Wakati tuzo ya kocha Bora wa mwezi ikitegemewa kwenda katika viunga vya Emirates
Huku nako katika tuzo ya mchezaji bora wa mwezi inategemewa kwenda kwa Bukayo Saka Kwa mara ya Kwanza katika msimu huu
Akiwa kahusika na magoli 3 na assist 2 katika jumla ya mechi 4 alizocheza mwezi March, anatazamiwa kupata tuzo hii japokuwa atapata ushindani kutoka kwa Trossard,Isak pamoja na Salah
Pamoja na hayo ila kumekuwa na lawama kutoka kwa baadhi ya mashabiki wa Arsenal wakisema Martinel hajafanyiwa fair kwa kutokuchaguliwa katika kinyang'anyilo hicho, kwani katika mechi 4 bwana mdogo amefunga magoli 4
View attachment 2562762