Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Manchester city na Chelsea are manufactured clubs bila funds za mabilionea tusingekuwa tunawaongelea leo na sijui wangekuwa wapi. Huwa nashangaa Shabiki wa United, Liverpool na Arsenal kubishana na shabiki wa Chelsea au Mancity, bila pesa hao wanarudi kuwa timu za kawaida regaldless of their 20 years archievements.
Hata hizi arsenal man united Liverpool pasipo pesa ni za Kawaida sana.

Kwa sasa unaposema timu kubwa England ni.

Manchester United/City

Chelsea

Liverpool

Arsenal

kuanzia 2000kushuka chini ningekujibu timu kubwa pale England ni hizi.

Liverpool
Man united
Arsenal
Newcastle
Blackburn

Hizo ndo timu zenye zilikuwa zikifahamika ni timu kubwa kwasasa kusema man city na chelsea sio timu kubwa nadhani ungetuambia labda maana ya timu kubwa kwa ufahamu wako ni zipi.
 
Nyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.

Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.

Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli, kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa akazitapanya vibaya ,atafata njia za waliomtangulia ,form huwa inaficha mengi Sana,ila Mimi kwa uzoefu wangu na makocha waiopita epl na hapo man u ,ten hagg mtamtimua mapema Sana ,

Tulitegemea kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa ambazo klopp hata Arteta hawajawahi kupewa kwenye maisha yao ya ukocha ,Basi Angesajili talent ,Cha ajabu tunaona sajili za kubahatisha na mpira wa ujanja ujanja

Kuna imani mnajipa mnasema baada ya muda timu itakuwa hatari ,kiukweli mnajidanganya Sana
 
Mimi nina expectations kubwa na Ten Hag he will get you somewhere. Tumpe muda
Kwa uzoefu wangu mm Ten hagg hajafikia bado expectation alizoonesha ole , with medium bajeti alifika nafasi ya 2, ya 3, alifika level ambayo alihitaji kuaminiwa na kupewa msaada Cha ajabu wakamuingilia kumleta Ronaldo ambaye hakumtaka wakamvurugia mipango
 
Nyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.

Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.

Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
Mazingira aliyokutana nayo Arteta au Klopp huwez ku compare na aliyokutana nayo Ten hagg

Arteta alirithi kikosi kibovu na alibidi kuwafukuza baadhi na kuwatengeneza wakutoka academy

Arteta alifika Arsenal ambayo big names hawataki kuja scenario ambayo Klopp alikutana nayo Liverpool

Ten hag kafika na bado ameweza kumpata mtu Kama casemiro

Bajeti ya Kwanza ya Arteta Arsenal alipewa £70m , Ten hag £211m

Hiki chini ni kikosi alichokuta Arteta ,
IMG_20230303_215326.jpg
 
Sijaona timu ya kuizuia Arsenal mpaka sasa labda wapate majeruhi kama kawaida yao miaka yote

Potter mitano tena

Tuna imani FSG mitano

7Hag ni kanjanja

kwa jamaa wa ikuru nikachukue connection ya JW (hii naenda kumpa mdogo wake na mzazi mwenzangu)
 
Mashabiki wengi hasa wa manjesta hawajui mpira na hawajui kuuchambua ,timu yao ilikuwa form lakin Ina magepu kibao ,

7 hag atafata njia za kina ole watamtimua ,kocha unampima hata kwenye usajili, Ni mbahatishaji, ndio maana ilibidi akimbilie hasa pale pale Ajax kusajili ,Cha ajabu bado akapotea kwa kumsajili Anthony mchezaji ambaye alikuwa naye hapo hapo ajax, kamsajili yule beki ambaye kashindwa kuingia kikos Cha Kwanza ,sajili bora ni Moja tu Martinez ,sajili za Casemiro na eriksen ni za muda mfupi tu,

Kwa pesa ile aliyopewa namuona akufata njia za kina ole guna
Huyo kocha ni dalali wa Ajax
 
Nyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.

Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.

Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
Wanamuonea wivu Genius 10 hag
 
Mazingira aliyokutana nayo Arteta au Klopp huwez ku compare na aliyokutana nayo Ten hagg

Arteta alirithi kikosi kibovu na alibidi kuwafukuza baadhi na kuwatengeneza wakutoka academy

Arteta alifika Arsenal ambayo big names hawataki kuja scenario ambayo Klopp alikutana nayo Liverpool

Ten hag kafika na bado ameweza kumpata mtu Kama casemiro

Bajeti ya Kwanza ya Arteta Arsenal alipewa £70m , Ten hag £211m

Hiki chini ni kikosi alichokuta Arteta ,View attachment 2543312
Mkuu Mimi nawewe saizi kubishana nimeona Muda uwe muamuzi wetu.

Tuangalie misimu miwili hafu tuje hapa kubishana hapa kama ten hag ni kanjanja au ni kocha.
 
Hata hizi arsenal man united Liverpool pasipo pesa ni za Kawaida sana.

Kwa sasa unaposema timu kubwa England ni.

Manchester United/City

Chelsea

Liverpool

Arsenal

kuanzia 2000kushuka chini ningekujibu timu kubwa pale England ni hizi.

Liverpool
Man united
Arsenal
Newcastle
Blackburn

Hizo ndo timu zenye zilikuwa zikifahamika ni timu kubwa kwasasa kusema man city na chelsea sio timu kubwa nadhani ungetuambia labda maana ya timu kubwa kwa ufahamu wako ni zipi.
Umeisahau Bolton wanderers hapo
 
Hata hizi arsenal man united Liverpool pasipo pesa ni za Kawaida sana.

Kwa sasa unaposema timu kubwa England ni.

Manchester United/City

Chelsea

Liverpool

Arsenal

kuanzia 2000kushuka chini ningekujibu timu kubwa pale England ni hizi.

Liverpool
Man united
Arsenal
Newcastle
Blackburn

Hizo ndo timu zenye zilikuwa zikifahamika ni timu kubwa kwasasa kusema man city na chelsea sio timu kubwa nadhani ungetuambia labda maana ya timu kubwa kwa ufahamu wako ni zipi.
Nafurahi tunaelewana.
What happened to Newcastle and blackburn?
Mfano rahisi wenzetu Chelsea wanahangaika toka kuondoka kwa Mrusi.? How long will their situation last?
( Mimi na wewe hatujui. )
Pesa inahitajiki tena sana ndio maana hata Man U wanaombea mpate mQatar kama owner mpya. But that doesn't gurante silverwares.

Arsenal tried splashing cash tukaishia kumpata Pepe and spending wasn't our culture, tukajifunza sasa unaona hata tunavokuwa makini kutoa ada kubwa and it's paying off.

Na ndiyo maana hamis77 ameongea point, mkiingia mkenge wa kununua nunua kisa pesa ipo, mtaishia na akina Maguire wapya, kitu ambacho sio solution bali mnaongeza future problems.
Best coaches wenyewe ndiyo wanaishia ..
 
Sijaona timu ya kuizuia Arsenal mpaka sasa labda wapate majeruhi kama kawaida yao miaka yote

Potter mitano tena

Tuna imani FSG mitano

7Hag ni kanjanja

kwa jamaa wa ikuru nikachukue connection ya JW (hii naenda kumpa mdogo wake na mzazi mwenzangu)
Jamaa wa Ikulu mbona miyeyusho sana
 
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli, kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa akazitapanya vibaya ,atafata njia za waliomtangulia ,form huwa inaficha mengi Sana,ila Mimi kwa uzoefu wangu na makocha waiopita epl na hapo man u ,ten hagg mtamtimua mapema Sana ,

Tulitegemea kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa ambazo klopp hata Arteta hawajawahi kupewa kwenye maisha yao ya ukocha ,Basi Angesajili talent ,Cha ajabu tunaona sajili za kubahatisha na mpira wa ujanja ujanja

Kuna imani mnajipa mnasema baada ya muda timu itakuwa hatari ,kiukweli mnajidanganya Sana
I get your point brother.
Ten hag naona agaramua kiti kwani naona ni mtu amanye yuko very strictly na performance kwa ujumla, hana kupepesa macho (kwa maono yangu kama hato badilika).

