vizuri, hapo sasa inategemea na mtu mwenyewe ana uelewa gani wa mpira na mbinu zake na sio lazima Shabiki ajue hayo ye anataka furaha tu

Me sikuwa miongoni mwa mashabiki waliokuwa wanamkataa Arteta ila siwashangai wala kuwalaumu waliokuwa wanamkataa maana Kwa kipindi kile alikuwa hafanyi kile ambacho kingefanya mashabiki wote wawe nyuma yake
Mm nawalaumu maana kwa timu aliyoikuta asingeweza kutoboa kwa mbio ndefu

Pamoja na timu ya ovyo aliyoikuta bado alichukua FA na CS Kwa mpira ambao huwa namuona Arteta ni Tactician maana alionesha Ni mtaalamu mzuri tu wa kucheza Low block na usimfanye chochote


Kocha alikuwa wazi nahitaji wachezaji 5 had 6 ili nicheze 4-3-3 ,

Akaweka wazi kwa wachezaji hawa kina Ozil, lacazette ,leno,toreira ,n.k siwez kucheza 4-3-3 ya double 8 ,

Kwahiyo kwa mshabiki aliyemkataa anabidi ajitafakari ,kocha hajapewa resources why unataka afukuzwe


Ndio maana mashabiki pale London hawakuwahi kumbebea mabango ya Arteta out , labda hawa wamitandaoni wanaofanya mihemko
 
We jamaa unaona raha kuwa unadanganya kila wakati.?


Mwezi uliopita (Feb) Rashford kafunga Goals 5.
2 goals vs Leeds
1goal vs Crystal Palace
2 goals vs Leicester.

Halafu umeshapata idadi ya mechi ambazo Martinelli amecheza msimu huu.?
Kaangalie January Walipompa Hiyo tuzo alifunga Goli ngapi


Halafu niliweka Takwimu za EPL , wewe unalazimisha mashindano yote , kwani Mchezaji Bora wa mwezi EPL Ni mashindano yote?

Tunajua mmecheza Hadi na kina Chalton, Reading

Mfano Arsenal Carabao tulitoka hatua za awali kabisa
 
Former Tottenham striker Teddy Sheringham says he doesn’t “want to see” Declan Rice join Arsenal as he would “make them a better team”.

“But he would definitely make Arsenal a better team. I don’t like to say it but they’re already good enough this season and I don’t want to see Declan go there because he will make them a better team.

Living rent free in their brains 🙂
 
Arsenal wapo tayari kusikiliza ofa kwa Niles, Pepe, lokonga, tavares, Mari, Cedric & runarsson na wachache kati yao wanategemea watauzwa kwa dau zuri


Pia KT, Rob, balogun wapo ktk sintofahamu juu ya mikataba ya muda mrefu kwani arteta anatazamia kuimarisha kikosi zaidi kwa ajili ya Uefa msimu ujao
 
DiMarzio kuhusu Rice:

Arsenal au Liverpool ndio mahali atakapoenda, Sidhani kama atahamia Chelsea kwani wana wachezaji wengi kwenye safu yao ya kiungo."

“Nina uhakika kwamba [Chelsea] watajaribu kumpata kama wanajua kwamba anakaribia kusaini Arsenal kwa sababu tu hawataki aende huko. Chelsea inanunua wachezaji kama mchezo na ni hali mbaya kwa sasa."
IMG_20230324_182249.jpg
 
Odegaard shed some light on the rigorous work that Arteta undertakes. He told TV2:

“It has surprised me, actually, how detail-oriented he and the whole team are. I’ve never encountered anything like it, with people who see football that way and who see details as specifically as he does.

“It can be simple little things or more big things. It’s extremely detailed and a lot of little things we talk about, watching video after every game and all that. It’s fun working with him and the team. It works.”
 
Kwanza nimpe Happy birthday Willo Saliba, ndio Kwanza anatimiza miaka 22


Hivi majeraha ya Saliba mbona haisemwi au atakuwepo after international break?

