allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Hata hizi arsenal man united Liverpool pasipo pesa ni za Kawaida sana.Manchester city na Chelsea are manufactured clubs bila funds za mabilionea tusingekuwa tunawaongelea leo na sijui wangekuwa wapi. Huwa nashangaa Shabiki wa United, Liverpool na Arsenal kubishana na shabiki wa Chelsea au Mancity, bila pesa hao wanarudi kuwa timu za kawaida regaldless of their 20 years archievements.
Kwa sasa unaposema timu kubwa England ni.
Manchester United/City
Chelsea
Liverpool
Arsenal
kuanzia 2000kushuka chini ningekujibu timu kubwa pale England ni hizi.
Liverpool
Man united
Arsenal
Newcastle
Blackburn
Hizo ndo timu zenye zilikuwa zikifahamika ni timu kubwa kwasasa kusema man city na chelsea sio timu kubwa nadhani ungetuambia labda maana ya timu kubwa kwa ufahamu wako ni zipi.

"Kipaumbele chetu msimu huu ni makombe mawili na Europa League ni moja ya mashindano tuliyoyapa kipaumbele na tuko serious na Kombe hili"