Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Behind the scenes of Gabriel Jesus' return to full Arsenal training | @Football_LDN

All smiles at London Colney
Sprinting, twisting, turning, tackling
Sent flying to the floor as Arsenal players confident not to take it easy on the Brazilian
IMG_20230308_183554.jpg
IMG_20230308_192102.jpg
 
Umegundua nini

Most touches in the opposition box by a team in a single Premier League game this season:

Arsenal vs Bournemouth - 78
Arsenal vs Man Utd - 64
Man City vs Brentford - 62
Arsenal vs Nottingham Forest - 59
Man City vs Southampton - 56
 
Hatimaye Wareno weusi tumetia nanga katika bandari ya Lisbon (Porto de Lisboa) tukiongozwa na nahodha wetu wa meli, Captain Bruno Miguel Borges Fernandes tukiwa tumefika hapa kuwapa hamasa Wareno wenzetu. Tutakuwa hapa mwanzo mpaka mwisho wa mchezo na mara baada tu ya mchezo kumalizika tutapaa mpaka jiji la Seville kule nako tuna jambo letu.

Quem ri por último ri melhor.

images.jpeg-7.jpg
 
Manchester United Ndoo Timu Iliyopigika Vipigo Vikubwa Ndani Ya Miaka 3 Iliyopita


Manjesta 1-6 Tottenham
Manjesta 2-4 Liverpool
Leicester City 4-2 Manjesta
Manjesta 0-5 Liverpool
Watford 4-1 Manjesta
Man City 4-1 Manjesta
Liverpool 4-0 Manjesta
Brighton 4-0 Manjesta
Brentford 4-0 Manjesta
Man City 6-3 Manjesta
Liverpool 7-0 Manjesta

Takwimu Hazidanganyi
Kuna jamaa humu alitamba kuwa 'United ni timu inayoongoza kukabia juu', hakujua takwimu zinaonesha ni timu inayoongoza kwa kupaki basi( deep defensive line) na kati ya mechi walizojaribu kucheza high def line zote ziliisha kwa aibu, Brentford 4-0, Man city 6-3, Liverpool 7-0.
 
Hatimaye Wareno weusi tumetia nanga katika bandari ya Lisbon (Porto de Lisboa) tukiongozwa na nahodha wetu wa meli, Captain Bruno Miguel Borges Fernandes tukiwa tumefika hapa kuwapa hamasa Wareno wenzetu. Tutakuwa hapa mwanzo mpaka mwisho wa mchezo na mara baada tu ya mchezo kumalizika tutapaa mpaka jiji la Seville kule nako tuna jambo letu.

Quem ri por último ri melhor.

View attachment 2542847
Tabia za kimalaya malaya afu wewe mtoto wa kiume utakuja ubanduliwe mkuu
 
Tabia za kimalaya malaya afu wewe mtoto wa kiume utakuja ubanduliwe mkuu
Hivi mkuu uwezi kufanya ushabiki pasipo matusi?

Maana naona watu wengi sana mnashindwa tofautisha ushabiki na matusi hapo jamaa kaleta ushabiki na wewe ulitakiwa umjibu kishabiki.

Natamani sana wabongo tukajifunze kwenye magroup ya Kenya.
 
Hatimaye Wareno weusi tumetia nanga katika bandari ya Lisbon (Porto de Lisboa) tukiongozwa na nahodha wetu wa meli, Captain Bruno Miguel Borges Fernandes tukiwa tumefika hapa kuwapa hamasa Wareno wenzetu. Tutakuwa hapa mwanzo mpaka mwisho wa mchezo na mara baada tu ya mchezo kumalizika tutapaa mpaka jiji la Seville kule nako tuna jambo letu.

Quem ri por último ri melhor.

View attachment 2542847
Lisbon na Porto natamani sana kufika. Nitajichanga niende na familia. One day yes.

Mimi nitaenda kutalii ila Gunners wakienda huko kazi yao ni moja tu - kuchukua ushindi.
 
Arteta amesema hana mpango wa kwenda Madrid

Mikel Arteta on Real Madrid links: "I’m fully focused on what I’m doing here at Arsenal" #AFC

"I’m extremely happy, proud and grateful to be at this football club".
#afc
 
Kuna jamaa humu alitamba kuwa 'United ni timu inayoongoza kukabia juu', hakujua takwimu zinaonesha ni timu inayoongoza kwa kupaki basi( deep defensive line) na kati ya mechi walizojaribu kucheza high def line zote ziliisha kwa aibu, Brentford 4-0, Man city 6-3, Liverpool 7-0.
Mashabiki wengi hasa wa manjesta hawajui mpira na hawajui kuuchambua ,timu yao ilikuwa form lakin Ina magepu kibao ,