Tomiyasu yeye kafanyiwa Upasuaji

Maana pale Nyuma bila Saliba hatuwezi kabisa kuanzia mpira nyuma kwa kujidai

Nimeangalia mechi mbili tatu kwa umakini alizocheza Holding ,pale Nyuma tunaanza mipira mara chache Sana ,mara nyingi Ni kubutua au buildup itaanzia mbele kwa mbele

Mchezaji mmoja kumbe anaweza haribu system nzima


Mechi na Fulham walikuwa Wana press na wachezaji Hadi 6 na tunawatoka vzr bila shida ,ila Kama yupo holding lazima tutachoma kibanda tu

Angalia hapa Vs Fulham , Marco Silva hakuamini ,Pass Moja ya Saliba inaenda kwa Xhaka tunawaweka Goli


FB_IMG_1678808094420.jpg
 
Spurs wanajiandaa kumchukua Julian Nagleisman ,sio muda watamfukuza Conte

Wameona mpira wa ujanja ujanja hautawafikisha popote ,wanaenda kupata Kocha wa kisasa

Kwa wachezaji wazuri wengi wa Spurs akiongeza na wachache ,msimu ujao patachimbika
 
Kaangalie January Walipompa Hiyo tuzo alifunga Goli ngapi


Halafu niliweka Takwimu za EPL , wewe unalazimisha mashindano yote , kwani Mchezaji Bora wa mwezi EPL Ni mashindano yote?

Tunajua mmecheza Hadi na kina Chalton, Reading

Mfano Arsenal Carabao tulitoka hatua za awali kabisa

Kwhiyo Mwezi uliopita ni January?

Ok twende hivyo hivyo, Rashford mwezi huo(Jan) alifunga 3 Goals kwenye EPL.
Vs Bournemouth
Vs Man City
Vs Arsenal.
Tofauti na wewe unavyodai alifunga goli 2.


Naona unahamisha magoli,
wewe ulisema Fans wa Man U wanamsifia sana Rashford wakati kamzidi Martinelli Goli 1.

Mimi nikakuambia Sifa anazopewa Rashford ni kutokana na performance yake kwenye mashindano yote( WC, EL, FA, CC) si EPL pekee

Kitu ambacho Martinelli hana msimu huu.
Ana 13 goals in 41 matches.

NB: Martinelli ni Mchezaji mzuri ila unakosea kumlinganisha na Rashford msimu huu.
Hata Eye test inaonyesha nani yuko vizuri this season.

Umesahau ninyi mmecheza na Oxford?
 
Kwhiyo Mwezi uliopita ni January?

Ok twende hivyo hivyo, Rashford mwezi huo(Jan) alifunga 3 Goals kwenye EPL.
Vs Bournemouth
Vs Man City
Vs Arsenal.
Tofauti na wewe unavyodai alifunga goli 2.


Naona unahamisha magoli,
wewe ulisema Fans wa Man U wanamsifia sana Rashford wakati kamzidi Martinelli Goli 1.

Mimi nikakuambia Sifa anazopewa Rashford ni kutokana na performance yake kwenye mashindano yote( WC, EL, FA, CC) si EPL pekee

Kitu ambacho Martinelli hana msimu huu.
Ana 13 goals in 41 matches.

NB: Martinelli ni Mchezaji mzuri ila unakosea kumlinganisha na Rashford msimu huu.
Hata Eye test inaonyesha nani yuko vizuri this season.

Umesahau ninyi mmecheza na Oxford?
Sasa umekuja nilipopataka , Martinell Kwanza hajacheza mechi 41 Kama unavyodai ,kacheza mechi 38, EPL kacheza mech 28 ,hiz 10 nyingine nyingi hajaanza ,even hata World cup hakupewa nafasi Kama Unavyotaka kudai kacheza mechi 41


Ndio maana niliweka Takwimu za EPL ,

Na hoja ilikuwa Kama Rashford alifunga Goli 3 January akawa nominee na tuzo akapewa

Why tunashangaa Martinelli kafunga Goli 4 mwezi huu na hatumuoni kwenye Nominees

Nikasema sitashangaa Young player of the Year wasimuweke tukamuona Rashford anayetafuta birthday ya 27 akawekwa
 
Hivi wakuu kuna huyu mdau Relief Mirzska yuko wapi sahivi? Au kabadili I'd
Brother, Ahsante sana kwa kunikumbuka. Nipo japo nimepotea kiasi.

Nawamiss wanangu nyote, nitarudi kuja kusheherekea ubingwa nanyi hapa hapa jukwaani. Sijui kama kuna sherehe yoyote inaandaliwa ya kusheherekea ubingwa na kama ipo basi ntahudhuria kama itakuwa Dar.

Mwanangu isajorsergio upo?
 
Back
Top Bottom