Ole power aliikataa hata kabla ya Ronaldo kuja.Ole alinyimwa Power ,ndio maana usajili Kama wa cr7 hakuafiki,na ndipo mambo yalianza kumuharibikia hapo
7 hag wamempa hiyo nguvu ndio maana kaweza hata kumgusa cr7
Unamaanisha akitulia kwenye usajili wakati united ilikua radhi kumletea kila aliyemtaka.Mimi na mtizamo tofauti kwa ten hag kupigwa na liva sioni Kama problem Kuna kitu naona anakileta pale man u akitulia kwenye usajili akapata watu basi itakua shida still Kuna vitu atafanya tena vikubwa kwahio mashabiki wa man u wakae kwa kutulia Yale fukuza haita wasadia atlist amalize misim hata mi5
Atulie wapi Tena ,Mimi nashindwa kuwaelewa wanaosema akipata anaowataka , wajiulize alipopewa £211m alizitumiaje ,Unamaanisha akitulia kwenye usajili wakati united ilikua radhi kumletea kila aliyemtaka.
Hakuna kocha asiyependa TOTAL CONTROL dunianiOle power aliikataa hata kabla ya Ronaldo kuja.
Jinsi alivyokua anamtreat Pogba et al unaona kabisa hapa kocha hakuna.
Hapo ndio namanisha akipata watu sahihi tactical Yuko vizuri Sana tuUnamaanisha akitulia kwenye usajili wakati united ilikua radhi kumletea kila aliyemtaka.
Zinchenko ni mhuni kumbe![]()