7 hag atafata njia za kina ole watamtimua ,kocha unampima hata kwenye usajili, Ni mbahatishaji, ndio maana ilibidi akimbilie hasa pale pale Ajax kusajili ,Cha ajabu bado akapotea kwa kumsajili Anthony mchezaji ambaye alikuwa naye hapo hapo ajax, kamsajili yule beki ambaye kashindwa kuingia kikos Cha Kwanza ,sajili bora ni Moja tu Martinez ,sajili za Casemiro na eriksen ni za muda mfupi tu,

Kwa pesa ile aliyopewa namuona akufata njia za kina ole guna
 
Mashabiki wengi hasa wa manjesta hawajui mpira na hawajui kuuchambua ,timu yao ilikuwa form lakin Ina magepu kibao ,

7 hag atafata njia za kina ole watamtimua ,kocha unampima hata kwenye usajili, Ni mbahatishaji, ndio maana ilibidi akimbilie hasa pale pale Ajax kusajili ,Cha ajabu bado akapotea kwa kumsajili Anthony mchezaji ambaye alikuwa naye hapo hapo ajax, kamsajili yule beki ambaye kashindwa kuingia kikos Cha Kwanza ,sajili bora ni Moja tu Martinez ,sajili za Casemiro na eriksen ni za muda mfupi tu,

Kwa pesa ile aliyopewa namuona akufata njia za kina ole guna
Nyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.

Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.

Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
 
Mashabiki wengi hasa wa manjesta hawajui mpira na hawajui kuuchambua ,timu yao ilikuwa form lakin Ina magepu kibao ,

7 hag atafata njia za kina ole watamtimua ,kocha unampima hata kwenye usajili, Ni mbahatishaji, ndio maana ilibidi akimbilie hasa pale pale Ajax kusajili ,Cha ajabu bado akapotea kwa kumsajili Anthony mchezaji ambaye alikuwa naye hapo hapo ajax, kamsajili yule beki ambaye kashindwa kuingia kikos Cha Kwanza ,sajili bora ni Moja tu Martinez ,sajili za Casemiro na eriksen ni za muda mfupi tu,

Kwa pesa ile aliyopewa namuona akufata njia za kina ole guna
Hafu jamaa hamis pale England pana timu 4 kubwa.

Man city
Liverpool
Chelsea
Man United

Mbona hizo zingine uzizungumzii?
Nimekuja kujua bila kuizungumzia United mnakosa content kabisa yani fatilia post zako uwezi maliza siku ujaitaja United

Chelsea ni mbovu lakini ujawai izungumzia

Umekomaa na Manchester United tu kuwa makini nyuzi zako zikianza kufufuliwa hapa usije kuaibika.
 
Hafu jamaa hamis pale England pana timu 4 kubwa.

Man city
Liverpool
Chelsea
Man United

Mbona hizo zingine uzizungumzii?
Nimekuja kujua bila kuizungumzia United mnakosa content kabisa yani fatilia post zako uwezi maliza siku ujaitaja United

Chelsea ni mbovu lakini ujawai izungumzia

Umekomaa na Manchester United tu kuwa makini nyuzi zako zikianza kufufuliwa hapa usije kuaibika.
Unapozungumzia Team kubwa una maana gani na unazitaja kubwa kwa misingi ipi mkuu!??
 
Hafu jamaa hamis pale England pana timu 4 kubwa.

Man city
Liverpool
Chelsea
Man United

Mbona hizo zingine uzizungumzii?
Nimekuja kujua bila kuizungumzia United mnakosa content kabisa yani fatilia post zako uwezi maliza siku ujaitaja United

Chelsea ni mbovu lakini ujawai izungumzia

Umekomaa na Manchester United tu kuwa makini nyuzi zako zikianza kufufuliwa hapa usije kuaibika.
Manchester city na Chelsea are manufactured clubs bila funds za mabilionea tusingekuwa tunawaongelea leo na sijui wangekuwa wapi. Huwa nashangaa Shabiki wa United, Liverpool na Arsenal kubishana na shabiki wa Chelsea au Mancity, bila pesa hao wanarudi kuwa timu za kawaida regaldless of their 20 years archievements.
 
Mashabiki wengi hasa wa manjesta hawajui mpira na hawajui kuuchambua ,timu yao ilikuwa form lakin Ina magepu kibao ,

7 hag atafata njia za kina ole watamtimua ,kocha unampima hata kwenye usajili, Ni mbahatishaji, ndio maana ilibidi akimbilie hasa pale pale Ajax kusajili ,Cha ajabu bado akapotea kwa kumsajili Anthony mchezaji ambaye alikuwa naye hapo hapo ajax, kamsajili yule beki ambaye kashindwa kuingia kikos Cha Kwanza ,sajili bora ni Moja tu Martinez ,sajili za Casemiro na eriksen ni za muda mfupi tu,

Kwa pesa ile aliyopewa namuona akufata njia za kina ole guna
Mna moyo sana kukaa kwenye keyboard na kuwaelimisha 😂 😂 😂
 
Nyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.

Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.

Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
Mimi nina expectations kubwa na Ten Hag he will get you somewhere. Tumpe muda
 
Back
Top Bottom