Suala la usajili nakuunga mkono maana huwa nawaambia hata watu wanijuao hata huyo Martinez ilikuwa ni Arsenal wanataka jamaa akadandia, sidhani hata kama alikuwa katika mawazo yake.
Ila hili sitilii maanani sana he had a short time to build up a squad only 2 windows mpaka sasa ngoja tuone.
 
Mkuu Mimi nawewe saizi kubishana nimeona Muda uwe muamuzi wetu.

Tuangalie misimu miwili hafu tuje hapa kubishana hapa kama ten hag ni kanjanja au ni kocha.
Tunaelimishana, maana mifano ipo mingi ,kwangu Mimi ole ndiye alikuwa na clear plan ,tatizo lilikuja alipoingiliwa kwenye sajili e.g cr7
 
Arteta: akijibu juu ya kutakiwa Madrid na Mchezo wa Leo vs Sporting Lisbon#UEL


"Kipaumbele chetu msimu huu ni makombe mawili na Europa League ni moja ya mashindano tuliyoyapa kipaumbele na tuko serious na Kombe hili"

"Ninafuraha kubwa sana kuwa Arsenal, na ninaiangalia zaidi Arsenal na sio vinginevyo"

IMG-20230308-WA0000.jpg
 
Kwa uzoefu wangu mm Ten hagg hajafikia bado expectation alizoonesha ole , with medium bajeti alifika nafasi ya 2, ya 3, alifika level ambayo alihitaji kuaminiwa na kupewa msaada Cha ajabu wakamuingilia kumleta Ronaldo ambaye hakumtaka wakamvurugia mipango
Hata Ole alikua miyeyusho

Ole alimsajili Ighalo, Pellistri, Telles wawili hapo hawakupata namba na mmoja nikawa nashangaa anapataje namba.

Sawa sawa na Erik, Weghorst sioni kama ni ST ambaye wote mtakaa mnasema atatupindulia matokeo.

Isipokua Erik kwenye decision making yupo firm, ana jeuri kumzidi Ole. Kimbinu anamzidi Ole ila hajaonyesha anatamani timu ichezeje, bado anatumia counter kama suluhisho la matatizo hata kwa midtable teams
 
4-3-3


Arsenal XI v Sporting: Turner, White, Saliba, Kiwior, Zinchenko, Jorginho, Vieira, Xhaka, Nelson, Saka Martinelli.



Arsenal subs: Ramsdale, Hillson, Partey, Gabriel, Smith Rowe, Holding, Tomiyasu, Bandeira, Sagoe Jr, Smith, Walters.



According to Chris Wheatley
 
Hata Ole alikua miyeyusho

Ole alimsajili Ighalo, Pellistri, Telles wawili hapo hawakupata namba na mmoja nikawa nashangaa anapataje namba.

Sawa sawa na Erik, Weghorst sioni kama ni ST ambaye wote mtakaa mnasema atatupindulia matokeo.

Isipokua Erik kwenye decision making yupo firm, ana jeuri kumzidi Ole. Kimbinu anamzidi Ole ila hajaonyesha anatamani timu ichezeje, bado anatumia counter kama suluhisho la matatizo hata kwa midtable teams
Ole alinyimwa Power ,ndio maana usajili Kama wa cr7 hakuafiki,na ndipo mambo yalianza kumuharibikia hapo

7 hag wamempa hiyo nguvu ndio maana kaweza hata kumgusa cr7
 
Back
Top Bottom