christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,154
- 5,072
Et alikuwa anasema i will build my team around Pobga yaani mzungu wa ajabu sana yule. Lichezaji lilikuwa linamchomesha kwenye mechi muhimu yeye akawa analikumbatia.Ole power aliikataa hata kabla ya Ronaldo kuja.
Jinsi alivyokua anamtreat Pogba et al unaona kabisa hapa kocha hakuna.
Huyu atakuwa wa NyamazobeWewe dada mla mayai toka Nyamanoro una mdomo mchafu sana
Watu tunashindana na Barcelona yenye World-class players uje ufananishe na Arsenal. 😂Game plan ya bornamouth ndio hiyo hiyo tunaitumia tukikutana na manjesta
Bado hamna timu ya kubishana toe to toe na Arsenal
Hiki kitu hamtaki kuelewa ndio maana mmepigwa 7-0
Europa hakuna ushindi wa janja janja. Tumekaaa pale kusubiri 2nd Leg.Hawa Home watakula nyingi
Leo walitakiwa angalau washinde
| Mikel Arteta on the second leg vs Sporting CP:
“Everything is still to play for and we get to play at home and now we have to show that we are the better team.” [via BBC] #afc
Sawa tunawangojaWatu tunashindana na Barcelona yenye World-class players uje ufananishe na Arsenal.
Kuna levels kwenye football, nyie mnaweza kutufunga kwenye ligi lakini haimaniishi mpo vizuri kwenye big stage, Europe.
Na zile 7-0 vipi naona hujazungumzia hapo😂Watu tunashindana na Barcelona yenye World-class players uje ufananishe na Arsenal. 😂
Kuna levels kwenye football, nyie mnaweza kutufunga kwenye ligi lakini haimaniishi mpo vizuri kwenye big stage, Europe.
True hili kombe sio la kutupita abadaniHawa Home watakula nyingi
Leo walitakiwa angalau washinde
| Mikel Arteta on the second leg vs Sporting CP:
“Everything is still to play for and we get to play at home and now we have to show that we are the better team.” [via BBC] #afc
Mbona mm bado umeniacha mkuuMimi binafsi nimeamua kuignore comments za manyumbu Kwa sasa tangu wapigwe zile 7. Yaani naona ni ukosaji heshima na utovu wa nidhamu Kwa aliyepigwa 7 na kuku kujadili chochote. Nitarejea kwao mwisho wa msimu
Maneno ya kiushabiki tu mkuuMbona mm bado umeniacha mkuu
Maybe next season, msimu huu bado anatakiwa kuimproveFabio Vieira stats this season so far:
Starts - 12
Goals - 2
Assists - 6
Mikel Arteta thinks Fabio deserves more minutes. He's one of the top talents at Arsenal.
Can we agree with Mikel on this one!?View attachment 2544360
bdo hayuko fast kwnye decision making kama øde pia anatakiw kunyanyua sna weights.Fabio Vieira stats this season so far:
Starts - 12
Goals - 2
Assists - 6
Mikel Arteta thinks Fabio deserves more minutes. He's one of the top talents at Arsenal.
Can we agree with Mikel on this one!?View attachment 2544360
Hii timu yenu tiya maji huu msimu munaeza maliza bila kombe 😂We Kenge ulikuwa wapi?!
How abt 7up?Kocha bora, Mchezaji bora na Goalkeeper bora, sisi hao halafu haturingi wala hatuongei sana.
February ilikua ni mwendo wa kusambaza upendo tu.
View attachment 2544634
Nilichogundua Europa ni moja ya kombe gumu sana kwa squad tuliyonayo ukitoa 1st 11 utaona huwa tuna struggle sana kupata results kama jana na Arteta kazi anayo squad ya kucheza EPL ndiyo hyo hyo inatakiwa icheze Europa league hakuna namna kwa sasa itafahamika May but tukikosa any trophyMaybe next season, msimu huu bado anatakiwa kuimprove
Hongera kwaoKocha bora, Mchezaji bora na Goalkeeper bora, sisi hao halafu haturingi wala hatuongei sana.
February ilikua ni mwendo wa kusambaza upendo tu.
View attachment 2544634